Termination ya mtumishi wa umma huwa hisimamishi salary ghafla kiasi hicho. Kwani hukusikia kipindi kile kwamba waliotumbuliwa walikuwa wanaendelea kuitia hasara serikali?Labda niwaulize kwa mfano ulilipwa 23 halafu tarehe 30 ukawa tarminated kazi vipi utadai siku 7 za kazi ulizofanya mpaka terehe 30?
Wewe either hujielewi, una shida kichwani au umeathirika kisaikolojiaNimekujibu hivyo kwa sababu hukuwa na hoja ya maana. Mwezi ni siku 30 na siyo tarehe 30. Kimsingi nchi zote zilizostaaribika huwa na fixed date ya kulipa mshahara. Sisi kwetu kwa muda mrefu tumekuwa tukilipwa on 24th hivyo kwenda mbele ya tarehe hiyo inaamsha tahadhari, hasa kipindi hiki.
Yaani hata siku moja yenyewe haijapita.Watu ni walalamishi Sana,kuzidi siku moja tu tayari watu mshaanza kumtoa kasoro rais,Mimi mwenyewe ninaishi kwa kutegemea salary lakini simlaumu rais ,ni kawaida tu,tujifunze kuwa na vipato mbadala hii itatuondolea Hali za stress.mimi hapa hata Kama mshahara utachelewa siku kumi na tano mbele bado naweza ishi bila shida kwa sababu licha ya kuwa mtumishi bado Nina kazi nje ya utumishi ambayo nikiifanya siwezi kosa laki tatu kwa mwezi hapa lazima maisha yasonge.
Watumishi wenzangu tujitume tuache kukishi kwa kutegemea mshahara tutajikuta na tutaishia kuwa watu wa lawama tu.
JPM hakuongez mishahara tu lakini vyeo/madaraja tulikua tunakwea Kama kawada .Sasa kama aliweka mishahara fixed, hakuna cha nyongeza wala madaraja kwa miaka 6 ni wazi kusingekuwa na marekebisho yoyote jambo ambalo lisingechelewesha mishahara.....
Si haki yao, wewe binafsi una nini , mbona ni mwepesi tu kiuchumi, unaanzaje lazimisha kila mtu tafuta Uhuru wa kiuchumi, vidole havilingani, na Ndo maana Kuna fundi, mfanyabiashara mkubwa, mdogo, watumishi ngazi tofauti n.kTafuta uhuru wa kiuchumi mkuu acha kulalamikia boss yako kila siku.
Nmetoa mfano hapo kwa concept ya kulipwa mshahara tarehe 24 sio mambo ya stahiki au sheria za kazi. Please tofautisha mambo.Termination ya mtumishi wa umma huwa hisimamishi salary ghafla kiasi hicho. Kwani hukusikia kipindi kile kwamba waliotumbuliwa walikuwa wanaendelea kuitia hasara serikali?
Hongera mkuuWatu ni walalamishi Sana,kuzidi siku moja tu tayari watu mshaanza kumtoa kasoro rais,Mimi mwenyewe ninaishi kwa kutegemea salary lakini simlaumu rais ,ni kawaida tu,tujifunze kuwa na vipato mbadala hii itatuondolea Hali za stress.mimi hapa hata Kama mshahara utachelewa siku kumi na tano mbele bado naweza ishi bila shida kwa sababu licha ya kuwa mtumishi bado Nina kazi nje ya utumishi ambayo nikiifanya siwezi kosa laki tatu kwa mwezi hapa lazima maisha yasonge.
Watumishi wenzangu tujitume tuache kukishi kwa kutegemea mshahara tutajikuta na tutaishia kuwa watu wa lawama tu.
Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.
Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
Watumishi wa umma Ni exceptional mkuu ndo maana wanaitwa watumishi wa umma.kama unabisha wakati NIDA wanaandikisha vitambulisho vya taifa niambie kundi gani lilikua la Kwanza kupewa kiupaumbele.Wafanyakazi wa umma punguzeni kulialia mmefanya kama hii nchi inajukumu la kuwapa mahitaji yenu tu achani ujinga wenu bana mmezidi, hii nchi inawatu almost 60M +,sasa vilio na malalamiko ni vyenu tu mara kupandishwa madaraja mara lile mnachosha kwa kweli ifike mda mtambue mnapitia magumu kama wengine your not exceptional anyhow kwanza kufanya kazi serikalini ni kama kujitoa kuweni wazalendo basi kidogo. Gaddamit!
Si haki yao, wewe binafsi una nini , mbona ni mwepesi tu kiuchumi, unaanzaje lazimisha kila mtu tafuta Uhuru wa kiuchumi, vidole havilingani, na Ndo maana Kuna fundi, mfanyabiashara mkubwa, mdogo, watumishi ngazi tofauti n.k
Watumishi vyanzo vya mapato yao vinajulikana hivyo lazima waulize, acheni propaganda kwenye maisha yao
Mkuu nimeajiriwa,nimejiajiri na nimeajiriMkuu kumbe na mikwara yote ile umeajiriwa! Nilidhani umejiajiri kama mimi.
Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.
Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako
Ndo maana performance kwenye sector za serikali zimeshuka Sana , mpaka msukuma anawazalau wasomi maana ubunifu kwenye sector za umma hamna ,we una miradi yako uko serikalini upo kuchuma pesa tu ,mda mwingi akili yako inawaza biashara zakoWatu ni walalamishi Sana,kuzidi siku moja tu tayari watu mshaanza kumtoa kasoro rais,Mimi mwenyewe ninaishi kwa kutegemea salary lakini simlaumu rais ,ni kawaida tu,tujifunze kuwa na vipato mbadala hii itatuondolea Hali za stress.mimi hapa hata Kama mshahara utachelewa siku kumi na tano mbele bado naweza ishi bila shida kwa sababu licha ya kuwa mtumishi bado Nina kazi nje ya utumishi ambayo nikiifanya siwezi kosa laki tatu kwa mwezi hapa lazima maisha yasonge.
Watumishi wenzangu tujitume tuache kukishi kwa kutegemea mshahara tutajikuta na tutaishia kuwa watu wa lawama tu.
Watu ni walalamishi Sana,kuzidi siku moja tu tayari watu mshaanza kumtoa kasoro rais,Mimi mwenyewe ninaishi kwa kutegemea salary lakini simlaumu rais ,ni kawaida tu,tujifunze kuwa na vipato mbadala hii itatuondolea Hali za stress.mimi hapa hata Kama mshahara utachelewa siku kumi na tano mbele bado naweza ishi bila shida kwa sababu licha ya kuwa mtumishi bado Nina kazi nje ya utumishi ambayo nikiifanya siwezi kosa laki tatu kwa mwezi hapa lazima maisha yasonge.
Watumishi wenzangu tujitume tuache kukishi kwa kutegemea mshahara tutajikuta na tutaishia kuwa watu wa lawama tu.
MKUU kweli watumishi wote wakifuata ushauri wako ,je tutakua na ofis za umma zilizo imala kweli,Hakuna cha mwenye nini mkuu huo ni Kama ushauri tu aidha aufate au aache hakuna kitu kigumu hapo.. Kama anaona anacheleweshewa atafute Uhuru wake wa kiuchumi na sio huo wa kuwa anasubiria Mara uchelewe n.k nothing big ndugu
Kuchelewesha mshahara sababu ya kurekebisha muundo wa madaraja ni bora zaidi kuliko kuwahisha mishahara isiyokua na nyongeza yoyote kwa miaka 6.Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.
Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
Watumishi wa umma Ni exceptional mkuu ndo maana wanaitwa watumishi wa umma.kama unabisha wakati NIDA wanaandikisha vitambulisho vya taifa niambie kundi gani lilikua la Kwanza kupewa kiupaumbele.
Kwa hiyo watu wa Private hawafanyi biashara zao binafsi?we una miradi yako uko serikalini upo kuchuma pesa tu ,mda mwingi akili yako inawaza biashara zako
Sasa watumishi wa umma mnawalazimisha fanya biashara ufanisi wa kazi kwenye ofisi ya umma unatoka wapi, kidogo tu ,anaambiwa bodabobda yako imekamatwa, imepata ajali mfano tu ,inakuaje KWA mda huo
Hiyo ya kubadilisha muundo wa madaraja inahusiana vipi na kuchelewesha mishahara?Kuchelewesha mshahara sababu ya kurekebisha muundo wa madaraja ni bora zaidi kuliko kuwahisha mishara isiyokua na nyongeza yoyote kwa miaka 6.
Mkuu huko Private sector wanafanya kazi 24 Hrs? Kwahiyo tusilime hata bustani kisa tuko serikalini!? Au mtu asifuge hata kuku kisa ni mfanyakazi wa gvt ati atapoteza muda wa kutimiza majukumu ya serikaliniNdo maana performance kwenye sector za serikali zimeshuka Sana , mpaka msukuma anawazalau wasomi maana ubunifu kwenye sector za umma hamna ,we una miradi yako uko serikalini upo kuchuma pesa tu ,mda mwingi akili yako inawaza biashara zako
Njoo sector binafsi utalipwa vizuri lakini lazima ufanye KAZI ipasavyo,sio blabla, mda wote lazima utimize wajibu wako uwe safarin dereva atafanya kazi yake na wewe fanya kazi yako pale inapobidi,
Sasa watumishi wa umma mnawalazimisha fanya biashara ufanisi wa kazi kwenye ofisi ya umma unatoka wapi, kidogo tu ,anaambiwa bodabobda yako imekamatwa, imepata ajali mfano tu ,inakuaje KWA mda huo