Mjue Shafineyz, kijana mdogo anayemiliki kampuni ya mabasi

Sidhani kama ni kwa Tanzania nzima, kuna mmoja namfahamu sio mtu wa media, low profile sana, ana mabasi kama nguo...
Fanya research...
Afanye research ili iweje yani. Huo muda unaomwambia afanye research kwa ajili ya mabasi ya mtu mwingine ni kwa nini usimwambie atumie huo muda kutafuta mabasi yake mwenyewe?
 
Sidhani kama ni kwa Tanzania nzima, kuna mmoja namfahamu sio mtu wa media, low profile sana, ana mabasi kama nguo...
Fanya research...
Wewe ndiye ulitakiwa utuambie nani huyo, ili sisi tunaosoma hapa tujue, badala ya kumpaka kazi hiyo.
 
Hivi watanzania inaonekana hamna elimu juu ya mikopo wengi mnaona kukopa ni kushindwa Leo hii ata ukimleta Elon musk aje kuwekeza kwenye nchi yako iyo hela ya kuwekeza anachukua mkopo hatoi akiba yake bank unajua kwanini?
wapi nimesema kwenye maelezo yangu wameshindwa kutumia pesa zao...
kiongozi naelewa mbinu zote hao wafanya biashara za uchukuzi wanachofanya..
 
Huyu ni mkurugenzi wa kampuni, mmiliki wa mabus yuko Mjengoni.
 
Ukimaliza huyu tafuta historia ya superfeo
 
Na wewe kapige matungulo kama ni KAZI rahisi kihivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…