Ukaombewe na binadamu mwenzio...a mere mortal...huo ni ufala.Hata kwenye maombi makanisani wanawake wanaoshiriki ni wengi hali huwasaidia sana kuliko wanaume.
Wanaume ni wachache wanaoitikia kwenda kuombewa kama ambapo huwa wazito kwenda hospitali.
Fact...Men die early than women because they do not talk about their problems, they secretly opt try resolving it on themselves without involving anyone else, especially their marital affairs or financial issues. Hatuongei kama hawa kasuku wetu.
Wapo wengi tu.Kumpata sasa huyo mwanamke ambaye sio overused ndio kimbembe
Wako wapi? Mbona siwaoni?Wapo wengi tu.
Dah!..bidii yote hiyo ili mwishowe upewe nini?....tuzo au kombe ?Kweli kabisa wana maneno ya hovyo sana hawa viumbe usipowatombaa vizuri. Dawa yao vumbi tuu mpaka mbususu iteteme kama mayele
Endelea kutafuta.....utawaona tuWako wapi? Mbona siwaoni?
Bidii yote hiyo ni ili mwanamke mapaja yake yateteme kama mayele na aendelee kuileta mbususu nikojowe.Dah!..bidii yote hiyo ili mwishowe upewe nini?....tuzo au kombe ?
ni kweli kabisaMen die early than women because they do not talk about their problems, they secretly opt try resolving it on themselves without involving anyone else, especially their marital affairs or financial issues. Hatuongei kama hawa kasuku wetu.
Lile ni shimo tu uking'ang'ania sana utakufa mapema!Habari ya Jumapili waungwana!
Nimekuwa nikitafakari saana na ukisoma baadhi ya maandiko ya afya, uchumi na wanasaikolojia wote wanazungumzia LIFE EXPECTANCY YA MWANAUME YAANI kiwango cha muda wa kuishi wanaume ni kidogo duuu!!
Ndipo nikarejea katika uhalisia, babu alishakufa bibi yupo, mwalimu Nyerere alishakufa mama Maria yupo, Mgabe, Mkapa, Magufuli, Mobutu, Kulola was EAGT, Mwenisongole wa TAG na wengine humu tuna akina mama baba zetu walishatangulia na wake zao bado wapo nini tatizo kwa wanaume?
Sasa hapa kuna possible answers; NABII MURIRI ANASEMA
Tazama video hapa chini:
1. Wanawake wamekuwa sumu kwa wanaume, utakuta mwanaume yupo na majukumu mengi stress's za kazini, biashara haiendi, mikopo hailipiki, ada za watoto, kukatwa mshahara kazini, kufokea na bosi unarudi nyumbani ukitegemea faraja ipo nyumbani, ndiyo kwanza mke anasimamia kucha anakuchamba, kelele nyingi, umri hupunguzwa saana na stress.
Lakini pia mwanaume anapokuwa na hasira muda mrefu kuna sumu inamwagika mwilini na hii ndiyo inatuuwa ama kuzeeka kabla ya umri halisi wa kuzeeka.
2. KUFANYA MAPENZI
Katika tendo la ndoa mwanaume anatumia nguvu nyingi saana kuliko mwanamke, wakati wa tendo lenyewe na wakati wa Ejaculation,(kumwaga) mfana wadudu kama nyuki hufaa baada ya tendo, na wanyama wengine pia maisha yao ni mafupi kutokana na mapenzi just my views.
3. Kazi ngumu bila kupumzika kwa wastani mwanaume anapaswa kufanyakazi kwa saa nane (8) na kula pia wastani wa saa nane pia (8).
Sasa tunaji overdose na kazi kutokana na maisha au vitabu vya dini vinasemaje juu ya umri wa mwanaume.
Sasa je, ni kwa nini wanaume tunakufa mapema na kuwaacha wanawake wakiishi?
Mimi nimetoa maoni yangu wewe je, nini tatizo?
naunga hoja,kwel kabisa.Baba anapokuwa bado ana nguvu, yuko kazini huwa anakua na nguvu na ushawishi mkubwa sana kwenye familia yake, familia humsikiliza, huzingatia uwepo wake!
Tatizo huanza pale baba anapozeeka, nguvu za uzalishaji mali zimekwisha, amestaafu! Na pale watoto wanapokua wamekua watu wazima wameanza maisha yao! Hapo ndipo mambo kwa baba humgeuka!
Mkewe huanza kumchukulia poa! Ile heshima aliyokuwa akipewa huanza kupungua taratiib.. baba hasikilizwi tena Kama zamani, isitoshe anakua hahusishwi sana tena kwenye mambo ya mkewe sababu hata akiambiwa atasaidia nini na pesa hana? Badala yake mkewe huanza kuwafanya watoto kuwa washirika wake zaidi na kumuweka kando mumewe... Baba anaachwa pembeni!
Mama huanza safari kwenda kwa watoto, huko hukaa sana, baba kaachwa nyumbani peke yake! Watoto wanagombea mama aende kwao, lkn baba hakuna anayemtaka!
Wakiwa nyumbani na mkewe, simu toka kwa watoto 80% anapigiwa mama, baada ya maongez mareefu, ndo baba anapewa simu anasalimiwa dk 2 imeisha hiyo! Baba simu anayo, ila haoni simu za watoto wakimpigia, na wakimpigia ni kwa sababu maalumu tena maongez huwa mafupi! Hawana muda nae!
Baba anajikuta anakuwa mpweke sana, anakua mgeni kwa familia yake mwenyewe! Wale ambao alizimalizia nguvu zake za ujana kuwatafutia hawana muda nae!
