Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kinafiki hicho kibabu balaaIla Pinda angechukua ile 2015 leo hii tungekuwa na Katiba Mpya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinafiki hicho kibabu balaaIla Pinda angechukua ile 2015 leo hii tungekuwa na Katiba Mpya
Wapinzani walishatoboa siku nyingi sana, tatizo CCM mnaiba kura sana, bila kuiba hata wabunge wawili hampatiKwa nini mnapenda kupinga, kukashfu na kubeza kila kitu, as long as kinatoka upande ambao hamkubaliani nao? Kwa style hii itachukua muda mrefu sana wapinzani kutoboa
Yaani Simba na Yanga wakae kupanga waamuzi wa mechi yao? UJINGA GANI HUU!"Kuna mambo ambayo sisi CCM kama chama tawala lazima tubebe dhima. Tutoe uongozi. Kwa, mfano hili la Tume Huru ya Uchaguzi kizuizi ni nini? Hili ni jambo ambalo lazima tukubaliane na wenzetu wa upinzani na tuanze mchakato wa kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi"
Chanzo: Darmpya
Mkuu wapiga kura wengi wapo vijijini, na huko vijijini huwaambii kitu kuhusu CCM na kura nyingi huwa wanazoa huko. Huku mijini wazee wa hoya hoya nyingi na kuchangamsha mikutanoWapinzani walishatoboa siku nyingi sana, tatizo CCM mnaiba kura sana, bila kuiba hata wabunge wawili hampati
Rais Atakaye Patikana kwa Tume huru!: Tume itamshughulikiaje Akifanya yakufanya??
Vipi mkuu imekutisha hiyo hiyo sheria?. Uko wizara gani mkuu?. Ndio wewe wa hii ya kuingia ubia ubia?Aliyekuambia China wanapiga risasi mafisadi nani?
Mikutatano Inazuiliwa kwa mujibu wa katiba hii mkuuHiyo hata isipofuatwa utafanya nini?? Katiba inaruhusu mikutano ya siasa, mbona mnazuiliwa?
Lakini kama anania ya Dhati na ya kweli kuhusu Tume basi tumuunge mkono.Technology ni hatari Sana.
Ona Sasa huyu mzee anachofanya,
Siwezi mwamini
Kwa nini mnapenda kupinga, kukashfu na kubeza kila kitu, as long as kinatoka upande ambao hamkubaliani nao? Kwa style hii itachukua muda mrefu sana wapinzani kutoboa
Usilie wala kulaumu kwa kunyimwa pombe!Endeleeni kushupaza shingo, hamjifunzi, huku kushupaza shingo kwenu ndiyo kulisababisha tukose katiba mpya 2014
Kwa umri huo au malezi yalumumbaMh!! Hata shetani akizeeka anakuwa Malaika......
Halafu Pinda ukimrudisha madarakani leo, hayo maneno atayakana mchana kweupe.
Hata Mama Samia siku akitoka madarakani utasikia tumechelewa sana kupata katiba mpya.
Kunja mtumishi wa ikulu enzi za Mchonga ....[emoji854]Mh!! Hata shetani akizeeka anakuwa Malaika......
Halafu Pinda ukimrudisha madarakani leo, hayo maneno atayakana mchana kweupe.
Hata Mama Samia siku akitoka madarakani utasikia tumechelewa sana kupata katiba mpya.
Endeleeni kushupaza shingo, hamjifunzi, huku kushupaza shingo kwenu ndiyo kulisababisha tukose katiba mpya 2014