Muhammad ni nani??? Na alikuwa na techonologia ipi?? Na iliwanufaishaje jamii yake?? Je mpaka sasa hyo jamii ndio miamba ya techonologia duniani??Wavyaa kubadhi wawili,Yesu na Muhammad,kwa kutumia technologia hiyo hiyo,ndio wameiteka dunia.
Hao wazungu,wametekwa akili na Yesu (mvyaa kubadhi).Na ni wamashariki ya kati.
Hiyo dini ni technologia,wafikiri wewe mchezo kuteka watu mabilioni ya watu duniani,tena hso wewe unaowasifia wazungu.Ikiwa wamesshidwa kuwa na dini yao,na kuwapata wafuasi,wameshindwa na wavyaa kubadhi Yesu na Muhammad,kuweza kuanzisha dini,na kupata mabilioni ya wafuasi.Umeshindwa kwenye technology na westerners sasa unataka kuhamia kweny dini au sio poa twende kazi
Wauliza jibuMuhammad ni nani??? Na alikuwa na techonologia ipi?? Na iliwanufaishaje jamii yake?? Je mpaka sasa hyo jamii ndio miamba ya techonologia duniani??
Yesu ni nani??? ,alikuwa na techonologia ipi ya kuteka mabilion ya watu??, je mpaka sasa jamii yake ni miamba ya technology duniani kote?Hiyo dini ni technologia,wafikiri wewe mchezo kuteka watu mabilioni ya watu duniani,tena hso wewe unaowasifia wazungu.Ikiwa wamesshidwa kuwa na dini yao,na kuwapata wafuasi,wameshindwa na wavyaa kubadhi Yesu na Muhammad,kuweza kuanzisha dini,na kupata mabilioni ya wafuasi.
Wauliza jibuView attachment 2699611this is useless!!! Kama kweli ni wababe wa tiba, tulipokumbwa na corona ni famaseutico compani gani kutoka kwa Kubaz ilitoa solution katika level za kina Johson johson,na pfizer etc?
Unaniletea mambo ya hadithi hapa za miaka ya giza uko. Kubaz ni Dhaifu tu, kwenye sayansi ya tiba Kubaz pia ni mwamba kuliko wote???Wauliza jibuView attachment 2699611
Kwahyo na watu walikuwa wanakufa kiujanja ujanja??Corona sio.maradhi ni janja ya wazungu kuuza dawa,Rais wetu Magufuli,aliwashtukuzia,hatukuekwa karantini .
Msome mvyaa kubadhi YesuYesu ni nani??? ,alikuwa na techonologia ipi ya kuteka mabilion ya watu??, je mpaka sasa jamii yake ni miamba ya technology duniani kote?
Kifo kipo kabla hata corona.Rais wetu Magufuli(mkemia),alwashtukia,papai linapimwa pia lina corona.Kwahyo na watu walikuwa wanakufa kiujanja ujanja??
Niliuliza je huyu Yesu mtu wa mashariki ya kati alikuwa na techonologia gani kuteka hao mabilion ya watu uliosema??? Pia nilikuuliza je jamii yake mpaka sasa ni miamba ya technology duniani kote?? Jibu maswaliMsome mvyaa kubadhi YesuView attachment 2699624
Wazungu wenyewe,wanafuata dini za wavyaa kubadhi wa mashariki ya kati.
Jibu swali achana na Magufuli. Nimekuuliza hapo vile vifo vya watu kipindi kile cha corona, walikuwa wanakufa kiujanja ujanja pia??Kifo kipo kabla hata corona.Rais wetu Magufuli(mkemia),alwashtukia,papai linapimwa pia lina corona.
Ukiumwa ukienda Muhimbili unazidi wasiwasi wa kufa.Nenda hospitali za Arabuni.Hakuna mwananchi anayedaiwa hata senti na matibabu makubwa unabembelezwa upatiwe matibabu haraka.Kwani madaktari wa kule ni wazungu.Tatizo moja wew Kubaz unakuwa huelewi sijui unafanya makusudi, HAO MADAKTARI WA MUHIMBILI NI WESTERN PEOPLE???.
