Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Michepuko ni gharama ila inaondoa sumu mwilini,jaribu utanishukuru.Stress za wanawake na watoto wa damu yao.
Mwanaume angeamua kuachana na mwanamke bila shida, tatizo ni pale mwanamke akileta shobo na mume kuwaza athari zitakazowapata watoto pale anapoamua kuiacha familia.
Hii humuondoa mapema sana mwanaume.
wakiendelea hivi watakufa haraka kufa haraka sana wakalipe matendo yaoWanawake nao washajua yaani wametulia hawana presha, wanamiliki mijengo...
ndiyo ila hakufa ..kuna kufa kwa aina nyingiHata Yesu alikufa akiwa na miaka 30+
Wapalestina WA kaskazini washajigundulia hiyo formula😊Wanawake nao washajua yaani wametulia hawana presha, wanamiliki mijengo...
ila hakufa kama wengine wanapokufa kiakili na kimwili Yesu alikufa ila akafufukaHata Yesu alikufa akiwa na miaka 30+
ila hakufa kama wengine wanapokufa kiakili na kimwili Yesu alikufa ila akafufukaHata Yesu alikufa akiwa na miaka 30+
wanaume wanajiroga wenyeweWapalestina WA kaskazini washajigundulia hiyo formula😊
Hapo kwenye maneno makali ni ya wanaume wa wapi?! Hayo ni mambo ya wanawake bhanafanya utafiti wale wanaopiga wanawake au kutoa maneno makali
Duh,hata ukimfumania mwanamke. Bora ubaki kimya ukafungua mdomo wako ndio kifo chako wewe
1.kumbuka wanawake ukiongea neno lolote analiweka haya nyie mnaotukana unafikiria yanakwenda hivi hivi? no unaamsha dubwashaa .2.usilolijua usiku wa kiza na giza hivi unajua mwanamke wako ametoka wap? haya mfano ametokea katika utawala wa giza umemtukana au umempiga nakuambia unakufa hauchukui muda unakufaHapo kwenye maneno makali ni mambo ya wanawake bhana
Duh,
Ya kweli hayo?
Kwa hiyo uwe unapigwa pipe mumeo umetulia tuliii ?!!! Hapo si atakata moto kwa stress?
Nadhani kuna sababu zingine za msingi hujazingatia. Mfano unywaji pombe uliokithiri, sigara, ulaji mbovu, kazi ngumu sana zinazoumiza viungo, baadhi ya magonjwa hatari ya zinaa, msongo wa mawazo kutokana na kelele za mke au ugumu wa maisha, ukosefu wa tiba nzuri, nk..
wakamwambia mbona sisi sio vipofu? Yesu aliwaambia ni vipofu kwa sababu wanatazama ila hawaoni # know thy selfSiku za hivi karibuni kumeibuka watu wanapost thread za ajabuajabu.
Mleta mada yamkini hajawahi hata kukaa na mwnaamke GHETO 😄😄😄😄
🥱🥱🥱🥱Alamsiki!!!wakamwambia mbona sisi sio vipofu? Yesu aliwaambia ni vipofu kwa sababu wanatazama ila hawaoni # know thy self
naomba unijibu hili swali umetoka wapi unaenda wap?
umeandamana🥱🥱🥱🥱Alamsiki!!!