Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Means Roma is an arm of Lucifer
Ns
 
Mbona una chuki mbaya hivyo na wakristu??? Walikufanyia kitu gani kibaya?
Mimi tena! 🤣
Sina chuki hata kidogo na WAKRISTO. Tatizo lako umedandia treni kwa mbele.
Nicole toka mwanzo utaelewa tu km una busara.

Mimi nimesoma na wakiristo, nimekuwa nao , na mpk leo nafanya kazi nao kila kukicha. Na chakula tunakula pamoja ambacho mara nyingi tu kinapikwa na mkiristo.
Wengi wa wakiristo hawajui namna KANISA linavyo maliza nchi hii.
Wengi sana wanachojua ni kwenda kusali weekend. Kuimba kupiga makofi na kutoa fungu la 10.
Akitoka hapo anajiona dhambi zote za wiki nzima zimefutwa.
Hawajui kuwa huyo Mchungaji huenda ni Member wa kanisa la Shetani anaeiba mali ya maskini wa Tanzania huku akivaa joho kuuuubwa na kudanganya watu kwa Divai na Crisp za mahindi.
 
Kwani katoliki walioewa hayo mabillioni ndio wakajenga,au serikali ilikuta katoliki imejenga ndo inatoa hayo mabillioni? Na kama ni kabla,je waislamu mlikuwa wapi?
Katoliki hawajajenga Chochote bali NYERERE ndio aliyetamka kuwa hospitali hizo zimejengwa na Katoliki kitu ambacho sio kweli.

BUGANDO imejengwa mwaka 1968 na pesa ya Waingereza.

KCMC imejengwa na Good Samaritan Foundation in 1971 ya WAKOLONI kisha ikakabidhiwa serikali.
Wakaipasia Evangelical Lutheran Church of Tanzania
Mpk leo imekuwa ya KANISA


Sema ingine ulioambiwa imejengwa na KATOLIKI nikupe Data haraka.

Katoliki mwaka 1971 walikuwa na makanisa ya majani.
Walipo ondoka waingereza makanisa yao yalioko chini YA Church of ENGLAND mengi yalipokonywa na KATOLIKI.
Manake waingereza SIO KATOLIKI NA hawataki kabisa kusikia MKATOLIKI ktk maisha yao. Manake VATICAN inaongoza kwa laana zote duniani.
 
Kwani katoliki walioewa hayo mabillioni ndio wakajenga,au serikali ilikuta katoliki imejenga ndo inatoa hayo mabillioni? Na kama ni kabla,je waislamu mlikuwa wapi?
Dah, mungu bwana, yaani hapo ndio pakujiuliza, walipowapa wakristo kwani waislam walikuwa wapi? Au ndio walidhulumiwa huku wanaona?
 
Kama
makubaliano BAINA YA SERIKALI NA KANISA....
Hayana faida kwa taifa, YAVUNJWE.
Kuhusu kushirikishwa wananchi, usijitoe ufahamu!, Serikali ya CCM hainaga uwajibakaji huo. Wameshapitisha mikataba mingi, na mingine ya hovyo miaka nenda miaka rudi kwa usiri mkubwa. Tunakujaga sikia mambo yakibuma!
 
Je hao waislam wanatibiwa bure, je huko SAUTI wanasoma bure?
Tuachane na waislam haileti taswira nzuri(udini)

Je hizo taasisi zinatoa huduma bure,jibu ni hapana
Sasa hizo bilioni 36 za nini?
We unadhan Wana pewa za nini?? Vitu vingine mbona unaweza kukaa tuu kimya au uka uliza Je kwann anapewa,
 
Lini wananchi walishikishwa ugawaji wa majengo ya ambacho kingekua chuo cha Tanesco Morogoro, kwa Muslim Development Foundation (MDF)
 
Lini wananchi walishikishwa ugawaji wa majengo ya ambacho kingekua chuo cha Tanesco Morogoro, kwa Muslim Development Foundation (MDF)
Chuo ni FUNGU LA PESA LINALOTOKA KILA MWEZI ?
Mbona nyie wakolosai mnaongea utumbo kushoto kulia?
Aisee nyie viumbe ni shida.
 
Ndio maana hili JAMVI LA JF Likawekwa ili Huu ujinga unaofanywa na serikali na WEZI unaofanywa na KANISA ujadiliwe hapa na hao viongozi wanaoshiriki waone kuwa wananchi tunajua na hatutokaa kimya.

Zile zama za KUIBIWA kisha tunashangilia zimeshapita.
Mungu ailinde nchi yetu na majambazi wasio na huruma na mtoto maskini wa kitanzania ..

Can I get an " amen" please.
Thank you
 
Chuo ni FUNGU LA PESA LINALOTOKA KILA MWEZI ?
Mbona nyie wakolosai mnaongea utumbo kushoto kulia?
Aisee nyie viumbe ni shida.
  • ugawaji wa majengo ya Tanesco kwa taasisi ya kiIslam uangaliwe upya.
  • makubaliano/mkataba unahusisha malipo ya kila mwezi kwa taasisi ya kiKristu yaangaliwe upya
This time wananchi washiirikishwe.

Kama kuna unfairness, then isijalishe mnufaika ni dini gani, marekebisho yafanyike. Umenielewa?
 
Mimi nasupport haki, bila kujali dini, kabila au kanda.
 
Umepandikizwa chuki sana huko Kibiti
 
Haya ndo mnafundishwa pale.MUM?
 
Ukweli unauma, mmebaki kuhaha mitandaoni. Mnatafuta pa kujificha, mwambieni mama aje na hoja ya maana juu ya bandari na sio ninyi mnaotumwa (chawa).
 
We ni muathirika wa chuki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…