Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mm uko sina shida kaka, shida iko hapa when did they convert those findings into useful products?? kutumia maneno au vitu vya lugha nyingne sio shida, shida ni wapi wavaa kobaz wamevitumia hvyo kudominate the world of technology?????
Soma hapo Daktari wa kwanza duniani muislam
 
Mm uko sina shida kaka, shida iko hapa when did they convert those findings into useful products?? kutumia maneno au vitu vya lugha nyingne sio shida, shida ni wapi wavaa kobaz wamevitumia hvyo kudominate the world of technology?????
Bila Algebra(muislamu huyu),tusingekuwa na IT(information technology),Computer
 
Wewe wacha ujinga bwana.Mara airbus,mara boeing. Hizo zote ni ndege na asili yake ni Ibn Firnas ,mbunifu wa kiislamu aliyepata fikra baada ya kuhudhuria madrasa. Ndege zote zinaruka kwa teknolojia asili moja.Mpaka hizi za kwetu za Bombardier tulizochukua kutoka Canada.
 
Hana hoja huyo,nimemuonyesha hata University ya kwanza Afrika ni mwanamke wa kiislamu,huko Morocco
 
Soma hapo Daktari wa kwanza duniani muislamView attachment 2698814

Hana hoja huyo,nimemuonyesha hata University ya kwanza Afrika ni mwanamke wa kiislamu,huko MoroccoView attachment 2698905
Umeamua kuwakata kidomodomo chao cha kuwadharau waislamu.Hicho chuo kilichopo FEZ kina sifa kadhaa za ziada .Kinaitwa the oldest functioning university in the world. Kimeanzishwa na muislamu na mwanamke na ndicho chuo kikuu pekee duniani kote kikongwe na bado kinaendelea na shughuli zake.Kimetokana na madrasa za sisi wavaa makobazi.Kipo Afrika.
 
Wamekimbia,huwa wanadanganyana kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji kuwa waislamu,hawana elimu.Kuna mambo zaidi ya haya,kwenye elimu,science,technology,architect nk ,yote yameanzishwa na waislamu,wazungu wameiga tu.
Hayo makubadhi,hata Yesu kavyaa.Yesu hajawahi kuvyaa buti,kavyaa kanzu na kubadhi.
 
Nani awakimbie nyie asee?? Nijibu swali langu sheikh, WHEN DID THEY USE THEIR FINDINGS TO DOMINATE THE WORLD OF MODERN TECHNOLOGY????? achaneni na hadithi sijui za karne gani hzo, wew jibu hapo basi.
 
Swali la msingi bado hujajibu unazunguka tuuu. WHEN EN WHERE DID THE KUBAZ WEARING RED SKIN DROUGHT LIVING PEOPLE CONVERT THEIR SO CALLED FINDINGS TO CONQUER THE WESTERN TECH??
 
Nilishakuambia acha kuchanganya dini kwenye hii case. Mm sina shida na imani ya mtu, mm iko shida na hawa jamaa wa ukameni kule
 
Hizi ni hadithi mm sina shida nazo kaka, mm nataka uniambie CURRENTLY the kubaz wearing people wanaongoza kwenye sector ya afya kwa techonologia ya juu kuliko west na utoe na relevant examples sio kuniambia sijui quran sijui hadith 😂😂. Au thibitisha kwamba kobaz wameinvent technologia ya juu kuliko wazungu over
 
Mna hasira na kanisa sababu hawakukubaliana na mkataba wa Dpw?
 
Soma hapo,wewe mvaa kamba ya mbuzi shingoni.View attachment 2698801
Nisome vizur hapa. After finding those algebras u have been claiming here, What did they do with them to CONQUER AND LEAD the westerners in the world of modern technology? Yaani onesha relevant examples across the world if possible ambavyo hawa kubaz wametengeneza kupitia hyo ALGEBRA kuwa outshine wazungu!! Jibu hapa kama kweli wew kidume. Full stop
 
Zamani hizo hospitali zilikuwa zinatoa huduma hivyo ilikuwa ni sawa kabisa kusaidiwa na Serikali ila kwa sasa mambo yamebadilika kwani zinafanya Biashara sawa na hospitali za Binafsi; sasa kwa nini zichangiwe na Serikali?
Sasa wakitoa huduma bure watapata wapi madawa na mishahara yakuwalipa wahudumu? Zamani walikuwa wanapokea misaada siku hizi ni pambaneni wenyewe, enzi hizo tulivaa nguo za mitumba toka kanisani siku hizi hakuna vitu kama hivyo.
 
Endelea kudanganywa na walimu wako wa mdrasa. Kula chuma hicho mpumbavu ww. Kama hujui hyo lugha sema fasta tukusaidie tukutoe ujinga kichwani
 

Attachments

  • Screenshot_20230726-013000.png
    31.3 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…