Kwahiyo Ada ya Ilboru ni sawa na st Peter's?
Unajua nimekuomba ujibu hoja zangu, we unaishia kutaka mkoa tu, mi nataka nishawishike kukuunga mkono kwa majibu ya hoja zangu zoteMkoa ninaoishi ni dar, vipi nianze taja hospital kubwa?
bado hakuna mkataba wa kazi baina ya DPW na TPA msihamishe magoli.Tufute kwanza dpw then tutakaa tuome tunafanyeje.
Kwa sasa wavaa kobazi wanaingia mikataba ya kibiashara - kumbuka hilo.Kwani Nyie Wavaa Kobasi Mmenyimwa Kuingia Mou.
Mbona huisemei BAKWATA.Sitaki kukuaminisha chochote, ninachotaka MoU bana ya serikali na kanisa ifutwe na pesa za Watanzania zisielekezwe huko ka sasa. Hakuna sababu.
Haya ndiyo msingi muhimu wa kuzingatia.Kwenye hili hapa nipo nawe moja kwa moja.
Serikali isjihusishe kwa vyovyote na hizi dini, na wala dini zisitafute upendeleo wowote toka serikalini.
Na hayo mambo ya sala sijui maombi huko serikalini iwe ni marufuku.
Watu watasali na kuomba majumbani kwao au kwenye nyumba za ibada zao.
Ujinga mwingi huko serikalini unaanzia huko huko kwa kuingiza dini huko.
Nchi hii ina watu wajinga sana
hatutaki kujenga misikiti, makanisa yapo mengi tutaanza kampeni ya kuyabadili yote yawe misikiti. Tutawapa elimu tu, Afrika Kusini na Kenya wameshaanza kuyabadili makanisa kuwa misikiti, kama Ulaya.Hizo pesa zitumike kujenga misikiti.
Kama anavyo taka Mwarabu.
Huyo anawaza Uislamu, Muhammadi, Allah, na Mwarabu tu basi.Mbona huisemei BAKWATA.
Au Hujui Kuwa Nayo Ina Mou Na Serikali
Tufanye mlinganisho wa gharama za tiba kwenye private hospitals na hizo zinazopokea ruzuku ya serikali.....Ndio hawatibiwi bure, kwasababu serikali huwa haitoi pesa zote zinazotakiwa kufidia gharama kulingana na hayo makubaliano ya MoU unayotaka yafutwe, inabidi hizo hospitali zitafute namna nyingine ya kuwezesha kukidhi mahitaji.
Unataka mtibiwe bure ili hizo hospitali zife kabisa kwa kushindwa kujiendesha? hiyo itakuwa hasara kwa serikali pia, kama unataka huduma ya bei rahisi kaitafute unapopenda, lakini usilazimishe huduma ya gharama kama MRI Scan uipate kwa 200/= huo ni uzuzu.
Hili unalijua upande mmoja pekee, hujui upande wa pili, wacha mihemko ya kitoto hapa.
Mou ya Bakwata vipi nayo?hatutaki kujenga misikiti, makanisa yapo mengi tutaanza kampeni ya kuyabadili yote yawe misikiti. Tutawapa elimu tu, Afrika Kusini na Kenya wameshaanza kuyabadili makanisa kuwa misikiti, kama Ulaya.
Sasa hivi, mada iliyopo hapa, tunataka MoU ya serikali na kanisa isitishwe haraka sana na pesa zetu zisipelekwe tena kanisani. Mtanzania binafsi ataetaka kuchangia kanisa atapeleka sadaka zake kanisani.
Ata Ada Ya DIAMOND PR SCHOOLKwahiyo Ada ya Ilboru ni sawa na st Peter's?
Kaulizwa Mwingine Unajibu Wewe Kimbelembele MwajumaMkoa ninaoishi ni dar, vipi nianze taja hospital kubwa?
Unapotaka mlinganisho wa gharama za tiba kwenye private hospitals, na hizo zinazopokea pesa toka serikalini ili u-justify kama mnaonewa, lazima utambue jambo ..Tufanye mlinganisho wa gharama za tiba kwenye private hospitals na hizo zinazopokea ruzuku ya serikali.....
Pia hata kwenye elimu tulinganishe gharama kati ya private schools na za kanisa
Jambo la msingi, tunaposema Kanisa tunajumuisha mpaka akina Mwamposa au kuna Kanisa la Serikali yetu tukufu?