Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Umaskini tu unachangia yoteSababu kubwa inayotuua wanaume Hasa vijana
1.CHAKULA MARA 1
2.POMBE KALI
3.KAZI NGUMU
4.WANAWAKE WAZEE
Huchomoki ovr 40yrs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umaskini tu unachangia yoteSababu kubwa inayotuua wanaume Hasa vijana
1.CHAKULA MARA 1
2.POMBE KALI
3.KAZI NGUMU
4.WANAWAKE WAZEE
Huchomoki ovr 40yrs
Kikubwa ni tutafute pesa tukiwa wazee tusitegemee misaada ya watotoNdo ukute mzee enzi akiwa na nguvu alikuwa mnyanyasaji, show atakayopewa atafurahi na roho yake
Kwa kawaida mwanamke anaumiza Sana kichwa wakati wa kutafuta mume. Akishampata na akaolewa anaingia ktk likizo ya maisha.Wanaume tunafikiria sana ubongo unachoka wanawake unaweza kukuta kuanzia asubuhi hajawaza kitu cha kumoasua ndonga..kingine wanaume mihamala too much inatusubiri too much control number [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukiwa mnoko kama sisi, lazima uhakikishe unawekeza ili ufaidi uzeeni. Ni ujinga kutowekeza maana unapostaafu sema at 60, ukipata pension yako haraka unaibwaaga BoT. Hutategemea vihela vya watotoNdo ukute mzee enzi akiwa na nguvu alikuwa mnyanyasaji, show atakayopewa atafurahi na roho yake
Ndivyo tulivyofanya, bwashee ili mitoto hasa ya kiume isitunyanyaseKikubwa ni tutafute pesa tukiwa wazee tusitegemee misaada ya watoto
[emoji28][emoji28]Wanaume tunafikiria sana ubongo unachoka wanawake unaweza kukuta kuanzia asubuhi hajawaza kitu cha kumpasua ndonga..kingine wanaume mihamala too much inatusubiri too much control number [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakazia...na bangi nyingiSababu kubwa inayotuua wanaume Hasa vijana
1.CHAKULA MARA 1
2.POMBE KALI
3.KAZI NGUMU
4.WANAWAKE WAZEE
Huchomoki ovr 40yrs
Kikubwa ni kujikujipenda zaid ss wnyewe (wanaume) kwanza, kutoruhusu stress zisizo za lazima, kujipa wakat wa kuburudisha nafsi zetu.....bila kuathiri majukum yetu kwa familia.....hakika tutakufa wakat wa Mungu.Duh kweli bhana, wengine tumeanza kuexperiece tunajiliwaza mitandaoni akili isizimike.
Kuna projects moja enzi hizo ndio nimetoka chuo kwenye team tulikuwa na wazee , mda fulani wa jioni baada kupiga masanga. Wale wazee wakaniambia dogo hakikisha una account yako ya kutunza hela zitakazo kulea uzeeni ambayo mke wako haijui na kuna mmoja akasema ana nyumba yake ya siri ambayo mke wake haijui nikasema duu haya mapya.Wanaume kama umebahatika umeajiliwa na ukafikia kustaafu,usifanye kosa
kutumia mafao yako kujenga nyumba n.k
weka pesa yako kwenye mifuko ya akiba kama vile UTT na benki kuu
siku nguvu zikiisha hata kama mkeo hakupendi atapenda pesa,utatunzwa hadi umauti ukukute,
Tatizo kubwa linalowakumba wanaume,mshahara wote unatunza familia.
unasomesha watoto,unashindwa kujenga nyumba ya ndoto yako.
kununua gari ya ndoto yako,ukipata mafao ya uzeeni unajenga nyumba na kununua gari
na pesa yote inaisha,unaanza kulaani watoto kwa kutokukutunza.
Ni kweli watoto wana wajibu wa kuwatunza wazazi wao,ila
wanaume tujitahidi kuweka akiba,tusijisahau.
Mayage yenga wa mpanda alioa watatu kwa mpigo sababu yake alisema alisha wahi kuoa mke moja alimtesa sanaa, shauri huyu rafiki yako pamoja na machungwa aongeze matunda mengine kama maembe na tikiti avute wa pili, hao wa dudu wa kianza hawatibikiIlikua jumapili Wakati Narudi toka mizunguko yangu ya kumsalimu rafiki angu anaeishi Malamba mawili. Kabla yakufika nyumbani nilipita kumsalimu rafiki yangu ambae tumefahamiana toka 2014 ofisin kwake pharmacy ni mtaalamu wa madawa. Nilifungua mlango nikamkuta kijana makamo 25-28 anajaribu kunusuru ndoa yake kwa kuomba ushauri kwa rafiki yangu muuza madawa ,kuwa afanye nini mke wake ana msaliti na amemuoa tayari akiwa na mtoto mmoja.
Kijana uyo ni mpambanaji sana anajihusisha na shughuli za uuzaji wa machungwa stendi kulingana na mujibu wa kazi yake huwa anatoka sa mbili asubuhi na kurudi sa tano ya usku. Amekua akijitahidi sana kumtimizia mkewe mahitaji yake yake muhimu napoongea ivo watu wazima wanakua wananielewa vizuri.
Siku za karibuni alikua akihisi mkewe ana mahusiano na mtu mwingine mana upendo aliouzoea umepotea hadi penzi kupoteza dira . Kijana alihisi ivo baada ya kuona dalili mbalimbali katika mahusiano yao ikiwemo kumnyima unyumba kwa siku tatu (3) , akamdanganya kuwa ana mimba yake lakini kila akimwambia twende tukapime anakataa ikumbukwe ni mke wake halali na pia mwanamke anakua yupo busy sana kuchat kipindi wapo pamoja badala yakumjali mumewe. Kila alipo ulizwa alisema yakua anawasiliana na rafiki zake waliosoma pamoja amna lolote baya.
Kadri siku zinavozidi kwenda kijana anakosa aman anakua mtu wa mawazo baada ya ndoa yake kuingia dosari. Siku ya Jumamosi alivorudi katika mizunguko yake alioga akala na akajipumzisha kitandani kutoka na hali ya msongo wa mawazo iliyokua inamkabili alishindwa kupata usningz vyema wakat huo bibie tayari alikua ashalala fofofo. Akasikia mlio wa meseji kuingia kwenye simu ya mkewe hakusita aliamua kuichukua ili ajue ni nini kinaendlea sio kawaida nyakati za usku mseji kuingia ilikua n mida ya saa 7 usku ,,meseji ilikua ikisomeka ivi "MKE WANGU NAOMBA TUKUTANE PALE TUNAPOKUTANA SIKU ZOTE" ,, Kijana alipigwa na Butwaa kubwa na mapigo ya moyo kuenda kasi Nakujiuliza kitu gani amekosa kama mahitaji yake ya msingi anampatia tena kwa wakati? Katika kuchunguza zaidi alikuja kugundua namba iliyotuma uo ujumbe ni namba ya mpenzi wake wa zamani ambae wamezaa nae huyo mtoto mmoja. Balaa linazidi kuwa zito
INAENDELEA ..............