Pale baba anapokuwa anaihitaji sana faraja ya familia yake sababu ameshazeeka... Familia humpa kisogo! Upweke unamsonga! Sababu ya upweke mawazo humsonga, hili hupelekea kinga ya mwili kushuka na kufanya iwe rahisi kushambuliwa na magonjwa na haichukui muda anafariki!
Familia wataliaa, watachapisha matisheti, watatoa mapesa kumnunulia sanduku la gharama na kumjengea kaburi la gharama, mitandaoni watampost sana! Lakini alipokuwa hai... No one cares!
Tuwajali baba zetu, walijitoa na kujinyima sana kufanya tufike tuliko! Ni dhambi mbele za Mungu tena ni laana mbaya kuwapuuza baba zetu!
Wakati unaendelea kumsifia mama yako kuwa ni bora,msifie hata baba kwa kukuchagulia mama aliye bora.Mwanaume unamtumia mama laki moja baba anatumiwa elfu tano hivyo unapoka madaraka ya baba nyumbani maana mwenye pesa ndiye mwenye mamlaka. Baba anaambiwa usipotii hutakula umesahau nawe ni mwanaume yatakukuta kama hayo
Duh kweli bhana, wengine tumeanza kuexperiece tunajiliwaza mitandaoni akili isizimike.Baba anapokuwa bado ana nguvu, yuko kazini huwa anakua na nguvu na ushawishi mkubwa sana kwenye familia yake, familia humsikiliza, huzingatia uwepo wake!
Tatizo huanza pale baba anapozeeka, nguvu za uzalishaji mali zimekwisha, amestaafu! Na pale watoto wanapokua wamekua watu wazima wameanza maisha yao! Hapo ndipo mambo kwa baba humgeuka!
Mkewe huanza kumchukulia poa! Ile heshima aliyokuwa akipewa huanza kupungua taratiib.. baba hasikilizwi tena Kama zamani, isitoshe anakua hahusishwi sana tena kwenye mambo ya mkewe sababu hata akiambiwa atasaidia nini na pesa hana? Badala yake mkewe huanza kuwafanya watoto kuwa washirika wake zaidi na kumuweka kando mumewe... Baba anaachwa pembeni!
Mama huanza safari kwenda kwa watoto, huko hukaa sana, baba kaachwa nyumbani peke yake! Watoto wanagombea mama aende kwao, lkn baba hakuna anayemtaka!
Wakiwa nyumbani na mkewe, simu toka kwa watoto 80% anapigiwa mama, baada ya maongez mareefu, ndo baba anapewa simu anasalimiwa dk 2 imeisha hiyo! Baba simu anayo, ila haoni simu za watoto wakimpigia, na wakimpigia ni kwa sababu maalumu tena maongez huwa mafupi! Hawana muda nae!
Baba anajikuta anakuwa mpweke sana, anakua mgeni kwa familia yake mwenyewe! Wale ambao alizimalizia nguvu zake za ujana kuwatafutia hawana muda nae!
Pale baba anapokuwa anaihitaji sana faraja ya familia yake sababu ameshazeeka... Familia humpa kisogo! Upweke unamsonga! Sababu ya upweke mawazo humsonga, hili hupelekea kinga ya mwili kushuka na kufanya iwe rahisi kushambuliwa na magonjwa na haichukui muda anafariki!
Familia wataliaa, watachapisha matisheti, watatoa mapesa kumnunulia sanduku la gharama na kumjengea kaburi la gharama, mitandaoni watampost sana! Lakini alipokuwa hai... No one cares!
Tuwajali baba zetu, walijitoa na kujinyima sana kufanya tufike tuliko! Ni dhambi mbele za Mungu tena ni laana mbaya kuwapuuza baba zetu!
Wakati unaendelea kumsifia mama yako kuwa ni bora,msifie hata baba kwa kukuchagulia mama aliye bora.Mwanaume unamtumia mama laki moja baba anatumiwa elfu tano hivyo unapoka madaraka ya baba nyumbani maana mwenye pesa ndiye mwenye mamlaka. Baba anaambiwa usipotii hutakula umesahau nawe ni mwanaume yatakukuta kama hayo
Haya ndiyo yalimpata mzee Augustine Lyatonga Mrema na kuamua kufunga ndoa na mdada mbichi kabisa.Familia wataliaa, watachapisha matisheti, watatoa mapesa kumnunulia sanduku la gharama na kumjengea kaburi la gharama, mitandaoni watampost sana! Lakini alipokuwa hai... No one cares!
Na Mara nyingi baba kama huna urafiki na mkeo uzeeni hutakaa ufaidi hata shilingi moja ya watoto wako.Baba anaambiwa usipotii hutakula umesahau nawe ni mwanaume yatakukuta kama hayo
Kuna familia ya karibu waliishi hivi hivi na baba yao,, na mzee alivuta kweli ila kwa manung'uniko sana, ila kuna wanawake watata mweeNa Mara nyingi baba kama huna utafiki na mkeo uzeeni hutakaa ufaidi hata shilingi moja ya watoto wako.
Watato watakuja nyumbani watampa baba baba hela kidogo (mf 50,000) huku mama akiona. Lkn kwa kificho mama atapewa laki 2.
Baada ya watoto kuondoka mama huitaka tena hela aliyopewa baba na watoto. Baba anabakia na zero.
Baba akiwa mzee na watoto wakiendelea kukua ndiyo anakuwa mashakani wakati mama kila uchwao watoto wanavyozidi kukua ndiyo anakuwa na uhakika wa maishaKuna familia ya karibu waliishi hivi hivi na baba yao,, na mzee alivuta kweli ila kwa manung'uniko sana, ila kuna wanawake watata mwee