Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
b5321dfc4f3f8da2987e6a4d9f4e95ad.jpg
 
Wee huniambii kitu nikakuelewa,

Ningekuwa sijawahi kuoa hapo sawa,

Mimi nilifunga ndoa kabisa ya kiislamu ila mwanamke alipoanza kunipangia ratiba ya kwichi kwichi (na mimi hii ndo starehe yangu kubwa), baadae akaanza kuniambia nitaondoka mimi yeye nimuachie nyumba akae na watoto (wakati nyumba yenyewe ya kupanga), ikafika kipindi nikawa hata kurudi nyumbani nachukia nikajikuta nafanya kazi masaa kumi na sita,
Mwanamke unaacha kila kitu ndani lakini hapiki badala yake anaenda kununua chipsi anakula na watoto (huyo alikuwa mama wa nyumbani) nilikuwa nampatia kila anachohitaji mwisho wa siku akawa anajisifu kwa watoto wa dada yangu kwa kuwaambia,
"huyo mjomba wenu mwenyewe nampelekesha"

Siku anaamua kuondoka nyumbani yeye mwenyewe akachukua kila kitu na bado narudi kazini nakuta barua kutoka chang'ombe polisi kanifungulia kesi kwamba nimemfukuza, nimemtolea vyombo nje (ninachoshukuru wale kina dada/mama walikuwa ni waelewa) na walijua kwamba yeye ndo mwenye matatizo hivyo walimuuliza tu, "kwa hiyo wewe unatakaje?"

Akajibu, "nahitaji kila mwezi anipe pesa kwa ajili ya watoto" (kimoyo moyo nikajisemea huyu kumbe anataka kuwatumia watoto kama kitega uchumi chake)
Maana kabla hatujaachana nilishawahi kumwambia, "nakupa miezi mitatu fikiria ni biashara gani utakayoweza kufanya ambayo itakuwezesha kuhudumia watoto hata ikitokea siku nimekufa" huwezi amini ilipita miezi mitatu nakuja kumuuliza umefikia wapi, ananijibu l, "sijaona biashara ya kufanya", shiiit


Kifupi huyu mwanamke kuna kipindi nilikuwa naishi nae kwa tahadhari, maana nilikuwa naona kabisa tunapoelekea kuna siku mmoja atamuua mwenzie


Kisha mnajaribu kutushawishi tuoe, aaah weeee... tena kwa sasa hivi wapo na msimamo wao wa 50 kwa 50

Nakwambia, "Niache kidogo"
Pole sana jmn je ulijaribu kuwashirikisha wazazi wake na wazazi wako katika hili
 
Labda niseme tu mtu mmoja kukufanyia vibaya haimaanishi wote wapo hivyo.Mbona sisi wanawake tunatendwa sana katika mahusiano na ndoa lakini siku zote tunaanza upya.Ni nadra sana kusikia kauli ya kataa ndoa kutoka kwa mwanamke.Mara ngapi wake wa ndoa wanafumania lakn bado wanajipa moyo?
 
Ndoa zilikuwa zamani kwa sasa ndoa ni mfakane war katao ndoa
 
Kiukweli ndoa za Sasa ni ngumu sana ni vile wanaume tunakufa na tai shingoni, tena sisi tuliojichanganya kuoa watumishi acha tu!
 
Kiukweli ndoa za Sasa ni ngumu sana ni vile wanaume tunakufa na tai shingoni, tena sisi tuliojichanganya kuoa watumishi acha tu!
Ni mateso kweli hakuna kufichana hii kampeni idumu hawa wanatuua halafu wanataka tuwaoe tena..kataa ndoa ndoa ni kifo
 
Pole sana jmn je ulijaribu kuwashirikisha wazazi wake na wazazi wako katika hili
Mkuu, mwanzo dada yangu alihisi namsingizia

Ila kuna siku alinijibu mbovu mbele yake ndo akaamini

Nilishafanya vikao sana ikafikia hatua mwisho wa siku Dada yangu akaniambia,

"Bwana we mi nimeshasema weeeee nimechoka, kilichobaki pambania mwenyewe ndoa yako"

Hapo nimeshaitisha vikao vya kifamilia sana wajomba zake wameshakuja kusuruhisha anakaa anatulia wiki tatu wiki ya nne anarudia, yaani alikuwa anatulia ndani ya wiki tatu tu ya nne analianzisha tena

Akawa anawapigia simu wajomba zake anawajaza maneno weeee mwisho wa siku mimi ndo nikawa naonekana mbaya

Siku nikawa nikitaka kuonana na mjomba wake akawa ananikwepa

Nikaona mambo yasiwe mengi ikabidi niachane nae

Maana wajomba zake baada ya kusuruhisha mara mbili zote mwisho wa siku anakuja kurudia tabia zake zile zile kisha anawapigia simu na kuanza kunipaka ili mimi nionekane mbaya

Na ndugu zangu walishachoshwa na sisi

Ikabidi niachane nae tu japo tulikuwa na watoto wadogo mmoja alikuwa ndo kwanza ana miezi minne(hii mpaka leo nikifikiria inaniumiza)
Ila hakuna namna
 
Tutaendelea kuoa, kuzaa, na kujenga familia, ila ndoa hapana, Kataa ndoa. La sivyo sheria za kugawana mali ziangaliwe upya
 
They want everything.

