Muhammad ni nani??? Na alikuwa na techonologia ipi?? Na iliwanufaishaje jamii yake?? Je mpaka sasa hyo jamii ndio miamba ya techonologia duniani??Wavyaa kubadhi wawili,Yesu na Muhammad,kwa kutumia technologia hiyo hiyo,ndio wameiteka dunia.
Hao wazungu,wametekwa akili na Yesu (mvyaa kubadhi).Na ni wamashariki ya kati.