Mjue Shafineyz, kijana mdogo anayemiliki kampuni ya mabasi

Hivi watanzania inaonekana hamna elimu juu ya mikopo wengi mnaona kukopa ni kushindwa Leo hii ata ukimleta Elon musk aje kuwekeza kwenye nchi yako iyo hela ya kuwekeza anachukua mkopo hatoi akiba yake bank unajua kwanini?
 
Kama ni pesa halali, hongera kwake
 
Mbona mnasahau kua jamaa ni tapeli wa kujifanya anatoa utajir wa kiganga?!
 
Umea Ndika tumjuee sasa mbona haujatujumlisha? Ebu tujuze bwana
 
Ameshaachs utapeli wa kujifanya mganga /freemason now ameingia na gia ya mabasi?

Hamna low profile hapo mshamba tu kama ndo wewe mwenyewe nakuchana tu acha ushamba. Kwenye insta anaweka post kibao za majigambo kuwa ana hela but kwa jicho la tatu unamuona mpigaji tu matunguli
 
Huyo jamaa Kila mda anashinda TikTok anajinadi anauza Pete za majini.
Mara aingie chumbani atoe Hela zimejaa kwenye ndoo.
Yaan jamaa ni kama akina chief godlove wa jicho la tatu.
 
Jamaa kaamua kujipigia Debe Jeiefu
 
Kwa kweli Hongera zake sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…