mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hiki ndicho kilisababisha wife agome watoto kusoma sheria! Sasa nimeshamwelewa! Kama mbingu ipo, mawakili hawataiona!Wakili wa mbowe kafanya yake.
Kuna siku nilisema humu kazi ya" wakili ni kubadilisha ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli."
Sheria ni utapeli mtupu ,mtu anafanya dhulma kweny haki ya mtu.Hiki ndicho kilisababisha wife agome watoto kusoma sheria! Sasa nimeshamwelewa! Kama mbingu ipo, mawakili hawataiona!
Unaijua b2 lakini?Kibatala kakunja sichini ya B 2 hapo
Ni kweli tatizo lipo hukoHakuna watu wa hovyo kama polisi! Wanaharibu sana kesi za mauaji kwa tamaa zao! Ifike mahali wananchi wamalize hizi changamoto kienyeji! Sumbawanga/Katavi/Kigoma siyo mbali!
Shida sio kakolaki.
Kakolaki ni mzoefu kwenye kesi za jinai kafanya miaka mingi tangia akiwa wakili aa serikali , kapitia pia tume ya kupambana na madawa ya kulevya, huko ndiko anakopajua.
Tatizo lipo kwenye upepelezi, haufanyiki vizuri, niliwahi kushauri hapa na pia tume ya haki iliyoundwa na kumpa ripoti Rais Samia ilikuja na maoni kama hayo kuwa iundwe taasisi maalum ya upelelezi wa makosa ya jinai.
Bila kufanya hivyo tutarudi hapa kulaumiana kila siku.
Biashara hiyo Huwa inawapeleka kubaya.Wakili wa mbowe kafanya yake.
Kuna siku nilisema humu kazi ya" wakili ni kubadilisha ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli."
Kuna chuo kikuu kinatoa degree ya upelelezi Tanzania?Ni kweli tatizo lipo kwenye wapelelezi wanaharibu sana kesi
Sheria duniani haki mbinguni mjukuuIla sheria hizi, bas tyuuh
Kama RIB ya Rwanda au DCI ya Kenya. Itasaidia sanaShida sio kakolaki.
Kakolaki ni mzoefu kwenye kesi za jinai kafanya miaka mingi tangia akiwa wakili aa serikali , kapitia pia tume ya kupambana na madawa ya kulevya, huko ndiko anakopajua.
Tatizo lipo kwenye upepelezi, haufanyiki vizuri, niliwahi kushauri hapa na pia tume ya haki iliyoundwa na kumpa ripoti Rais Samia ilikuja na maoni kama hayo kuwa iundwe taasisi maalum ya upelelezi wa makosa ya jinai.
Bila kufanya hivyo tutarudi hapa kulaumiana kila siku.
"Hakika Mwenyezi Mungu anakuamrisheni mzirudishe amana kwa wenyewe. Na mnapo hukumu baina ya watu mhukumu kwa uadilifu...." (Kurani 4:58)Mawakili wa serikali hamna kitu kabisa, kesi ilikua wazi kabisa ila wanashindwa kuwa serious. Sijui nini ambacho wanaweza hawa watu!! Na hata wangeshinda kesi wangeenda kubwagwa kwenye rufaa.
Yuko paradisoHuyu wakili hakumbuki kilikuwa na wakili anaitwa Lamwai?
Yuko wapi!!
Alafu watu wakasema anatukana MAHAKAMAMakonda maneno yake kwamba mahakama hakuna haki kwa wanyonge nahisi yana ka ukweli
Vifo vikaleta amaniVita ikaleta vifo
watu hawaelewi maana ya hatia pasi na shaka..Kwa nini wengi wanapinga hii hukumu utadhani wana uhakika kuwa ni yeye aliua? kwani huyo dada wa ''bilionia'' aliyeuawa ndugu zake hawana fedha? Wazazi hawakubakia na chochote?