They offer NOTHING.

Madogo kuishi na mwanamke ni muhimu ila ishi nae kinyumba tu bila ndoa utakuja kubariki Ndoa ukifika miaka 55 huko...

Wengi wao hawana Cha kutoa..

Oya kaka zenu tumeoa tunawaambia uhalisia hawana Cha kutoa..

Kamata mtoto wa mtu piga mimba ishu nae kinyumba hayo maigizo anayowekea kabla ya kusign makaratasi yataisha tu...


THEY HAVE NOTHING TO OFFER,NOTHING


Ni Stress tu na usipokuwa makini utajifunza umalaya,ukatili au ulevi.Hiyo tabia Yako ya upole unaweza jikuta umeenda kuwa Katili kwenye Ndoa na huyo ucheshi wako,uchangamfu unaweza jikuta umeenda kuwa mkimyaaaa..

Ndoa itakupoteza Asili yako usipokuwa makini..

Mimi sikuwahi kuwa mtu wa kukunja sura mda wote sio Asili yangu kabisa ila nimejikuta nimekuwa mtu serious kweli kweli hasa nikiingia ndani ya nyumba.

Unapogusa mlango wa nyumbani kwako ndo Stress,Hasira,chuki, Majuto nayo yanakuwa karibu na Ukiingia tu Makwazo yanaanza mi defense yangu ni kuwa serious tu au naenda chumba cha wageni najifanya kuna kazi nafanya huko kumbe nipo busy kufurahi na comedy contents imagine mimi na utu uzima wangu nimetoka 850k nimenunua PS4 ili tu nisiwaze ujinga wa nyumbani...

Madogo jipange kabla ya kuoa mtakuja kuwa watu wa Ajabu sana msipoangalia...

Watasema umekosea kuchagua No no no no,kama kuna watu walijipanga kuchagua basi mimi ILa bado nakwambia they have nothing to offer.Hawa watu ni fake sana..

Mi mke wangu akitokea leo hii mbele ya mwanaume yeyote yule 85% watasema mke ndo huyu ila niishie hapo tu...

Shauri yenu...
 
Kampeni zinazohamasisha watu kukataa ndoa zisipewe nafasi Kwa kuwa hazina Nia njema ya kujenga jamii, kinyume chake zinaharibu maadili yetu kama watanzania, wewe unayeshawishi watu wasioE umelelewa kwenye ndoa halafu unapotosha wengine wasioe .
Kataa Ndoa
Ndoa ni Utumwa
Ndoa ni Utapeli
Kataa Ndoa.
 
Kampeni zinazohamasisha watu kukataa ndoa zisipewe nafasi Kwa kuwa hazina Nia njema ya kujenga jamii, kinyume chake zinaharibu maadili yetu kama watanzania, wewe unayeshawishi watu wasioE umelelewa kwenye ndoa halafu unapotosha wengine wasioe .
Hakuna anaekataa kuoa, bali watu wanakataa ndoa, ni kweli hamuelewi?
 
Kampeni zinazohamasisha watu kukataa ndoa zisipewe nafasi Kwa kuwa hazina Nia njema ya kujenga jamii, kinyume chake zinaharibu maadili yetu kama watanzania, wewe unayeshawishi watu wasioE umelelewa kwenye ndoa halafu unapotosha wengine wasioe .
Kataa Ndoa
Ndoa ni Utumwa
Ndoa ni Utapeli
Kataa Ndoa
Kataa Ndoa
Ndoa ni Utumwa
Ndoa ni Utapeli
Kataa Ndoa.
Nitafute Mali zangu mwenyewe kwa jasho, Biashara,Nyumba, gari halafu nioe tukiachana eti tugawane mali aise" Kataa Ndoa.
Ndoa ni Utapeli
 
Mkuu, mwanzo dada yangu alihisi namsingizia

Ila kuna siku alinijibu mbovu mbele yake ndo akaamini

Nilishafanya vikao sana ikafikia hatua mwisho wa siku Dada yangu akaniambia,

"Bwana we mi nimeshasema weeeee nimechoka, kilichobaki pambania mwenyewe ndoa yako"

Hapo nimeshaitisha vikao vya kifamilia sana wajomba zake wameshakuja kusuruhisha anakaa anatulia wiki tatu wiki ya nne anarudia, yaani alikuwa anatulia ndani ya wiki tatu tu ya nne analianzisha tena

Akawa anawapigia simu wajomba zake anawajaza maneno weeee mwisho wa siku mimi ndo nikawa naonekana mbaya

