Haukuvurugwa,ndio maana CCM mliendelea na ikapatikana Katiba pendekezwa Toka Rasimu ya Warioba!Mchakato ulishavurugwa na akina Lipumba, Slaa, Mbowe (UKAWA)
CCM haijabanwa na mabeberu, tundu na lema ndo wamebanwa mabeberu huko ughaibuniMazingaombwe......Baada ya kubanwa na mabeberu ndio mnaona umuhimu ya Tume huru ya uchaguzi? ...... CCM mnatia aibu sana kwa hihi tibia zenu.
Tunasubiria na katiba mpya !
Nyumbu hawajui wanataka Nini, wao ni kupinga tuuKwa nini mnapenda kupinga, kukashfu na kubeza kila kitu, as long as kinatoka upande ambao hamkubaliani nao? Kwa style hii itachukua muda mrefu sana wapinzani kutoboa
angedai tume huru kipindi Cha MAGUFULIAna uchungu na nchi huyu, ameshawahi kulia bungeni sababu ya matatizo ya waTZ
Na ukombozi utaanzia hapo, ila zikiwepo kelele katiba mpya katiba mpya katiba mpya huku wanaCCM weng wakijua ugali unamwagika Sasa , sijui !!?Vyama vya upinzani ikitokea ccm na serikali wako tayari kwenda kwenye dialogue kwajili ya kuboresha tume ya uchaguzi wasipoteze hii fursa washiriki kikamilifu.
CCM kwenye suala la katiba mpya wameshaanza kulegea
Tunawajuwa MaCCM vizuri, kuliko unavyojijua wewe na uchawa wako. MaCCM ni WAHUNI hawachelewi kupindua matekeo dakika ya mwisho ,na majeshi yakawalinda.Kwa nini mnapenda kupinga, kukashfu na kubeza kila kitu, as long as kinatoka upande ambao hamkubaliani nao? Kwa style hii itachukua muda mrefu sana wapinzani kutoboa
CCM wameshalegea kwenye suala la tume huru ya uchaguzi na katiba mpya.Na ukombozi utaanzia hapo, ila zikiwepo kelele katiba mpya katiba mpya katiba mpya huku wanaCCM weng wakijua ugali unamwagika Sasa , sijui !!?
Wanajua sana ila wanafanya kusudi tu, ndo maana wenye hekima wameona ni busara Sasa kulisemea hiloKumbe hata nyie mnaujua ukweli Kua Tume iliopo sio Huru?[emoji3]
siyo kwa hawaShetani akizeeka huwa malaika.
Ni kawaida kwa mwanaccm yoyote anavyokuwa nje mfumo kuongea vitu ambavyo alitumia nguvu Kubwa kuvizuia akiwa madarakani....Hapana!!
Imepasa tummunge mkono kwa juhudi zote!
Leo hii hakuna ladha ya bunge kwenye majadiliano juu ya mambo yahusuyo mstakabali wa Taifa letu na sisi wananchi kwa ujumla kwa sababu ya ubovu na makusudi ya Tume ovu ya uchaguzi ya CCM!
Hapo kapinga au kamboreshea wazo?Kwa nini mnapenda kupinga, kukashfu na kubeza kila kitu, as long as kinatoka upande ambao hamkubaliani nao? Kwa style hii itachukua muda mrefu sana wapinzani kutoboa
Vyama pinzani wako scattered sanaCCM wameshalegea kwenye suala la tume huru ya uchaguzi na katiba mpya.
Kinachokosekana ni lobbying na nguvu kubwa kwa vyama vya upinzani
@Kiturilo Crimea YEHODAYA comte johnthebaptist Bia yetu jingalao jitombashisho mama DMh [emoji848][emoji848] ngoja waje MATAGA tusikie wanasemaje!!
Kama kuna Kiumbe yeyote Tanzania hii anaona kunaTume Huru ya Uchaguzi basi huyo ni Hayawani.Kumbe hata nyie mnaujua ukweli Kua Tume iliopo sio Huru?[emoji3]
Siyo kwamba wako scattered vyama vya michongo ni vingi sana.Vyama pinzani wako scattered sana
MaCCM haya usiyaamini ni WAHUNI sana hawa viumbe. Wanataka kukimbia moto wa katiba mpya watuzuge na chaguzi kampeni tulivu chaguzi tulivu,kutangaza matokeo sasa wanapindua meza.Mazingaombwe......Baada ya kubanwa na mabeberu ndio mnaona umuhimu ya Tume huru ya uchaguzi? ...... CCM mnatia aibu sana kwa hihi tibia zenu.
Tunasubiria na katiba mpya !