Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

TEC inafahamu kwamba mwaka 2014 maaskofu wote Katoliki Tanzania akiwemo Kardinali Pengo na wasaidizi wake walipokea mamilioni ya shilingi pesa taslimu na nyingine kwenye akaunti zao kama Askofu Nzigilwa (milioni 80 benki) na Kilaini (milioni 40 benki). Inajua fedha hizo zilitoka katika kampuni yenye makando kando ya rushwa ya kihistoria Tanzania. Wananchi wengi walipiga kelele lakini fedha hizo hazikurudi wala hakuna kumbukumbu za kanisa katoliki kupinga na kusema Sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu.
Muulize JK kama hizo pesa ni za serikali ama la
 
Halafu wagalatia chuki zenu hazijahi kutokea ktk jamii yyt kabla yenu.
Mko tayari tukose wote alimuradi Muislamu na wananchi wengine asiekuwa mgalatia asipate nafasi ya kuongoza chochote.

Yaani najiuliza hivi ikiwa una ndugu wa kiislamu na wewe mgalatia hivi iko siku utaweza kumkaribisha kwako kwa mapenzi?
Wabaya sana nyie viumbe
Dini isiwe kichaka Cha mikataba mibovu
 
Baada ya kuja na ule ushahidi wako wa kutengeneza studio ukabuma, sasa umeona ukatafute hako ka mkataba ili uje kumtengenezea mamako kichaka cha kujifichia..

Hicho kichaka nacho tunachoma moto, iko hivi;

Huo mkataba kama hamuutaki uvunjeni sasa hivi, wakatoliki walijichanga wakajenga hospitali kwa pesa zao, bila kujali kama serikali ingejitokeza kuchangia gharama ili kuwahudumia wananchi, hivyo utambue pia, hawawezi kushindwa kupata pesa za kuziendesha.

- Hawa sio watu wa kukaa kwenye mikeka na kupiga umbea, wakitafuna kahawa na kashata, ni watu wa kazi kwa vitendo.

Hivi kwanza, hizo bilioni 36 umezitoa wapi tuambie? sio unakuja na maneno yako ya uongo kama ulivyozoea ilimradi uandike tu hapa JF, hii sio JF ile ya wajinga mliyoizoea miaka iliyopita, njoo na ushahidi wa kusapoti haya madai yako, usituletee mipasho yenu uliyoizoea huko Pwani.

Tuwekee check au risiti kuthibitisha madai yako, bil. 36 kwa mwezi hii serikali inaweza kuzitoa wapi kila mwezi? tena kwa miaka yote hiyo? hizo pesa kama serikali inazo kwanini wasijenge hospitali zao mikoa yote Tanganyika? kwanza una hakika serikali hutoa hizo pesa kila mwezi, au unaimba tu kama kasuku?

Wewe mswahili unaonekana hauna hata common sense, upo static kama jiwe, linalosubiri mpaka lipigwe teke ndio lisogee!.
Umemaliza, pia anatakiwa kujua serikali inamuhitaji zaidi RC kuliko RC anavyoihitaji serikali katika Hilo suala la hospitali.
 
Wajenge kwani wamepewa mabilioni kama kanisa wanavyopewa?
Wataendeleaje wakati mmewaminya na kuwafelisha maksudi kuanzia chekechea?
Ila sasa ni uprising time kwao, wamesoma kinguvu na wameinuka na wanajua haki zao, kaeni chonjo lolote linaweza kutokea
Wewe kweli hata historia ya kanisa huijui. Unadhani shule za kanisa zilizotaifishwa na serikali miaka ya 1960s zilijengwa kwa pesa ya serikali!!!!???? Hiyo pesa mnayopigia kelele imeanza kutolewa 1992. Kwanza mshukuru serikali kutaifisha hizo shule kwa sababu wazee wengi wa kiislam walikuwa hawapeleki watoto wao kwenye hizo shule wakihofia eti watalishwa kitimoto!!!
 
Umemaliza, pia anatakiwa kujua serikali inamuhitaji zaidi RC kuliko RC anavyoihitaji serikali katika Hilo suala la hospitali.
Yaani wakatoliki huwa mnajifariji mno kwa mambo ya vijiweni.

Yaani Rais wa nchi akiamuru kuuwa hao wakatoliki kama wanahatarisha usalama wa nchi basi aliyeagizwa kufanya hivyo hata awe RC mtiifu atauwa tu sasa hapo ndo ujue nani mwenye nguvu kati ya lidude likuuubwaaa serikali na hicho kichanga RC.
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Wavunje tu mkataba. Tutachangia tu.
 
Yaani wakatoliki huwa mnajifariji mno kwa mambo ya vijiweni.

Yaani Rais wa nchi akiamuru kuuwa hao wakatoliki kama wanahatarisha usalama wa nchi basi aliyeagizwa kufanya hivyo hata awe RC mtiifu atauwa tu sasa hapo ndo ujue nani mwenye nguvu kati ya lidude likuuubwaaa serikali na hicho kichanga RC.
Sawa mkuu
 
Waislamu wengi sana hupata huduma za Kanisa bila ya Ubaguzi unajua kwa mfano Waislamu wangapi hutibiwa KCMC au Bugando? Na hiyo ni mifano midogo tu kuna Wilaya kubwa Tanzania huduma pekee ni ya Kanisa na kila mtu hutibiwa au unafikiri hakuna Muislamu anasoma SAUT ?

