Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkuu Acha kudanganya watu algebra na hizo mnazoita Arabic number ni za wa Hindu baada ya kuwa vamia mkajimilikisha kila kitu kama Alexander alivyofanya misri
Mwanasayansi wa kwanza ni muislamu
Screenshot_2023-07-25_171010.jpg
 
Mm uko sina shida kaka, shida iko hapa when did they convert those findings into useful products?? kutumia maneno au vitu vya lugha nyingne sio shida, shida ni wapi wavaa kobaz wamevitumia hvyo kudominate the world of technology?????
Soma hapo Daktari wa kwanza duniani muislam
Screenshot_2023-07-25_171741.jpg
 
Mm uko sina shida kaka, shida iko hapa when did they convert those findings into useful products?? kutumia maneno au vitu vya lugha nyingne sio shida, shida ni wapi wavaa kobaz wamevitumia hvyo kudominate the world of technology?????
Bila Algebra(muislamu huyu),tusingekuwa na IT(information technology),Computer
Screenshot_2023-07-25_172644.jpg
 
Kweli nyie bure kabsa, mwenzako anaongelea yale matakataka ya zamaniii GLIDERS yale ata wachina waliyatengeneza sana. Mm naongelea ENGINE POWERED AIRCRAFTS ndio maana nikakupa mfn wa boeings au airbus ni mvaa kobaz yupi anaingia hapo???. Kwasababu leo ukitaka kwenda kuhiji utapanda hayo maGliders???
Wewe wacha ujinga bwana.Mara airbus,mara boeing. Hizo zote ni ndege na asili yake ni Ibn Firnas ,mbunifu wa kiislamu aliyepata fikra baada ya kuhudhuria madrasa. Ndege zote zinaruka kwa teknolojia asili moja.Mpaka hizi za kwetu za Bombardier tulizochukua kutoka Canada.
 
Wewe wacha ujinga bwana.Mara airbus,mara boeing. Hizo zote ni ndege na asili yake ni Ibn Firnas ,mbunifu wa kiislamu aliyepata fikra baada ya kuhudhuria madrasa. Ndege zote zinaruka kwa teknolojia asili moja.Mpaka hizi za kwetu za Bombardier tulizochukua kutoka Canada.
Hana hoja huyo,nimemuonyesha hata University ya kwanza Afrika ni mwanamke wa kiislamu,huko Morocco
Screenshot_2023-07-25_170223.jpg
 
Soma hapo Daktari wa kwanza duniani muislamView attachment 2698814

Hana hoja huyo,nimemuonyesha hata University ya kwanza Afrika ni mwanamke wa kiislamu,huko MoroccoView attachment 2698905
Umeamua kuwakata kidomodomo chao cha kuwadharau waislamu.Hicho chuo kilichopo FEZ kina sifa kadhaa za ziada .Kinaitwa the oldest functioning university in the world. Kimeanzishwa na muislamu na mwanamke na ndicho chuo kikuu pekee duniani kote kikongwe na bado kinaendelea na shughuli zake.Kimetokana na madrasa za sisi wavaa makobazi.Kipo Afrika.
 
Umeamua kuwakata kidomodomo chao cha kuwadharau waislamu.Hicho chuo kilichopo FEZ kina sifa kadhaa za ziada .Kinaitwa the oldest functioning university in the world. Kimeanzishwa na muislamu na mwanamke na ndicho chuo kikuu pekee duniani kote kikongwe na bado kinaendelea na shughuli zake.Kimetokana na madrasa za sisi wavaa makobazi.Kipo Afrika.
Wamekimbia,huwa wanadanganyana kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji kuwa waislamu,hawana elimu.Kuna mambo zaidi ya haya,kwenye elimu,science,technology,architect nk ,yote yameanzishwa na waislamu,wazungu wameiga tu.
Hayo makubadhi,hata Yesu kavyaa.Yesu hajawahi kuvyaa buti,kavyaa kanzu na kubadhi.
 
Wamekimbia,huwa wanadanganyana kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji kuwa waislamu,hawana elimu.Kuna mambo zaidi ya haya,kwenye elimu,science,technology,architect nk ,yote yameanzishwa na waislamu,wazungu wameiga tu.
Hayo makubadhi,hata Yesu kavyaa.Yesu hajawahi kuvyaa buti,kavyaa kanzu na kubadhi.
Nani awakimbie nyie asee?? Nijibu swali langu sheikh, WHEN DID THEY USE THEIR FINDINGS TO DOMINATE THE WORLD OF MODERN TECHNOLOGY????? achaneni na hadithi sijui za karne gani hzo, wew jibu hapo basi.
 
