I know what I am talking about. Serikali imetoa ahadi nyingi lakini fedha nduhu. Fedha nyingi zinazoendesha hospitali za makanisa zinatolewa na walipa kodi wa nchi za nje kama vile Ujerumani, na makundi ya kibinafsi kama vile Marekani. Serikali ya Tanzania imetoa ahadi tu lakini utekelezaji nduhu! Kanisute kaka! Na correction: serikali haitoi fedha kwa kanisa. Imeahidi kutoa msaada kwa taasisi za makanisa zinazotoa matibabu kwa raia wote wa Tanzania.Acha porojo kaka, pitia hotuba ya rais Kikwete kwenye baraza la idd kule Dodoma ndiyo utajua serikali inatoa kiasi gani cha pesa kwa kanisa kila mwaka. Utasutwa wewe.
