Wangejengaje vyuo vikuu bila sheria kuruhusu? Bugando ilijengwa na Mkoloni? Cardinal Rugambwa atajisikia vibaya huko kaburini.Before 1992 MoU nitajie chuo kikuu kimoja cha kikristo Tanzania?
Before 1992 MoU nitajie hospitali moja ya kikristo Tanzania? usinitajie Bugando, wala KCMC kwasababu zote zilijengwa na serikali ya mkoloni, unajua serikali maana yake ni kodi za watanzania wote..
Acha hizo nyie mkiiba seriaklini si juhudi hiyo hakuna tofauti na RA na EL