Siku nikawa nikitaka kuonana na mjomba wake akawa ananikwepa

Nikaona mambo yasiwe mengi ikabidi niachane nae

Maana wajomba zake baada ya kusuruhisha mara mbili zote mwisho wa siku anakuja kurudia tabia zake zile zile kisha anawapigia simu na kuanza kunipaka ili mimi nionekane mbaya

Na ndugu zangu walishachoshwa na sisi

Ikabidi niachane nae tu japo tulikuwa na watoto wadogo mmoja alikuwa ndo kwanza ana miezi minne(hii mpaka leo nikifikiria inaniumiza)
Ila hakuna namna

Mkuu, mwanzo dada yangu alihisi namsingizia

Ila kuna siku alinijibu mbovu mbele yake ndo akaamini

Nilishafanya vikao sana ikafikia hatua mwisho wa siku Dada yangu akaniambia,

"Bwana we mi nimeshasema weeeee nimechoka, kilichobaki pambania mwenyewe ndoa yako"

Hapo nimeshaitisha vikao vya kifamilia sana wajomba zake wameshakuja kusuruhisha anakaa anatulia wiki tatu wiki ya nne anarudia, yaani alikuwa anatulia ndani ya wiki tatu tu ya nne analianzisha tena

Akawa anawapigia simu wajomba zake anawajaza maneno weeee mwisho wa siku mimi ndo nikawa naonekana mbaya

Siku nikawa nikitaka kuonana na mjomba wake akawa ananikwepa

Nikaona mambo yasiwe mengi ikabidi niachane nae

Maana wajomba zake baada ya kusuruhisha mara mbili zote mwisho wa siku anakuja kurudia tabia zake zile zile kisha anawapigia simu na kuanza kunipaka ili mimi nionekane mbaya

Na ndugu zangu walishachoshwa na sisi

Ikabidi niachane nae tu japo tulikuwa na watoto wadogo mmoja alikuwa ndo kwanza ana miezi minne(hii mpaka leo nikifikiria inaniumiza)
Ila hakuna namna
Pole sana jmn watu wa hivi hufanya makusudi ikiwa wanajua wanapendwa.Ataenda ila kuna siku atarudi,kuna wanawake wengine hutumia upendo wa mtu vibaya akijua anapendwa ataanza kukudharau,kukufanyia mabaya kwa kuwa anajua huwezi kumuacha.Ila ipo siku atarudi dunia ya leo kupata wa kuoa ni ngumu sana.Kwa kuwa dini yako inaruhusu tafuta mwingine mwenye vigezo vya kukufaa mtu mmoja asikusababishe uione dunia mbaya.Wanawake wema bado wapo duniani
 
Wasalaam.

Hivi karibuni, humu jukwaani kumezuka na idadi kubwa ya vijana na sera yao ya kukataa ndoa.

Nimekuwa nikizisoma nyuzi zao na kutafakari nini haswa kilicho nyuma ya kampeni zao? Ukweli ni kuwa, hiyo ni njia ya kueneza ushoga kwa namna ya tofauti. Ni vijana waliokosa dira na wenye mshawasha wa kubinuliwa na wanaume wenzao.

Wanawashawishi wengine wakatae ndoa ili wafanane nao. Kwamba wao hawajaoa kwa sababu wanatinduliwa kwenye mitaro basi na jamii iwachukulie kawaida na wale ambao hawajaoa.

Lengo la ushoga duniani ni kupunguza idadi ya watu na kumuudhi Mwenyenzi Mungu. Na msingi wowote wa familia ni ndoa. Kuikataa ndoa ni kukataa kuwa na familia. Tunajenga jamii ya watu wa hovyo mno. Tukatae kampeni hizo zenye nia ovu.

Ukiwasoma, wanakimbia changamoto za kawaida za kifamilia. Na mwanaume tumeumbwa ili kupambana na changamoto zozote za kidunia. Kuziepuka changamoto hizo ni kuukana uanaume wako. Kuukana uanaume ni kuukaribisha ukike ndani ya uanaume ambao ndiyo Ushoga wenyewe.

Jamii iwe macho na tukemee kampeni za aina hiyo zenye lengo la kuleta mtafaruku ndani ya taifa letu.
 
Pole sana jmn watu wa hivi hufanya makusudi ikiwa wanajua wanapendwa.Ataenda ila kuna siku atarudi,kuna wanawake wengine hutumia upendo wa mtu vibaya akijua anapendwa ataanza kukudharau,kukufanyia mabaya kwa kuwa anajua huwezi kumuacha.Ila ipo siku atarudi dunia ya leo kupata wa kuoa ni ngumu sana.Kwa kuwa dini yako inaruhusu tafuta mwingine mwenye vigezo vya kukufaa mtu mmoja asikusababishe uione dunia mbaya.Wanawake wema bado wapo duniani
Aliniambia huyo mwanamke asharudi anataka warudiane, jamaa ana mtu mwingine kwa Sasa

Nikamwambia USIRUDIE MATAPISHI.

Over.
 
Back
Top Bottom