Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Nimeona kuna nyuzi nyingi sana hapa JF zikihamasisha vijana kupinga masuala ya ndoa. Mtu kakurupuka huko kaona familia moja ina matatizo yao basi moja kwa moja analeta uzi kuwa ndoa haifai. Ndoa zimekuwepo toka enzi na enzi na changamoto kwenye familia hazikosi lakini leo mtu anakwambia kirahisi tu eti kataa ndoa.

Ndoa ni muhimu sana kwa mwanamume na mwanamke, ile hali ya kukaa pamoja kama familia inakufanya ujihisi tofauti na kipindi kile ukiwa peke yako. Matatizo kwenye ndoa hayakosekani ila hiyo sio sababu ya kufanya kuepuka ndoa.

Hawa watu wanaopinga ndoa naona ni wakwepa majuku, vijana mnaogopa majuku ya kifamilia? Inasikitisha sana. Ewe kijana ingia kwenye ndoa ukiwa tayari umekoamaa kiakili haswa acha kupumbazwa na maneno ya watu.

Changamoto ama majukumu huwezi kuyakimbia kamwe, za kuambiwa changanya na zako.
Ahsante kwa maoni yako,
Nikweli nyuzi ni nyingi kutokana na uwepo wa changamoto za ndoa, ambapo naweza sema mim kwa mtazamo wangu changamoto ni nyingi mno na haina haja sote tuzipitie naamini wewe na wenye mitazamo kama yako zinawafaa.

Ndoa kuwepo enzi na enzi upo sahihi ila tafsiri ya ndoa ya zamani si sawa na yawakati huu!

Ndoa si muhimu kwa mwanaume nakataa!
mwanaume hanufaiki chochote na ndoa enzi na enzi mwanaume hajawahi nufaika nandoa.
kuna watu hatuhitaji matatizo yanayosababishwa na ndoa nivema ukaheshimu hilo.


Hatukwepi majukumu,
tunachokwepa na mkataba wa kinyonyaji na system ya kishenzi ambayo kiukweli mwanaume yeyote mwenye akili timamu wa kizazi hiki hawezi ingia mkenge.
kunajambo ambalo ndugu hujalitambua kuhusu sisi wakataa ndoa, naamini kupitia mjadala tutawekana sawa.

itategemea na mindset yako mkuu! ila kama uko na open mindset now days we don't need ndoa ili kuwa happy, we don't need ndoa ili kuenjoy sweet sex, we can have kids, no stress no divorces no nothing.
 
Daimond naye anaogopa Majukumu?
Vunja bei? Je?

Ndoa ni mradi wa upigaji huwezi kuacha Legacy endapo ukioa mfano Ruge mtahaba akuwa na ndoa, kuoa ni kujiingiza katika mradi wa unyonyajii
ndoa ni kwa masimp na manice guys ambao wako soooooooo insecure!
 
Mashoga hao wala wasikuumize kichwa, wanatumia hila nyingi ili kuhalalisha upuuzi wao.
Relax !
what is a point of getting married?

You all soo in love that you want to invite government and church for a 4some?
 
Mnaendelea Kufanya uharibifu na kuwapa ujauzito watoto wa watu.

Humu mtu akileta Uzi analalamika kuhusu mapenzi na ndoa utaona comments,

"Kijana kataa ndoa."

"Kimbia ndoa."

"Hakuna kuoa."

"Kindly evacuate, do you copy."

"Mbususu zimejaa."

Mbona hamsemi kataa uzinzi.🤨

Mmekulia familia za single parents? Mbona wengine hapa mmelelewa na baba na mama?

Cha kushangaa Kila siku vijana ndo wanaoongoza kwa kuoa Tena wale wa under 30😂. Mimi naona hizi anonymous ID zinatufanya tudanganyane kumbe Kuna wengine wapo kwenye harakati za kuoa.

Kwa niaba ya wanawake wa JF tunakataa kubeba ujauzito kabla ya ndoa.


View attachment 2452960

NB:: Sijapewa ujauzito ❗
Naona umejaribu kuwa victimize wanawake wezio kusema wanaume wanafanya uharibifu kwa kuwapa ujauzito!

hapana bado ! bado hujafanikiwa kufanya utetezi mzuri!

ngoja mimi niwakumbushe wezangu?
'' FELLAS it's not wise to sign a contract with someone who benefits from breaking it.''
 
Naona umejaribu kuwa victimize wanawake wezio kusema wanaume wanafanya uharibifu kwa kuwapa ujauzito!

hapana bado ! bado hujafanikiwa kufanya utetezi mzuri!

ngoja mimi niwakumbushe wezangu?
'' FELLAS it's not wise to sign a contract with someone who benefits from breaking it.''
[emoji1666][emoji1666]
 
Kuchakata ni wajibu

Ndoa ni jukum

Wajibu lazma utimizwe

Jukum sio lazma likamilishwe

#KATAA NDOA KWA AFYA YAKO

Nafikili ni rahisi kumwelewesha mungu kwanini hukuoa kuliko kumwelewesha kwanini ulipiga mtoto wa watu mpaka ukaua

Muhm:Tutaoaga tu
Ndoa ni nzuri kwa baadhi ya wanaume
i'm not sexist
ila acha mabaharia kazi iendelee maana ni bora kuliko kuoa
 
Back
Top Bottom