Mjane wa bilionea Msuya aachiwa huru, Mahakama haijamkuta na hatia ya mauaji ya Aneth Msuya

Mjane wa bilionea Msuya aachiwa huru, Mahakama haijamkuta na hatia ya mauaji ya Aneth Msuya

Kuna Afisa mtendaji wa kata aliua mtu kijijini kwetu tena dogo wa miaka 10 alikuwa mchunga, sasa yule afisa kwakuwa shamba lake liliwahi kutiwa mifugo akawa na hasira na wachunga akawa akiwaona anawafukuza ili awashike wakawa wanamkimbia sasa siku ya siku ndipo akamshika huyo dogo akamgeuza kichwa chini miguu juu akawa anamtikisa baadae akamuacha ila wakati huo wenzie waliokimbia wakaja kusimulia kijijini kuwa fulani kashikwa baada ya muda dogo karudi hata kuongea hawezi wakamkimbiza hospital akafariki,,kesi ikaenda mahakamani afisa akashinda kwasababu hakukuwa na ushahidi wa kumtia hatiani...ndugu wakakaa pamoja wakaja kwenye mahakama ya jadi yule jamaa aliumwa sana akaja kuomba radhi kwasababu hospital hauonekani ugonjwa mpaka akaja kufariki kwa mateso sana
Kutafuta haki mahakamani sometime sio,
 
Kwa nini wengi wanapinga hii hukumu utadhani wana uhakika kuwa ni yeye aliua? kwani huyo dada wa ''bilionia'' aliyeuawa ndugu zake hawana fedha? Wazazi hawakubakia na chochote?
Vyombo vya dola vifanye uchunguzi viwakamate wauaji kama sio hao maana ndio wenye jukumu la kulinda raia na mali zao.
Haipaswi kuachwa hivi hivi itakuwa Taifa la namna gani mtu achinjwe kisha uchunguzi usifanyike kukamata watuhumiwa na kuwashitaki?!
 
Vyombo vya dola vifanye uchunguzi viwakamate wauaji kama sio hao maana ndio wenye jukumu la kulinda raia na mali zao.
Haipaswi kuachwa hivi hivi itakuwa Taifa la namna gani mtu achinjwe kisha uchunguzi usifanyike kukamata watuhumiwa na kuwashitaki?!
Walishindwa kipindi hicho, wataweza sasa?
 
Hongera? Our legal system is very corrupt. Wenye jinai na hela ndio hu walk away with it. Ila the innocent are always getting shoved behind the bars.

'Innocent until proven guilty beyond reasonable doubt' does not exist in Tanzania.
Kiukweli hii inafikirisha sana, atleast tungepata justice ya yule dada. Aliuawa kinyama sana aisee
 
Back
Top Bottom