Mjane wa bilionea Msuya aachiwa huru, Mahakama haijamkuta na hatia ya mauaji ya Aneth Msuya

Mjane wa bilionea Msuya aachiwa huru, Mahakama haijamkuta na hatia ya mauaji ya Aneth Msuya

Hivi kweli ukiwa na pesa na unahitaji kumpoteza mtu mmoja unaweza kufanya mauaji ya kishamba kama Yale? Yaani unamtumia hawara yako ndo awe mastermind kweli?

Sijawahi kuelewa ushamba kama huu, Kuna jamaa nilikua nae mida flani tulikua tunaongelea hili swala maana jamaa tunamjua, akawa ananiambia roho ya mtu Ina kama mkosi flani, ukitaka kuitoa akili ni kama inaruka unafanya ujinga mwingi
rudia
 
Back
Top Bottom