Mjane wa bilionea Msuya aachiwa huru, Mahakama haijamkuta na hatia ya mauaji ya Aneth Msuya

Mjane wa bilionea Msuya aachiwa huru, Mahakama haijamkuta na hatia ya mauaji ya Aneth Msuya

Upande wa jamhuri..za ndan kabisa zinasema ndugu zake walimpanga awaangushie jumba bovu mke wa bilionea ila uhalisia kuwa hausigel ndio aliuwa
Aliua kwa manufaa Gani sasa, ukweli upo wazi mke wa marehemu na Revo ndo walikua na conflict of interest na huyo dada aliyechinjwa baada ya yeye kuchaguliwa na ndugu kua msimamizi wa mirathi

Sasa let's say huyo house girl ndo alimchinja, alafu apate Nini sasa?? Na upande wa jamhuri Wana ushahidi wa vinasaba(DNA) inalomlink Revo na tukio Moja kwa Moja

Hawa wataachiwa tu maana mwenye pesa hafungwi ila walifanya mauaji ya kishamba kabisa kuwahi kutokea
 
Aliua kwa manufaa Gani sasa, ukweli upo wazi mke wa marehemu na Revo ndo walikua na conflict of interest na huyo dada aliyechinjwa baada ya yeye kuchaguliwa na ndugu kua msimamizi wa mirathi

Sasa let's say huyo house girl ndo alimchinja, alafu apate Nini sasa?? Na upande wa jamhuri Wana ushahidi wa vinasaba(DNA) inalomlink Revo na tukio Moja kwa Moja

Hawa wataachiwa tu maana mwenye pesa hafungwi ila walifanya mauaji ya kishamba kabisa kuwahi kutokea
Tutafute pesa, kesi imemwangukia asie na kitu. Beki 3. 😁 Inasikitisha.... Hivi Kibatala alikuwa upande gani?
 
Aliua kwa manufaa Gani sasa, ukweli upo wazi mke wa marehemu na Revo ndo walikua na conflict of interest na huyo dada aliyechinjwa baada ya yeye kuchaguliwa na ndugu kua msimamizi wa mirathi

Sasa let's say huyo house girl ndo alimchinja, alafu apate Nini sasa?? Na upande wa jamhuri Wana ushahidi wa vinasaba(DNA) inalomlink Revo na tukio Moja kwa Moja

Hawa wataachiwa tu maana mwenye pesa hafungwi ila walifanya mauaji ya kishamba kabisa kuwahi kutokea
Mauaji ya kijanja yakoje Mkuu? Wao walifeli wapi hadi uyaite ya kishamba?
 
Aliua kwa manufaa Gani sasa, ukweli upo wazi mke wa marehemu na Revo ndo walikua na conflict of interest na huyo dada aliyechinjwa baada ya yeye kuchaguliwa na ndugu kua msimamizi wa mirathi

Sasa let's say huyo house girl ndo alimchinja, alafu apate Nini sasa?? Na upande wa jamhuri Wana ushahidi wa vinasaba(DNA) inalomlink Revo na tukio Moja kwa Moja

Hawa wataachiwa tu maana mwenye pesa hafungwi ila walifanya mauaji ya kishamba kabisa kuwahi kutokea
Huyo Dada hakuchaguliwa kusimamia mirathi wala hsuwa mnufaika ila mjane alimpa milion 78
 
Hold on! House girl ndio alimchinja Aneth?
Na alifanya hivyo kwa maagizo kutoka kwa nani?

Hold on! House girl ndio alimchinja Aneth?
Na alifanya hivyo kwa maagizo kutoka kwa nani?
Bado tunafuatilia kwa kina kujua hasa aliagizwa na nani,japo sio kesi ya kwanza hauzigel kuuwa bos Kuna kesi nyingi tu hapa nchin
 
Mauaji ya kijanja yakoje Mkuu? Wao walifeli wapi hadi uyaite ya kishamba?
Hivi kweli ukiwa na pesa na unahitaji kumpoteza mtu mmoja unaweza kufanya mauaji ya kishamba kama Yale? Yaani unamtumia hawara yako ndo awe mastermind kweli?

Sijawahi kuelewa ushamba kama huu, Kuna jamaa nilikua nae mida flani tulikua tunaongelea hili swala maana jamaa tunamjua, akawa ananiambia roho ya mtu Ina kama mkosi flani, ukitaka kuitoa akili ni kama inaruka unafanya ujinga mwingi
 
Kesi ya mauaji ni hatari! Huu ni mwaka wa 8 sasa tokea 2016 ndio hukumu inatoka.

Ni kuomba Mungu tu msala wa kesi kama hii ukikuangukia unapoteza kila kitu.
Nina mdg wangu alikuwa na kesi ya mauji alikaa miaka 8 ..akashinda kesi..yuko uraiani sasa hv ..kesi za mauji kushinda ni rahisi sana .na kufungwa ni rahisi pia.. ukijua kucheza na kesi na vifungu
 
Hivi kweli ukiwa na pesa na unahitaji kumpoteza mtu mmoja unaweza kufanya mauaji ya kishamba kama Yale? Yaani unamtumia hawara yako ndo awe mastermind kweli?

Sijawahi kuelewa ushamba kama huu, Kuna jamaa nilikua nae mida flani tulikua tunaongelea hili swala maana jamaa tunamjua, akawa ananiambia roho ya mtu Ina kama mkosi flani, ukitaka kuitoa akili ni kama inaruka unafanya ujinga mwingi
There is no way ukaua usijulikane, hata mkiwa wawili tu.

Hakuna mtu anayeweza kuua Asiache alama
 
Hivi kweli ukiwa na pesa na unahitaji kumpoteza mtu mmoja unaweza kufanya mauaji ya kishamba kama Yale? Yaani unamtumia hawara yako ndo awe mastermind kweli?

Sijawahi kuelewa ushamba kama huu, Kuna jamaa nilikua nae mida flani tulikua tunaongelea hili swala maana jamaa tunamjua, akawa ananiambia roho ya mtu Ina kama mkosi flani, ukitaka kuitoa akili ni kama inaruka unafanya ujinga mwingi
Kumtumia hawara sio shida, shida ni kwamba ameiva katika hizo medani?

Siungi mkono mauaji, na kama alishiriki kweli apate hukumu stahiki.
 
Hold on! House girl ndio alimchinja Aneth?
Na alifanya hivyo kwa maagizo kutoka kwa nani
Kwani huyo housegirl si alikiri kutumiwa na huyo mke wa Msuya kufanikisha hayo mauaji?
 
Back
Top Bottom