ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
ππ unafikiri wanini takwimu zinaonesha wanawake ni wengi kuliko wanaume ? mambo kama haya sasa jipendelee kwa raha zakoAstakafillah astakafillah astakafillah
πππ Aaaaah punguza sasa...
Naona leo unaamua kunionesha how you are.....πππππππ5some hapana kea kweli si ushaitwani huo
Situmii kilevi cha aina yoyoteWewe hatumii kilevi?
Wee endelea kudeveleka, mbona kitakulambaaaaaaNimetoka ku google hapa daaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
Wee mbinguni utapaskia tuu Sheeenziiiii kabisa
Sina mke, weekend naenda kwa Bimkubwa kumsabahiUsitupangie bana, we kaa ndani na mkeo mpike......
Weeeh acha bana mbona kama unataka nianze kukemea hilo pepo alaaaah.ππ unafikiri wanini takwimu zinaonesha wanawake ni wengi kuliko wanaume ? mambo kama haya sasa jipendelee kwa raha zako
Jiheshimu wewe...Wee endelea kudeveleka, mbona kitakulambaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππ unafikiri kwanini kuna imani moja inasema kule mahala tunapewa 72 wa kuchakata na kupewa nguvu za kuwala 100.. nyie tu jinyime raha kukimbia 3some, 4some na 5some maana hizi ndio zipo kiafyaWeeeh acha bana mbona kama unataka nianze kukemea hilo pepo alaaaah.
Kuna na heshima bana sitaki kuamini wewe ni jamaa wa hovyo
πππKuna watu huko juu hakutokua hata na ile kujiuliza.ππ unafikiri kwanini kuna imani moja inasema kule mahala tunapewa 72 wa kuchakata na kupewa nguvu za kuwala 100.. nyie tu jinyime raha kukimbia 3some, 4some na 5some maana hizi ndio zipo kiafya
You see!!!! Kumbe nawe una maisha yako? Kwahiyo nawe tukupangie au sio.....Sina mke, weekend naenda kwa Bimkubwa kumsabahi
Kuoa bado, weekend ni heri nikae pekeyangu kuliko niende kufuata mikumboYou see!!!! Kumbe nawe una maisha yako? Kwahiyo nawe tukupangie au sio.....
Oya oa weekend ukae na mkeo
Hiiiiiiii bia hunywi, mke huna, mpira hautaki weekend kwa mama, we jamaa vipi!!!!Situmii kilevi cha aina yoyote
Usishangae Madam, mimi hayo yote siyataki na namshukuru Mungu kaniepusha na hiyo mikumboHiiiiiiii bia hunywi, mke huna, mpira hautaki weekend kwa mama, we jamaa vipi!!!!
standard ya hiyo pepo ni pisi 72.. na standard ya huko ni bora zaidi.. shuka chini hata 3some.. usiogope sio ushetani.. hiki ni kiwango cha hiyo pepo.. hamna hamna ni 3some.. ππ mie hapa navizia 3some japo sina maana na sina helaπππKuna watu huko juu hakutokua hata na ile kujiuliza.
Ni moja kwa moja mnatupwa kwa shimo .....
Laana hizo mkuu alafu naona kama unataka kunishawishi niingie katika huo ushetani..
Mungu aniepushe ππππ
Kwahiyo unataka wengine wafate mkumbo wako watulie ndani......kwani wana misiba?Kuoa bado, weekend ni heri nikae pekeyangu kuliko niende kufuata mikumbo
Sijasema wengine wanifuate mimi, ila nimesema tu mikumbo yao inasikitisha kwakweliKwahiyo unataka wengine wafate mkumbo wako watulie ndani......kwani wana misiba?
Pepo wewe....π₯π₯π₯π₯π₯standard ya hiyo pepo ni pisi 72.. na standard ya huko ni bora zaidi.. shuka chini hata 3some.. usiogope sio ushetani.. hiki ni kiwango cha hiyo pepo.. hamna hamna ni 3some.. ππ mie hapa navizia 3some japo sina maana na sina hela
Mmh samahani lakini sina maana mbaya, ila watu wa dizaini zako mnakuaga "wanafiki sana" yani mnajikutaga mpo perfect, mna maisha flani kiasi kwamba yani kumuona mtu anatandika kilaji unamuona ana dhaaaambi mmh πUsishangae Madam, mimi hayo yote siyataki na namshukuru Mungu kaniepusha na hiyo mikumbo
Mimi sipo perfect, Nina mapungufu na makosa yangu lakini sio ya kunywa pombe.Mmh samahani lakini sina maana mbaya, ila watu wa dizaini zako mnakuaga "wanafiki sana" yani mnajikutaga mpo perfect, mna maisha flani kiasi kwamba yani kumuona mtu anatandika kilaji unamuona ana dhaaaambi mmh π