Wamekimbia,huwa wanadanganyana kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji kuwa waislamu,hawana elimu.Kuna mambo zaidi ya haya,kwenye elimu,science,technology,architect nk ,yote yameanzishwa na waislamu,wazungu wameiga tu.
Hayo makubadhi,hata Yesu kavyaa.Yesu hajawahi kuvyaa buti,kavyaa kanzu na kubadhi.
Swali la msingi bado hujajibu unazunguka tuuu. WHEN EN WHERE DID THE KUBAZ WEARING RED SKIN DROUGHT LIVING PEOPLE CONVERT THEIR SO CALLED FINDINGS TO CONQUER THE WESTERN TECH??
 
Wamekimbia,huwa wanadanganyana kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji kuwa waislamu,hawana elimu.Kuna mambo zaidi ya haya,kwenye elimu,science,technology,architect nk ,yote yameanzishwa na waislamu,wazungu wameiga tu.
Hayo makubadhi,hata Yesu kavyaa.Yesu hajawahi kuvyaa buti,kavyaa kanzu na kubadhi.
Nilishakuambia acha kuchanganya dini kwenye hii case. Mm sina shida na imani ya mtu, mm iko shida na hawa jamaa wa ukameni kule
 
Hizi ni hadithi mm sina shida nazo kaka, mm nataka uniambie CURRENTLY the kubaz wearing people wanaongoza kwenye sector ya afya kwa techonologia ya juu kuliko west na utoe na relevant examples sio kuniambia sijui quran sijui hadith 😂😂. Au thibitisha kwamba kobaz wameinvent technologia ya juu kuliko wazungu over
 
Sitaki kuamini hili lakini uvumi huu umeeneea sana kiasi cha kwamba umenifanya niwe na shauku kutaka kujua yaliyojiri kwenye kusign hiyo memorandum maana naona kwa taarifa nilizokuwa nazo malalamishi ni kuwa serikali imeipa CCT na TEC nguvu kubwa ajabu na matokeo yake leo watu watu wanaanza kulalama kwa nini serikali haiipi nguvu hizo NGO zingine kama walivopewa na serikali. Na under this memorandum seriali inatoa nafasi za kazi kwa Church candidates kwenye chuo chake cha Teachers Training College

Mfano kuna kipengele kinasema hivi:



Hakuna ubaya hata kidogo kwa serikali kusign hii memorandum lakini nataka kujiuliza je ni sawa serikali kufanya agreements kama hizi na taasisi za kidnini? na Je imefanya gareement kama hii na taasisi za Kisslam au wahindu au ni Kanisa tu ndio walifanya nao?

Je, hamuoni hapo mambo ya bilateral negotiations wakaachiwa wataalam wa mambo hayo?
Mna hasira na kanisa sababu hawakukubaliana na mkataba wa Dpw?
 
Soma hapo,wewe mvaa kamba ya mbuzi shingoni.View attachment 2698801
Nisome vizur hapa. After finding those algebras u have been claiming here, What did they do with them to CONQUER AND LEAD the westerners in the world of modern technology? Yaani onesha relevant examples across the world if possible ambavyo hawa kubaz wametengeneza kupitia hyo ALGEBRA kuwa outshine wazungu!! Jibu hapa kama kweli wew kidume. Full stop
 
Zamani hizo hospitali zilikuwa zinatoa huduma hivyo ilikuwa ni sawa kabisa kusaidiwa na Serikali ila kwa sasa mambo yamebadilika kwani zinafanya Biashara sawa na hospitali za Binafsi; sasa kwa nini zichangiwe na Serikali?
Sasa wakitoa huduma bure watapata wapi madawa na mishahara yakuwalipa wahudumu? Zamani walikuwa wanapokea misaada siku hizi ni pambaneni wenyewe, enzi hizo tulivaa nguo za mitumba toka kanisani siku hizi hakuna vitu kama hivyo.
 
Majibu yako yanatia huruma.Pia inaonekana huna heshima na hatua za ukuwaji wa elimu.Na itakuwa na wewe ni kama wale ambao wakishatia mfukoni digrii zao za bandia huwa wanawadharau walimu wao wa shule za msingi.
Hizo findings into useful products haziwi na maana iwapo kila mmoja anapuuza findings za wenzake anapotaka kutoa product yake
Ukweli kuhusu mchango wa waislamu haujapuuzwa na wazungu werevu.Umebaki wewe tu mpuuzi wa kutupwa,
Naamini kuhusu aviation wewe ni mtupu kabisa lakini umeona ni fani ya ajabu sana na hukujuwa kuwa mrusha ndege wa mwanzo alikuwa ni Ibn Firnas.. Ulipojuwa hivyo unasema huko huna haja nako.Unachotaka ni kutengeneza Boeing na Airbus.
Endelea kudanganywa na walimu wako wa mdrasa. Kula chuma hicho mpumbavu ww. Kama hujui hyo lugha sema fasta tukusaidie tukutoe ujinga kichwani
 

Attachments

  • Screenshot_20230726-013000.png
    Screenshot_20230726-013000.png
    31.3 KB · Views: 3
Back
Top Bottom