Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Acha porojo kaka, pitia hotuba ya rais Kikwete kwenye baraza la idd kule Dodoma ndiyo utajua serikali inatoa kiasi gani cha pesa kwa kanisa kila mwaka. Utasutwa wewe.
I know what I am talking about. Serikali imetoa ahadi nyingi lakini fedha nduhu. Fedha nyingi zinazoendesha hospitali za makanisa zinatolewa na walipa kodi wa nchi za nje kama vile Ujerumani, na makundi ya kibinafsi kama vile Marekani. Serikali ya Tanzania imetoa ahadi tu lakini utekelezaji nduhu! Kanisute kaka! Na correction: serikali haitoi fedha kwa kanisa. Imeahidi kutoa msaada kwa taasisi za makanisa zinazotoa matibabu kwa raia wote wa Tanzania.
 

Kaka kumbe umeamua kuanzisha ligi.
 
Acha porojo kaka, pitia hotuba ya rais Kikwete kwenye baraza la idd kule Dodoma ndiyo utajua serikali inatoa kiasi gani cha pesa kwa kanisa kila mwaka. Utasutwa wewe.


Tatizo lako unakuwa na majibu kabla hujaulizwa swali. Matokeo yake unajibu usichoulizwa. Suala si Serikali imetoa kiasi gani, bali serikali imetoa fedha kwa ajili ya nini? Hivi madhehebu yako yana hospitali gani ambayo inatoa huduma kwa wananchi na serikali imekataa kuingia nayo MOU? Au unataka serikali ikujengee nyumba ya ibada?

Hivi umesoma vizuri maelezo ya Dr. Slaa? Bugando Medical Centre na KCMC zilikuwepo hata kabla ya MOU. Ukiona akili yako ni nzuri mshauri JK, ambaye ni MUislam, asipeleke fedha kwenye hospitali hizo. Kwa taarifa yako JK atakuona umechanganyikiwa. Soma MOU acha kukurupuka.
 

Wewe hujui lolote bora ukae kimya.
 
Mimi labda sijaelewa Slaa anatolea ufafanuzi kama msemaji wa kanisa au kiongozi wa chadema.Babu mbona unatuchanganya uko upande upi

Jaribu kutumia akili yako wewe babu alishiriki kwenye hiyo akiwa kama katibu wa kanisa embu soma kwa umakini usipende kulalamika kam mwanamke.
 
Acha porojo kaka, pitia hotuba ya rais Kikwete kwenye baraza la idd kule Dodoma ndiyo utajua serikali inatoa kiasi gani cha pesa kwa kanisa kila mwaka. Utasutwa wewe.

Sio KANISA mbulula wewe, serikali haina uwezo wa kulisaidia kanisa, ni kanisa ndio linaisaidia Serikali. Fedha zinatolewa kwa taasisi za kanisa na sio kanisa. Zile Hospitali zinaendeshwa na serikali na ndio maana umeona wakati wa mgomo hata wao waligoma, wameajiriwa na serikali na sio kanisa.

Hivi mtapata hasara gani kutumia akili angalau mara moja kwa mwaka? Mbona hamuendi kutibiwa Aga khan mnakimbilia KCMC?

Yaani wewe kwa akili zako unataka kutuambia kuwa muasisi wa kupinga MoU, shehe Bassalleh ana akili kuliko bunge lote? Akili zako zinafanana na hiyo avatar yako
 

BAKWATA haijaenguliwa, bali imeenguka automatically kwa kukosa hisa. Kama kikao cha kwanza cha wananchi kuzungumzia kuanzisha duka la mtaa kitahusisha wanakijiji wote zingatia kuwa cha bodi ya wakurugenzi kitahusisha wanahisa tu.

Ama ipo taasisi ya huduma ya jamii inayomilikiwa na BAKWATA?
 
La kuuliza ni je shule za kiislam hazikutaifishwa? Au hazikuwepo? Waarabu walichukua watumwa na pembe za ndovu wakasahau kuwekeza hapa nchini? Sasa wao walipeleka MOU ya kuomba mahakama ya kadhi au vipi? Maisha yetu tumeyaweka rehani kwenye dini?
 


By Dr.W.Slaa


"Daima Serikali ilishirikishwa kama Observer katika michakato hiyo "
PENGINE WENGINE KUTOJUA KINGEREDHA KUNACHANGIA KUTUFANYA TUSIELEWE VIZURI.HEBU WENZANGU NISAIDIENI HICHO KICHWA CHA HABARI HAPO KWENYE MoU KINAMAANISHA NI MAKUBALIANO KATI YA NANI NA NANI KABLA YA UFANUZI WENYE BOLD NYEKUNDU.WASWAHILI HUSEMA ZA KUAMBIWA UNACHANGANYA NA ZAKO.
 

Very good.
 

Watu nyie mna shida kweli. Soma maelezo yote ya Dr. Slaa halafu utajua ni kwanini makubaliano hayo ni kati ya kanisa na observer(Serikali) . Hivi ni nani aliyewaloga wenzetu vichwa vyenu?
 
Watu nyie mna shida kweli. Soma maelezo yote ya Dr. Slaa halafu utajua ni kwanini makubaliano hayo ni kati ya kanisa na observer(Serikali) . Hivi ni nani aliyewaloga wenzetu vichwa vyenu?
MoU nimeisoma yote Na Maelezo ya Slaa nimeyasoma yote na makubaliano kwa mujibu wa MoU Inaonekana ni kati ya makanisa ya upande mmoja na serikali kwa upande mwengine.ndo maana simply tu nikaamua kurejea kichwa cha habari cha MoU.labda kama alie andika hii MoU Kakosea na silaa aliyeshiriki ndo yuko sahihi.zaidi ya hapo nashauri ni bora kwenye hoja kama hii tukawa wakweli na wawazi zaidi kuliko kufanya ushabiki na kuegemea kulinda kundi moja ama jengine.tujadili mada;tusijadili watu.
 
 
Ni full magumashi
 
Kuweni makini, mishahara, oc na deve funds serikali inatoa kwa kanisa kila mwezi. Bugando, kcmc, peramio, ifakara, bwagala nk. Lakini bado tunalipia huduma. Mbona haitoi kwa bakwata? Ushaidi ni mimi na vitabu vya bajeti

Angalia huduma zitolewazo na hizo taasisi sio utafikiri mtu asiyekuwa na akili timamu,sasa hiyo bakwata inaisaidia nini jamii hadi ipate hiyo ruzuku?
 

Sasa kama Tanzania haiwezi kujiunga na OIC kwa kuwa haina dini, mbona Tanzania hiyo hiyo inaomba misaada nchi za nje kwa ajili ya kanisa? Au dini ya Tanzania ni Katoliki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…