Ukiomba lift gari la taka harufu ni lazima.
Sasa umeoa mtu ana mtoto ni vigumu kumnyima tamu baba watoto wake.
H
 
Mayage yenga wa mpanda alioa watatu kwa mpigo sababu yake alisema alisha wahi kuoa mke moja alimtesa sanaa, shauri huyu rafiki yako pamoja na machungwa aongeze matunda mengine kama maembe na tikiti avute wa pili, hao wa dudu wa kianza hawatibiki
nimeupokea ushauri wako
 
Hizo zote ni useless, shida n moja tu mnatumika sana enzi za ujana wenu na wengine hadi uzee wao bado wanajikuta bado wapo, sasa lazima achoke sana na mwishowe kujifia mapema ukichanganya na magonjwa ya uzeeni ndio basi tena
wee sio kwl
 

Inaendelea imekuwa mto?
 

Inaendelea imekuwa mto?
 
WaNawake ni wabinafsi
 
Sehemu ya maisha.

BTW Kuna faida / hasara yyt ya kuishi miaka mingi?

Kifo kipo palepale haijalishi
 
ukikubali kunyanyasika sababu eti watoto watapata shida utakufa asubuhi tu. Mtume IBrahim alimwacha Sarah na ismai jangwani akajikataa, akarudi Ismail kashakua. Sasa wewe endelea kuteseka sababu ya watoto, kikubwa hakikisha unatuma pesa za matumizi na gharama zake za maisha, mama yake mpige chini.
 
Umemaliza kila kitu wewe jamaa hayo ndio maamuzi ya kiume na huu uzi uishie hapa.
 
Hizo pesa unatuma za nini, nunua mahitaji peleka mkabidhi watoto wako wakiona. Kama ni ada shika mkono mwanao nenda nae shule lipa ada. Hawa kina mama wanatake advantage sana ya wanaume, wazee wanakufa wakiwa wapweke kanakwamba hawana damu zao walizozipigania. Toto limehudumiwa kila kitu na baba mpaka elimu ila halina mda na baba yake kazi ni kuimba nani kama mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…