Wew utakuwa una matatizo wew, juzi hapa ndege kubwa ile ya mizigo ya UAE antonov 225 ilitua kiwanja x cha ndege, injinia wote wa ile ndege walikuwa RUSSIANS ahhahahh af wew unabwata tu hapaUkiumwa ukienda Muhimbili unazidi wasiwasi wa kufa.Nenda hospitali za Arabuni.Hakuna mwananchi anayedaiwa hata senti na matibabu makubwa unabembelezwa upatiwe matibabu haraka.Kwani madaktari wa kule ni wazungu.
vijana wa kisaudia na UAE sasa hivi wanakwenda ISS.Wanatumia lugha za kiarabu.Ulisema umesoma aviation kama hujapuuza kufuatilia habari hizo utajuwa kuwa waarabu wanarudia fani zao za elimu.Wao ni wavumbuzi na waendelezaji elimu kivitendo.
Kampuni inayoendesha bandari duniani sasa hivi ni DP world wanatumia teknolojia za kisasa ambazo hapo zamani walizigundua.
Jibu swali kijana, hao Kubaz ni superior kwenye modern technology kuwazidi westerners?? Mwenzako hili swali kalishindwa kakimbia kaja na hoja za dini ahahhaUkiumwa ukienda Muhimbili unazidi wasiwasi wa kufa.Nenda hospitali za Arabuni.Hakuna mwananchi anayedaiwa hata senti na matibabu makubwa unabembelezwa upatiwe matibabu haraka.Kwani madaktari wa kule ni wazungu.
vijana wa kisaudia na UAE sasa hivi wanakwenda ISS.Wanatumia lugha za kiarabu.Ulisema umesoma aviation kama hujapuuza kufuatilia habari hizo utajuwa kuwa waarabu wanarudia fani zao za elimu.Wao ni wavumbuzi na waendelezaji elimu kivitendo.
Kampuni inayoendesha bandari duniani sasa hivi ni DP world wanatumia teknolojia za kisasa ambazo hapo zamani walizigundua.
Dhibitisha apa Dp world wanatumia technologia gani na wameitoa wapi?? Tuambie hizo mashine za kuoperate nani mgunduzi???Ukiumwa ukienda Muhimbili unazidi wasiwasi wa kufa.Nenda hospitali za Arabuni.Hakuna mwananchi anayedaiwa hata senti na matibabu makubwa unabembelezwa upatiwe matibabu haraka.Kwani madaktari wa kule ni wazungu.
vijana wa kisaudia na UAE sasa hivi wanakwenda ISS.Wanatumia lugha za kiarabu.Ulisema umesoma aviation kama hujapuuza kufuatilia habari hizo utajuwa kuwa waarabu wanarudia fani zao za elimu.Wao ni wavumbuzi na waendelezaji elimu kivitendo.
Kampuni inayoendesha bandari duniani sasa hivi ni DP world wanatumia teknolojia za kisasa ambazo hapo zamani walizigundua.
Technologia ya kuwapata wafuasi mabilioni.Niliuliza je huyu Yesu mtu wa mashariki ya kati alikuwa na techonologia gani kuteka hao mabilion ya watu uliosema??? Pia nilikuuliza je jamii yake mpaka sasa ni miamba ya technology duniani kote?? Jibu maswali
Magufuli ni msomi,ndiye aliyetushtua kuwa ile ni janja janja ya wazungu.Jibu swali achana na Magufuli. Nimekuuliza hapo vile vifo vya watu kipindi kile cha corona, walikuwa wanakufa kiujanja ujanja pia??
Katoliki ilitaka Jakaya awe Rais wa awamu moja, jee liliweza ?Hata angekua Mujaidin wa Afghanistan , Hatokaa kujaribu hilo.
Hata ili la DPW, litamuondoa.
Nadhan huijui Katoliki.
Swali liko pale pale. Mchango wa Kubaz kufight against corona kwenye sayansi ya tiba ni upi?je ni chanjo gani na wao walikuja nayo kama walivyofanya pfizer na jj? Kama corona ni ujanja ujanja wa mzungu je Kubaz waliplay role gani scientifically kuondoa tatizo??Magufuli ni msomi,ndiye aliyetushtua kuwa ile ni janja janja ya wazungu.