Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Alimuua mme wake akamchinja wifi yake, wewe na ukoo wako mtachomwq petrol
Huyu wakili hakumbuki kilikuwa na wakili anaitwa Lamwai?
Yuko wapi!!
Hiki ndicho kilisababisha wife agome watoto kusoma sheria! Sasa nimeshamwelewa! Kama mbingu ipo, mawakili hawataiona!
Ila mkuu ni wachache sana! Sidhani kama katika 10 unaweza kupata hata wa3!Hapana mkuu ni kuwafanya wawe waadilifu. Wasisimamie mkosaji kumnasua kwa kisingizio cha kisheria.
Kuna wanasheria wakishajua ukweli tu, wanakukataa. Hawapo tayari kutetea uovu kisa kuna uwazi wa kisheria.
Hiki ndicho kilisababisha wife agome watoto kusoma sheria! Sasa nimeshamwelewa! Kama mbingu ipo, mawakili hawataiona!
Ni kweli chuki inaweza kuwepo kwa wakwe, lakini pia wajue kuna wajukuu; niliwaona hawafai pale walipoingilia mali za watoto
Sasa unamtisha wakili ana kosa gani. Yeye kafanya kazi yakeHuyu wakili hakumbuki kilikuwa na wakili anaitwa Lamwai?
Yuko wapi!!
Ahsante!Wewe wanakutafuna kweli mumeo makonda tu katamka kwa kinywa chake kuwa mahakamani kumeoza
Daaaah!Nani kakudanganya ushahidi ndio kila kitu? Ni lazima uwe na mawakili mazuri hasa kwenye mahojiano na Cross examination ya ushahidi, utetezi, exhibits kama hauwezi tetea hoja vizuri hata kama una ushahidi utaanguka. Mfano Sabaya ushahidi ulikuwepo cha ajabu kosa lilikua kwenye aina ya mahakamai iliyosikiliza kesi! Mambo ya hovyo kabisa mawakili wa serikali.
Ifike kipindi ofisi ya DPP na DCI labda wapewe Dp world iendeshwe kiufanisi zaidi maana hawa mawakili wa mishahara hawana cha kupoteza
Acha uongo!Hapana mkuu ni kuwafanya wawe waadilifu. Wasisimamie mkosaji kumnasua kwa kisingizio cha kisheria.
Kuna wanasheria wakishajua ukweli tu, wanakukataa. Hawapo tayari kutetea uovu kisa kuna uwazi wa kisheria.
Sheria duniani, haki mbinguni.Duniani Kote hakuna haki..haki utaipata kwa Mungu tu
Nani kakudanganya ushahidi ndio kila kitu? Ni lazima uwe na mawakili mazuri hasa kwenye mahojiano na Cross examination ya ushahidi, utetezi, exhibits kama hauwezi tetea hoja vizuri hata kama una ushahidi utaanguka. Mfano Sabaya ushahidi ulikuwepo cha ajabu kosa lilikua kwenye aina ya mahakamai iliyosikiliza kesi! Mambo ya hovyo kabisa mawakili wa serikali.
Ifike kipindi ofisi ya DPP na DCI labda wapewe Dp world iendeshwe kiufanisi zaidi maana hawa mawakili wa mishahara hawana cha kupoteza
Acha upumbafu hadhari eti wife kagoma watoto wasisome sheriaHiki ndicho kilisababisha wife agome watoto kusoma sheria! Sasa nimeshamwelewa! Kama mbingu ipo, mawakili hawataiona!
Kufa kwa mgonjwa hakumaanishi kwamba daktari ni dhaifu.Mawakili wa serikali hamna kitu kabisa, kesi ilikua wazi kabisa ila wanashindwa kuwa serious. Sijui nini ambacho wanaweza hawa watu!! Na hata wangeshinda kesi wangeenda kubwagwa kwenye rufaa.
Watu wanamlaumu wakili wakati hata mtuhumiwa ana haki ya kutetewa hata kama amefanya kweli na kukutwa na wananchi. Hapo ni upande walioshitaki ndo shida.Tatizo watu wanachanganya haki na taaluma. Mbele ya sheria kila mtu ana haki (hata muuaji) ya kupewa Wakili wa Kumtetea. Tena Wakili anakwambia useme ukweli wa kilichotokea then baada ya hapo anatafuta weak points ili Mteja wake ashinde kesi. Kwenye kesi hii Wakili aliyekuwa anamtetea Mtuhumiwa hana shida. Tatizo lipo kwa Wapelelezi na Waendesha Mashtaka wetu. Yawezekana hawajajengewa uwezo wa kutosha wa kupambana kisheria na Mawakili Binafsi ambao ni Wabobevu.
mnamuonea wakili. sheria zetu zina loopholes. na kingine tz shida iko kwenye upelelezi. tuna perform sifuri hilo eneo. wanaopindisha kesi ni askari wa upelelezi.Huyu wakili hakumbuki kilikuwa na wakili anaitwa Lamwai?
Yuko wapi!!