Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhKibatala mpuuzi yule alikuwa upende wa mtuhumiwa,mjane wa bilionea msuya
Mi ndio maana Mungu ananiepushia tu maana sina ambacho nitaweza zaidi ya kulia tu.Dada ake hayakukuta tu..mbn utaziweza hizo heka heka na utajikuta unajua taratibu zote za polisi..mahakamni hadi gerezani ...
Sie bibi mkubwa alikua analia kila siku iendayo kwa Mungu
Hahahahahaha...dada ake hayajakukuta na usiombe yakukute ..maana unaeza usifanye wewe.akafanya mtu wa karibu yako hapo huna budi kuingiaMi ndio maana Mungu ananiepushia tu maana sina ambacho nitaweza zaidi ya kulia tu.
Kituo tu cha polisi nakiogopa kupita maelezo!
Aisee tuseme hapo kitabala kapata donge nonoKibatala alikua anamtetea mke wa marehemu msuya, ukiwa na hela unachagua best lawyer available
Yaani hata mimi ninaona kabisa huyu mama atakuwa huru.Sema maiti hana haki jamani.R.I.P mdogo wa Msuya.Pasi na shaka leo mjane wa bilionea Msuya atakua uraiani baada ya miaka 8 jela.
Ushahidi uliotolewa kulingana na hukumu inayoendelea kusomwa na mh jaji, basi mtuhumiwa anaachiwa muda si mrefu.
Kesi ya mauaji ni hatari! Huu ni mwaka wa 8 sasa tokea 2016 ndio hukumu inatoka.
Ni kuomba Mungu tu msala wa kesi kama hii ukikuangukia unapoteza kila kitu.
Kibatala mpuuzi yule alikuwa upende wa mtuhumiwa,mjane wa bilionea msuya
Lakini bado ni kesi Mkuu.Nakumbuka kama hukumu ilitoka na hii ilikuwa rufaa (wanaofuatilia zaidi watasahihisha kama sipo sawa)
Upande wa jamhuri..za ndan kabisa zinasema ndugu zake walimpanga awaangushie jumba bovu mke wa bilionea ila uhalisia kuwa hausigel ndio aliuwa
Hawakuwahi kuhukumiwa hii ndiyo mara ya kwanza.Nakumbuka kama hukumu ilitoka na hii ilikuwa rufaa (wanaofuatilia zaidi watasahihisha kama sipo sawa)
Wamemuepusha na adhabu ya Duniani tu.....Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemkuta hana hatia Miriam Steven Mrita, mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu wa madini mkoani Arusha...