Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Gym 😂Akina asha boko cheusi mangala tuna comment wapi wajameni 🤓
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gym 😂Akina asha boko cheusi mangala tuna comment wapi wajameni 🤓
Kuna watu hawana aibu duniani, watafika mbali sana.😂😂 dah!! Mrs available anaupiga mwingiii.. apewe maua hata kama yameoza 🤣💐💐
Merry Christmas mu kaka
Na kwako pia dadaMe
Merry Christmas mu kaka
Wanyaki wa mwakareli mmekutana😂😂😂yeah,kwako mie ni mrembo sana...hii haipingiki hii.....hii imeendaa.Barikiwa sana my dear!
🤣🤣🤣. ‘Akili’Kuna watu hawana aibu duniani, watafika mbali sana.
Mimi nipitie ile misukosuko nikurudie niitwe mbwa mchafu tu
Kisoda🤣🤣🤣. ‘Akili’
🤣🤣🤣🤣Hivi hujengi taswira ya hilo libibi? Dude ka jumba, nguo nyeusi na harufu ya udi, lipite mbele yako jaji, unakimbia mbali lisikuangukie.Dr. Nimekutukana....umbwa wewe😂😂😂😂😂
Uzuri tutakuwa wote motoni 🤣🤣🤣Nikikukuta mbinguni nakuchomoa 🤣🤣
Hatari D🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aisee
Nikifanikiwa kuwa mgambo wa mlango wa mbinguni kamwe hutaingia😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Hivi hujengi taswira ya hilo libibi? Dude ka jumba, nguo nyeusi na harufu ya udi, lipite mbele yako jaji, unakimbia mbali lisikuangukie.
Mbwa mwenyewe. Limekulalia 🤣
Hayanaga mwongozo 😁🖐Natamani kusema lkn ulimi mzito🤣🤣🤣🤣
Pacha wako alirudi 🤣🤣Uzuri tutakuwa wote motoni 🤣🤣🤣
Ndhakula sana nauli hadi ya mwewe, kuna mshamba mmoja wa Geita alinitumia mzigo hasa!... nishamlegeza saa hz amenyosha mikono!😂😂😂😂 Kwahio wakija pm inakuwaje?
OHOOO UNASEMA KWELI????We umewaonea wapi? We utakuja uzungukwe nyuma, una uhakika wote hapo ni She? Mimi nina user yangu hapo ya ki-she lkn jidume na ndevu zimesimama kama mchongamaa!
tatizo binadamu ni wabishi🤣🤣🤣Hayanaga mwongozo 😁🖐
Mada zingine ni udhalilishaji tu [emoji706][emoji706][emoji706]