Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Sijaelewa, tbc saa hii wanatangaza kahukumiwa kunyongwa!Kwa hiyo Aneth Msuya hakuuwawa?
Kama sio walikuwa wameshitakiwa, ni akina nani walio muua Aneth Msuya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa, tbc saa hii wanatangaza kahukumiwa kunyongwa!Kwa hiyo Aneth Msuya hakuuwawa?
Kama sio walikuwa wameshitakiwa, ni akina nani walio muua Aneth Msuya?
They can at any moment KILL for moni oo!Wanawake wa Ukanda huo ni; Hatariiiiii......
Oghophaaaa.....
Kama unadhani natania
JIDANGANYEEEEEEEE..........
Nadhani Jamhuri imezingua sana kwenye hii kesi. Nini kitatokea baada ya hii hukumu! Kesi itafungwa rasmi, au upepelezi utaanza upya ili kuwabaini wahusika halisi wa hayo mauaji ya Aneth?Kwa hiyo Aneth Msuya hakuuwawa?
Kama sio walikuwa wameshitakiwa, ni akina nani walio muua Aneth Msuya?
Duh!Mahakama kuu kanda ya Dar-es-salaam imemuachia huru mjane wa Bilionea Msuya, Miriam Mrita na revocatus Muyella baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha mashitaka dhidi yao.
heeeeSijaelewa, tbc saa hii wanatangaza kahukumiwa kunyongwa!
Mbona mnatuchanganya sasa?Sijaelewa, tbc saa hii wanatangaza kahukumiwa kunyongwa!
Makonda alisema Kama huna pesa usikimbilie mahakamani.Miaka 7+ mahabusu si mchezo , mwenye fedha hafungwi.
Dah!...ni zamu sasa ya vyombo husika kuwatafuta wahusika halisi .Inasikitisha sana Aneth na Bilionea Msuya kutotendewa haki.
Kwanini isiwe poa tena?....sheria imehitimisha hivyo.Mjane na Revo wanaenda kula maisha. Sio poa.
Jela ni kwa ajili ya masikiniTajiri hakai gerezani. Mjini connection tu
Kibatara ni pesa Yako tu hata ukikutwa na kisu chenye damu,kesi ni biasharaNa huyo Revocatus Everist Muyella naye kachomoka!! Hatma ya kesi ya msingi ikoje? Kama hahusiki, muuaji halisi ni nani? Miaka 8 kwa nini serikali imekomaa na watuhumiwa ambao hawana ushahidi nao wa kutosha?
Nadhani kuna uzembe kwa wapelelezi wetu! Ila pia Wakili Msomi Peter Kibatala na jopo lakr watakuwa wametisha sana. Maana wameigaragaza Jamhuri kwa mara nyingine tena.