NsRoma ni kubwa kuliko SERKALI YOYOTE DUNIANI
CDF mstaafu Mabeyo kukutana na Papa Francis
Sijui Magufuli watu kama hawa aliwapataje. Ambapo kwa sasa kama vile hawapo. === Maaskofu wa Kanisa Katoliki Nchini wapo Vatican kukutana na Kiongozi Mkuu wa Kanisa hilo kama sehemu ya ratiba za kawaida za Maaskofu kukutana na Papa kila baada ya miaka michache. Baadhi ya picha kutoka Vatican...www.jamiiforums.com
Mimi tena! 🤣Mbona una chuki mbaya hivyo na wakristu??? Walikufanyia kitu gani kibaya?
Katoliki hawajajenga Chochote bali NYERERE ndio aliyetamka kuwa hospitali hizo zimejengwa na Katoliki kitu ambacho sio kweli.Kwani katoliki walioewa hayo mabillioni ndio wakajenga,au serikali ilikuta katoliki imejenga ndo inatoa hayo mabillioni? Na kama ni kabla,je waislamu mlikuwa wapi?
Dah, mungu bwana, yaani hapo ndio pakujiuliza, walipowapa wakristo kwani waislam walikuwa wapi? Au ndio walidhulumiwa huku wanaona?Kwani katoliki walioewa hayo mabillioni ndio wakajenga,au serikali ilikuta katoliki imejenga ndo inatoa hayo mabillioni? Na kama ni kabla,je waislamu mlikuwa wapi?
KamaSwali nakuuliza .
Je hayo makubaliano BAINA YA SERIKALI NA KANISA walihisishwa wananchi ktk hilo jambo?
Au unadhani nchi hii mali ya KANISA!
DR SLAA amesema wazi kuwa alikuwa anasaidia kuleta SILAHA ndani ya kanisa.
Hizo silaha mmeweke wapi.?
Sasa we tazama tu.
Siku kikiwaka hilo kanisa litatamani kupaa.
Hayana faida kwa taifa, YAVUNJWE.makubaliano BAINA YA SERIKALI NA KANISA....
We unadhan Wana pewa za nini?? Vitu vingine mbona unaweza kukaa tuu kimya au uka uliza Je kwann anapewa,Je hao waislam wanatibiwa bure, je huko SAUTI wanasoma bure?
Tuachane na waislam haileti taswira nzuri(udini)
Je hizo taasisi zinatoa huduma bure,jibu ni hapana
Sasa hizo bilioni 36 za nini?
Lini wananchi walishikishwa ugawaji wa majengo ya ambacho kingekua chuo cha Tanesco Morogoro, kwa Muslim Development Foundation (MDF)Wanaukumbi.
Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Chuo ni FUNGU LA PESA LINALOTOKA KILA MWEZI ?Lini wananchi walishikishwa ugawaji wa majengo ya ambacho kingekua chuo cha Tanesco Morogoro, kwa Muslim Development Foundation (MDF)
Hata dispensary zao hazikamilikiWaislamu mmejenga hospitali gani yenye hadhi ya bugando..?
Ndio maana hili JAMVI LA JF Likawekwa ili Huu ujinga unaofanywa na serikali na WEZI unaofanywa na KANISA ujadiliwe hapa na hao viongozi wanaoshiriki waone kuwa wananchi tunajua na hatutokaa kimya.Kama
Hayana faida kwa taifa, YAVUNJWE.
Kuhusu kushirikishwa wananchi, usijitoe ufahamu!, Serikali ya CCM hainaga uwajibakaji huo. Wameshapitisha mikataba mingi, na mingine ya hovyo miaka nenda miaka rudi kwa usiri mkubwa. Tunakujaga sikia mambo yakibuma!
Chuo ni FUNGU LA PESA LINALOTOKA KILA MWEZI ?
Mbona nyie wakolosai mnaongea utumbo kushoto kulia?
Aisee nyie viumbe ni shida.
Mimi nasupport haki, bila kujali dini, kabila au kanda.Ndio maana hili JAMVI LA JF Likawekwa ili Huu ujinga unaofanywa na serikali na WEZI unaofanywa na KANISA ujadiliwe hapa na hao viongozi wanaoshiriki waone kuwa wananchi tunajua na hatutokaa kimya.
