min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mda tu wewe ni kataa ndoa sema unajifanya kichaaTuko pamoja [emoji106]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mda tu wewe ni kataa ndoa sema unajifanya kichaaTuko pamoja [emoji106]
Sema naishi na Wanawake zaidi ya mmoja ndo nitakuelewa. Sio nimeishi (wakati uliopita timilifu) . Na hata ikiwa hivo Hauna tofauti na mtu mwenye ndoa ya wake wengi.Nmeishi na wanawake zaid ya mmoja mkuu naweza waacha bila kuja kulilia huku mambo ya dawati na usawa wa kijnga
Mimi sikatai ndoa, nimekwambia badilisha heading iwe "kataa Sheria Mbovu za ndoa" na sio "kataa Ndoa". Nitaunga mkono hoja.Mda tu wewe ni kataa ndoa sema unajifanya kichaa
Ukisema ndoa inaleta ukakasi na hsra kbsaSema naishi na Wanawake zaidi ya mmoja ndo nitakuelewa. Sio nimeishi (wakati uliopita timilifu) . Na hata ikiwa hivo Hauna tofauti na mtu mwenye ndoa ya wake wengi.
Mfano ww unachokataa hapa ni Sheria Mbovu za ndoa na haujakataa ndoa sababu ndoa unayo Tyr.Mda tu wewe ni kataa ndoa sema unajifanya kichaa
Bila hizo sheria mbovu hakuna ndoaMimi sikatai ndoa, nimekwambia badilisha heading iwe "kataa Sheria Mbovu za ndoa" na sio "kataa Ndoa". Nitaunga mkono hoja.
Mimi sina ndoa kama hautaki basiiiii .Mfano ww unachokataa hapa ni Sheria Mbovu za ndoa na haujakataa ndoa sababu ndoa unayo Tyr.
Kwaio wazazi wako kabla ya hizi Sheria walikuwa kundi Gani ?Bila hizo sheria mbovu hakuna ndoa
Nimekwambia kama hujui kuwa una ndoa nipe namba ya huyo mwanamke unaeishi NAE nyumba moja na umemzalisha alafu mfukuze kwako kuanzia Leo yaani mkane katukatu alafu ndo tutajua kama una ndoa ama huna.Mimi sina ndoa kama hautaki basiiiii .
Tangu mwaka juzi alikuwa ananiomba msamaha turudiane baada ya kuachika mara ya piliJe, anajuta kwa wewe kumuacha au anaona poa tu?
Ili muunganiko kimahusiano wa me na ke uitwe ndoa lazima ishuhudiwe na watu wawil au zaidi na isainiwe kisheria , watu hawawez vutana tu kuishi useme wana ndoa .Kwaio wazazi wako kabla ya hizi Sheria walikuwa kundi Gani ?
Hujajibu swali nimekuuliza wazazi wako walikuwa kundi Gani?Ili muunganiko kimahusiano wa me na ke uitwe ndoa lazima ishuhudiwe na watu wawil au zaidi na isainiwe kisheria , watu hawawez vutana tu kuishi useme wana ndoa .
Nilishaachana naye mkuu, akaolewa huko akadumu kwenye ndoa mwaka mmoja kisha akaachika tenaHujasema mliishia wapi! Hebu ongeza nyama. Tupo wapi kwa sasa?!
Mkuu utafanya nini labda utakachofanikiwa ni kumla tuNimekwambia kama hujui kuwa una ndoa nipe namba ya huyo mwanamke unaeishi NAE nyumba moja na umemzalisha alafu mfukuze kwako kuanzia Leo yaani mkane katukatu alafu ndo tutajua kama una ndoa ama huna.
THUBUTU
Sio lazma nijibu kwa mtindo unaotaka ww , unachoongea ni kweli lakini sio sahihi sana , ndio maana watu wanaishi na wanawake wanatelekeza na hawafanyi chochote zaid tu unatumia busara kumpa vimatumizi ili alee watoto.Hujajibu swali nimekuuliza wazazi wako walikuwa kundi Gani?