Miss JF 2023: Nani ni Mrembo zaidi kushinda wenzake hapa JF kati ya wanawake wafuatao?

Miss JF 2023: Nani ni Mrembo zaidi kushinda wenzake hapa JF kati ya wanawake wafuatao?

Miss JF 2023: Nani ni Mrembo zaidi kushinda wenzake hapa JF kati ya wanawake wafuatao?


  • Total voters
    225
  • Poll closed .
Leejay49 kaovertake kwa speed ya 5G kweli GENTAMYCINE yupo Vereee
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!

Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?

1. Ni Mrembo hakuna mfano

2. Ni Mwerevu wa uhakika

3. Ni Mstaarabu wa Kutukuka

4. Hana Dharau

5. Ni Mkarimu

6. Hana Majungu, Chuki na Wivu

7. Siyo Mnafiki na Mzandiki

Tafadhali TEAM GENTAMYCINE wote na Wengine mpeni Kura zenu nyingi mno Leejay49 ili aibuke Mshindi wa Shindano la Mrembo wa JamiiForums kwa mwaka huu wa 2023.

Kila la Kheri Leejay49 utashinda tu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 nimeamka hapa kumbadilisha dogo diaper..Na huyu mwingine kumpa maji ya kunywa...Naingia jf nakuta tag nagombea umiss nyie jamani 🤣🤣🤣🤣 wakati huo huo leo nimetembelewa na mjukuu wangu Sofia 🤣🤣🤣🤣🤣 Robert Heriel Mtibeli ishi sana huna baya...
 
Nishaweka kura yangu hapo, nasubiri mshindi kutangazwa. 😊
Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?

1. Ni Mrembo hakuna mfano

2. Ni Mwerevu wa uhakika

3. Ni Mstaarabu wa Kutukuka

4. Hana Dharau

5. Ni Mkarimu

6. Hana Majungu, Chuki na Wivu

7. Siyo Mnafiki na Mzandiki

Tafadhali TEAM GENTAMYCINE wote na Wengine mpeni Kura zenu nyingi mno Leejay49 ili aibuke Mshindi wa Shindano la Mrembo wa JamiiForums kwa mwaka huu wa 2023.

Kila la Kheri Leejay49 utashinda tu.
 
Kabla sija vote ntaka mpambue ushungi Ms Faiza Foxxy tumthaminishe kama yaliyomo yamo.Ila kwa vile siku hizi hata wazee , walio olewa , walio zaa wana ruhisiwa kushiriki basi kura yangu inakwenda kwa Faiza Foxxy , sababu utu uzima dawa, napiga picha kipindi ana cheza disco pale Entence Hotel kavaa Tina Boo na Kokoko za mamtoni, inaonekana alikua tishio la jiji .
 
🤣🤣🤣🤣🤣 nimeamka hapa kumbadilisha dogo diaper..Na huyu mwingine kumpa maji ya kunywa...Naingia jf nakuta tag nagombea umiss nyie jamani 🤣🤣🤣🤣 wakati huo huo leo nimetembelewa na mjukuu wangu Sofia 🤣🤣🤣🤣🤣 Robert Heriel Mtibeli ishi sana huna baya...

😄😄
Ulisoma ujumbe wenu kwa wapiga kura hum. Hasa huyu Dr Restart
 
Kabla sija vote ntaka mpambue ushungi Ms Faiza Foxxy tumthaminishe kama yaliyomo yamo.Ila kwa vile siku hizi hata wazee , walio olewa , walio zaa wana ruhisiwa kushiriki basi kura yangu inakwenda kwa Faiza Foxxy , sababu utu uzima dawa, napiga picha kipindi ana cheza disco pale Entence Hotel kavaa Tina Boo na Kokoko za mamtoni, inaonekana alikua tishio la jiji .

FaizaFoxy anadai hajawahi ingia maeneo ya kikafiri
 
Kabla sija vote ntaka mpambue ushungi Ms Faiza Foxxy tumthaminishe kama yaliyomo yamo.Ila kwa vile siku hizi hata wazee , walio olewa , walio zaa wana ruhisiwa kushiriki basi kura yangu inakwenda kwa Faiza Foxxy , sababu utu uzima dawa, napiga picha kipindi ana cheza disco pale Entence Hotel kavaa Tina Boo na Kokoko za mamtoni, inaonekana alikua tishio la jiji .
= Ettiennes, wewe itakuwa unapasikia tu hapo kwa mama George na mwanawe. Hao wagiriki walikuwa wanamiliki hotel na Restaurants mbili tatu nzuri nzuri Dar. Ikiwemo Palm beach ya leo hii na nyingine ilikuwa inaitwa Georges Grill, hii ilikuwa ubavuni na Bank kuu ya zamani, nyuma ya karadha. Wa zamani watapaelewa, vijana wa siku hizi muulize tu tuwahadithie.
 
Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?

1. Ni Mrembo hakuna mfano

2. Ni Mwerevu wa uhakika

3. Ni Mstaarabu wa Kutukuka

4. Hana Dharau

5. Ni Mkarimu

6. Hana Majungu, Chuki na Wivu

7. Siyo Mnafiki na Mzandiki

Tafadhali TEAM GENTAMYCINE wote na Wengine mpeni Kura zenu nyingi mno Leejay49 ili aibuke Mshindi wa Shindano la Mrembo wa JamiiForums kwa mwaka huu wa 2023.

Kila la Kheri Leejay49 utashinda tu.
Mimi nilishampigia kula kitambo Sana binafsi namkubali Sana hata kusingepitishwa ushaguzi Mimi ndio my best choice wa jf
 
Back
Top Bottom