Zile zama za KUIBIWA kisha tunashangilia zimeshapita.
Mungu ailinde nchi yetu na majambazi wasio na huruma na mtoto maskini wa kitanzania ..
Can I get an " amen" please.
Thank you
Umepandikizwa chuki sana huko KibitiSwali nakuuliza .
Je hayo makubaliano BAINA YA SERIKALI NA KANISA walihisishwa wananchi ktk hilo jambo?
Au unadhani nchi hii mali ya KANISA!
DR SLAA amesema wazi kuwa alikuwa anasaidia kuleta SILAHA ndani ya kanisa.
Hizo silaha mmeweke wapi.?
Sasa we tazama tu.
Siku kikiwaka hilo kanisa litatamani kupaa.
Haya ndo mnafundishwa pale.MUM?Katoliki hawajajenga Chochote bali NYERERE ndio aliyetamka kuwa hospitali hizo zimejengwa na Katoliki kitu ambacho sio kweli.
BUGANDO imejengwa mwaka 1968 na pesa ya Waingereza.
KCMC imejengwa na Good Samaritan Foundation in 1971 ya WAKOLONI kisha ikakabidhiwa serikali.
Wakaipasia Evangelical Lutheran Church of Tanzania
Mpk leo imekuwa ya KANISA
Sema ingine ulioambiwa imejengwa na KATOLIKI nikupe Data haraka.
Katoliki mwaka 1971 walikuwa na makanisa ya majani.
Walipo ondoka waingereza makanisa yao yalioko chini YA Church of ENGLAND mengi yalipokonywa na KATOLIKI.
Manake waingereza SIO KATOLIKI NA hawataki kabisa kusikia MKATOLIKI ktk maisha yao. Manake VATICAN inaongoza kwa laana zote duniani.
Tena kwenye matokeo ya Kidato cha Nne shule nyingi zinazofanya vibaya ni za waislamu na nyingi ziko Zanzibar.Unasumbuliwa na udini,mbona Zanzibar haina raisi au mbunge Mkristo Hana mmoja Wala kiongozi yeyeto,na hakuna mwenye chuki Hilo.
Wawafelishe ili iweje sasa.
Na Hindu Mandal, Burhani, Ebrahim Haji nazo zinapewa mpunga? Zote hizi ni za jamii za diniSerikali isitishe utaratibu wa kutoa mitaji ya kuendesha hospital za kanisa,mbona agha Khan hospital haipewi hizo pesa!?
Watasingizia WakristoTena kwenye matokeo ya Kidato cha Nne shule nyingi zinazofanya vibaya ni za waislamu na nyingi ziko Zanzibar.
We ni muathirika wa chuki.Moja.
Suala la waislamu individual kuwa na pesa halihusiani na TAASISI YA KIISLAMU YYT.
KANISA KAMA KANISA lina pesa kupita maelezo na vyanzo vyake vyote ni BOGUS.
Mbili.
soma historia uangalie nani aliyebadili System hapa TZ ya kuondoa majina na kuweka na Namba.
Na kwanini aliamua kufanya hivyo.
Tatu. Kuhusu suala la shule za kiislam kutokufanya vizuri.
Kuna kesi majuzi tu ya binti wa kiislam kupewa namba feki ya mitihani na marks zote za namba yake ya halali kupewa MKRISTO.
Hilo suala bado lipo kila kona ktk taifa hili lenye laana.
Wakristo wanakaa vikao chungu nzima kuhakikisha waislamu hawapati nafasi yyt ya maana popote pale.
Iwe mashuleni, mitaani mpk serikalini.
Zikija scholarship Tz mfano 200. Basi KANISA litapewa 150.
Waislamu 20 na 30 zitatangazwa kwa wengine.
Na hizo 20 zitawekewa vikwazo chungu nzima.
Mtu anadhani vikwazo vinatoka nje ya nchi kumbe vimepikwa humu humu na Mfumo kristo.
hio ni chuki isio na faida.
watoto hawa wote ni watanzania. Chuki husababisha vifo vibaya sana.
Ogopeni Mungu
Tena huyo alivyo na chuki na wakristu kweli atakufa siku si zake kwa stress🤣🤣🤣Hahahahahahahahahahaha yaani nacheka mpaka basi.Waraka umewaibua watu leo.Toa.ya moyoni mzee usije kufa bure na stress za kanisa