Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

Juzi ijumaa kuna harusi ambayo budget yake ilikuwa 47m,leo nipo ukumbini tena budget ya hii 22m,kuchanga ni hiari siyo lazima
 
Sijawahi changia harusi wala sitakuja kuchangia. Kwanza mimi nitafanya ndoa tu navaa dira langu jekundu kama bibi harusi wa kihindi , ni kutia ubani, watu wale biriani wasepe. Shuhuli inafanyika nyumbani kwetu nilikozaliwa na kulelewa. Tusichoshane hayo maswala ya shela ni ya kizungu.
Safiii. 😂 😂 😂
 
Kinachokera kingine ni kuungwa kwenye grupu la whatsapp la harusi bila kwanza kuombwa ridhaa....yaani!
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna jamaa nimeshamuambia sina hela ya mchango nashangaa leo kashanipigia mara 2 sijapokea,huyu ina maana hajanielewa,halafu sijui wanajitoa ufahamu!kama mbwai na iwe mbwai...
 
Back
Top Bottom