Mizengo Pinda: Tuanze mchakato wa kuwa na Tume huru ya Uchaguzi
Mchakato ulishavurugwa na akina Lipumba, Slaa, Mbowe (UKAWA)
Haukuvurugwa,ndio maana CCM mliendelea na ikapatikana Katiba pendekezwa Toka Rasimu ya Warioba!

Mchakato ulifikia hatua ya kupigiwa kura ya maoni na wananchi,je,hao uliowataja walivurugaje msipeleke Katiba pendekezwa Kwa wananchi Kwa ajili ya kura ya maoni?
 
Mazingaombwe......Baada ya kubanwa na mabeberu ndio mnaona umuhimu ya Tume huru ya uchaguzi? ...... CCM mnatia aibu sana kwa hihi tibia zenu.

Tunasubiria na katiba mpya !
CCM haijabanwa na mabeberu, tundu na lema ndo wamebanwa mabeberu huko ughaibuni
 
Kwa nini mnapenda kupinga, kukashfu na kubeza kila kitu, as long as kinatoka upande ambao hamkubaliani nao? Kwa style hii itachukua muda mrefu sana wapinzani kutoboa
Nyumbu hawajui wanataka Nini, wao ni kupinga tuu
 
Vyama vya upinzani ikitokea ccm na serikali wako tayari kwenda kwenye dialogue kwajili ya kuboresha tume ya uchaguzi wasipoteze hii fursa washiriki kikamilifu.

CCM kwenye suala la katiba mpya wameshaanza kulegea
Na ukombozi utaanzia hapo, ila zikiwepo kelele katiba mpya katiba mpya katiba mpya huku wanaCCM weng wakijua ugali unamwagika Sasa , sijui !!?
 
Kwa nini mnapenda kupinga, kukashfu na kubeza kila kitu, as long as kinatoka upande ambao hamkubaliani nao? Kwa style hii itachukua muda mrefu sana wapinzani kutoboa
Tunawajuwa MaCCM vizuri, kuliko unavyojijua wewe na uchawa wako. MaCCM ni WAHUNI hawachelewi kupindua matekeo dakika ya mwisho ,na majeshi yakawalinda.
Katiba mpya ndio dawa ya kuilinda tume huru, na sio tume huru yabra bra za wastaafu wanautumika kuja kupoza mapambano ya katiba mpya.

Katiba mpya ni lazima na ni sasa .
 
Na ukombozi utaanzia hapo, ila zikiwepo kelele katiba mpya katiba mpya katiba mpya huku wanaCCM weng wakijua ugali unamwagika Sasa , sijui !!?
CCM wameshalegea kwenye suala la tume huru ya uchaguzi na katiba mpya.

Kinachokosekana ni lobbying na nguvu kubwa kwa vyama vya upinzani
 
Hapana!!
Imepasa tummunge mkono kwa juhudi zote!

Leo hii hakuna ladha ya bunge kwenye majadiliano juu ya mambo yahusuyo mstakabali wa Taifa letu na sisi wananchi kwa ujumla kwa sababu ya ubovu na makusudi ya Tume ovu ya uchaguzi ya CCM!
Ni kawaida kwa mwanaccm yoyote anavyokuwa nje mfumo kuongea vitu ambavyo alitumia nguvu Kubwa kuvizuia akiwa madarakani....
 
Mazingaombwe......Baada ya kubanwa na mabeberu ndio mnaona umuhimu ya Tume huru ya uchaguzi? ...... CCM mnatia aibu sana kwa hihi tibia zenu.

Tunasubiria na katiba mpya !
MaCCM haya usiyaamini ni WAHUNI sana hawa viumbe. Wanataka kukimbia moto wa katiba mpya watuzuge na chaguzi kampeni tulivu chaguzi tulivu,kutangaza matokeo sasa wanapindua meza.
Tunarudishwa kwenye siasa za kiswahili za Kikwete.

Tunanataka katiba mpya
Mbowe sio Gaidi, aachiwe huru.
 
Back
Top Bottom