Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Number 1 ameamua kuvujisha hako kanyaraka ili ajiponye na zimwi la DPW?

Mwambie asishupaze shingo litavunjika. Lisipo vunjika litavunjaa na likigoma kuvunjika hata baada ya kuvunjwa (nitakuja kumalizia baadae)
Hivi kuja kwa DP world kuna uhusiano gani na waislam? Mbona mwananchi au kikundi kinachopinga huu mkataba kinashambuliwa kwa matusi na bila hoja na hawa muhajidina wenye siasa kali? Je, ulikuwa ni mkakati wa kidini uliojificha nyuma ya kuendeleza bandari? Hawa mujahidina hawaoni wanazidi kutia wasiwasi wanapofananisha suala la kupinga mkataba huu mbovu na ukristo?
 
JF kuna vituko huyu ndiyo anajitapa msomi angalieni anavyoandika kama angekuwa siyo msomi ingekuaje mambo ya matako msomi wa JF yametoka wapi tena?
Yes, nyie muwe mnakuja kuchangia story za Mbususu and the likes, hayo mambo critical mnatumwa kuja kuyapigia kelele hamna uwezo wa kuyachambua na kuyaelewa. They are way far beyond your understanding capacity.
Nakupa homework, nenda kapitie law of contract act kwenye katiba ndo uje tuongee hapa.
 
Shida ya waisalam wengi ni elimu Dunia , Mwarabu aliwaharibu sana
 
Usijitoe ufahamu mada ni

Lini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi.

Kumbuka hizo pesa za walipq kodi.
 
Usiwe punguani hiyo pesa ya walipa kodi unachukulia poa kila mwezi wanapewa na mkataba hauna kikomo.
Fedha ya watazania kutumika kwa watanzania kuna ubaya gani? Je, waislam na dini nyingine na hata wasio na dini waliomba kufanya mikataba kama hii wakakataliwa? Hamuoni kuwa mnapofananisha suala la huu mkataba mbovu wa waarabu kuwa hiyo MOA ya wakristo inaonyesha kabisa DP world ilikuwa inakuja kwa sababu za kidini?
 
Tunataka huu mkataba usitishwe mara moja.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Kundi hatari sana Tanzania.
TEC wanamiliki Armed Forces Commision kinyume na katiba
na Padri Slaa aliwahi kutamka kuwa kuna silaha zinapitia TEC
Hawa wana achiwa sana. Msisahau walichofanya Rwanda
Na vyombo vya usalama vinaliogopa hilo kundi? Basi litakuwa hatari sana
 
Hizo huduma wanazipata bure au wanalipia? Ukishakua na pesa yako popote unatibiwa hiyo siyo hoja.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Mkataba au Memorandum of Understanding kati ya TEC na Serikali unawapa TEC 36 Billion kila mwezi. Nusu ya pesa hizi zinatumika kulipia mishahara na starehe za hawa Ma padre kuji mwambafai.
kosa la nan hapo?
 
N
Hawa wote wanalipwa mishahara kutoka kodi za


Watanzania na sio sadaka.


Mkataba au Memorandum of Understanding kati ya TEC na Serikali unawapa TEC 36


Billion kila mwezi.

Ndio tuseme hizo Billion 36/month ni hongo ili wasikosoe kwenye shida? Walau nimejifunza jambo
 
Kwa hivyo TEC wangeunga mkono mkataba wa bandari, MoU katika ya serikali na madhebu ya kikristo katika kutoa huduma za afya kwa watanzania ingekuwa ni "halali"? Nafikiri badala ya kushambulia watoa hoja (TEC), tutizame hoja zao na kuzipinga kwa hoja. Tukishambulia MoU tu, haijibu chochote kilichomo kwenye wataka wa TEC.
 
Kazi kweli kweli duh 🙄 !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…