Gym πAkina asha boko cheusi mangala tuna comment wapi wajameni π€
Kuna watu hawana aibu duniani, watafika mbali sana.ππ dah!! Mrs available anaupiga mwingiii.. apewe maua hata kama yameoza π€£ππ
Merry Christmas mu kaka
Na kwako pia dadaMe
Merry Christmas mu kaka
Wanyaki wa mwakareli mmekutanaπππyeah,kwako mie ni mrembo sana...hii haipingiki hii.....hii imeendaa.Barikiwa sana my dear!
π€£π€£π€£. βAkiliβKuna watu hawana aibu duniani, watafika mbali sana.
Mimi nipitie ile misukosuko nikurudie niitwe mbwa mchafu tu
Kisodaπ€£π€£π€£. βAkiliβ
π€£π€£π€£π€£Hivi hujengi taswira ya hilo libibi? Dude ka jumba, nguo nyeusi na harufu ya udi, lipite mbele yako jaji, unakimbia mbali lisikuangukie.Dr. Nimekutukana....umbwa weweπππππ
Uzuri tutakuwa wote motoni π€£π€£π€£Nikikukuta mbinguni nakuchomoa π€£π€£
Hatari Dπ€£π€£π€£π€£π€£π€£ Aisee
Nikifanikiwa kuwa mgambo wa mlango wa mbinguni kamwe hutaingiaππππππ€£π€£π€£π€£Hivi hujengi taswira ya hilo libibi? Dude ka jumba, nguo nyeusi na harufu ya udi, lipite mbele yako jaji, unakimbia mbali lisikuangukie.
Mbwa mwenyewe. Limekulalia π€£
Hayanaga mwongozo ππNatamani kusema lkn ulimi mzitoπ€£π€£π€£π€£
Pacha wako alirudi π€£π€£Uzuri tutakuwa wote motoni π€£π€£π€£
Ndhakula sana nauli hadi ya mwewe, kuna mshamba mmoja wa Geita alinitumia mzigo hasa!... nishamlegeza saa hz amenyosha mikono!ππππ Kwahio wakija pm inakuwaje?
OHOOO UNASEMA KWELI????We umewaonea wapi? We utakuja uzungukwe nyuma, una uhakika wote hapo ni She? Mimi nina user yangu hapo ya ki-she lkn jidume na ndevu zimesimama kama mchongamaa!
tatizo binadamu ni wabishiπ€£π€£π€£Hayanaga mwongozo ππ
Mada zingine ni udhalilishaji tu [emoji706][emoji706][emoji706]