Serikali siyo wajinga wanachangia kwa sababu haina uwezo wa kufikia kila Mtanzania kwa huduma za Matibabu na hata elimu, hivyo labda haujui unachokihoji.

Shida kubwa ya Uislamu ni dini inayonyanyapaa na kukanyaga masikini na watu wa chini wasio na mtetezi, Waislamu maelite hawajali Waislamu wa chini ndiyo maana Uislamu hautoi huduma kwa jamii hata tu watoto yatima hakuna ndiyo maana wewe unahoji Kanisa kupata fedha ktk Serikalini kwa sababu kwako masikini na watu chini siyo kitu.

Viingozi wa Kiislamu wenye uwezo sijawahi kusikia hata siku moja wakianzisha foundation kama Mkapa foundation kusaidia watu, wao kazi yao starehe na kupiga picha social media tu …
Katika hili la Waislamu kutokujali watu wa chini nakubaliana na wewe kabisa. Waislamu wanapokuwa Katika mawaidha yao unaweza kuamini ni watu wenye huruma sana na wanaojua kujali masikini. Kiukweli wana mafundisho mazuri sana lakini HAWAISHI KATIKA HAYO MAFUNDISHO. , KIUFUPI NI WA BINAFSI SANA. Ni wachache sana wanaoishi kwa kufuata mafundisho ya dini yao kama vile MZEE BAHARESA, Japo watoto wake hawapo kama yeye
 
Ndugu yangu Ritz ivi unataka mikataba yote ya nchi hii iwekwe hadharani?
Jua Nia ya kwanza ya serikali ni kutoa huduma Bora za kijamiii kama afya,maji na elimu.
Tec inajulikana anamikiki hospitals nyinyi na hivyo kuwa mbia muhimu kwa serikali katika kuimarisha huduma za afya.
Kwa hiyo sioni shida yoyote kwa serikali kushirikiana na tec katika kutoa huduma Bora za afya kwa wananchi.
Hata ovyo pia mkataba huu ni within btn tanzanian wenyewe kwa hiyo Kila kitu kinaweza kuwa settled kwa kuzingatia utaifa.
Lakini mikataba na foreigner ukiwa mbaya hakuna utaifa hapo ni full aggressive
 
Dini isiwe kichaka Cha mikataba mibovu
Hilo ndio tatizo kubwa kwa upande wa wakristo.
jambo lolote lenye kuonekana litaingiza pesa hawataki kuona linaongozwa na muislamu yyt.

Yaani bora hilo jambo lifie mbali kuliko kuongozwa na Muislamu.
Hii tabia wanayo wakristo toka tumepewa uhuru mbuzi na waingereza.
 
Mkuu 36 billion kwa mwezi...bado nimekwama hapa napiga hesabu
 
Hao waislamu wenzako wanao tukana watu wengine ndio wenye nidhamu sio

Mkiwa na nidhamu tunaweka nidhamu
Mkija na kashfa tunawakumbusha jinsi bwana mudy alivyokuwa na tabia za kiwaki.

Huyo pye Chang shen muislamu mwenzako akikashifu ni sawa akijibiwa ni nongwa
soma post no #378 uone huyo mwenzako mujahidin alicho andika.
Kama mtu anatukana ovyo hio ni dalili ya malezi mabaya .
Andiko linasema Mithali 20:3 “Mtu kujitenga na ugomvi ni heshima kwake; Bali kila mpumbavu ataka kugombana”.

Na pia andiko linaongezea

26:11 Kut 8:15; Za 85:8; 2 2:22

Kama mbwa ayarudiavyo matapiko yake, ndivyo mpumbavu arudiavyo upumbavu wake.

Yeye akitukana na wewe ukitukana nani mwenye busara?
 
Kwa kweli, baada ya hili suala la DPW, tunataka na Mkataba usio na Kikomo kati ya Serikali na Kanisa uwekwe hadharani nao tuujadili na tukubaliane juu ya vifungu vyake kama bado kwa zama hizi tunautaka ama tuachane nao. MOU kati ya Kanisa na Serikali, pia hatuutaki kwa sababu serikali ndio inawajibu wa kutoa huduma za jamii kwa watu wake ikiwemo afya na elimu. Hatuwezi kukubali kuendelea kutoa bilions of Shilings kwa kanisa endlessly wakati kila siku serikali imekuwa ikijenga hosp na vituo vya afya kote nchini. Je hizo zinazolipiwa kanisani ni kwa nini? Mikataba yote ya janja janja ipigwe chini.
Kwa hili wagala wanaona ni haki yao kabisa
 
Waislamu wengi sana hupata huduma za Kanisa bila ya Ubaguzi unajua kwa mfano Waislamu wangapi hutibiwa KCMC au Bugando? Na hiyo ni mifano midogo tu kuna Wilaya kubwa Tanzania huduma pekee ni ya Kanisa na kila mtu hutibiwa au unafikiri hakuna Muislamu anasoma SAUT ?

Serikali siyo wajinga wanachangia kwa sababu haina uwezo wa kufikia kila Mtanzania kwa huduma za Matibabu na hata elimu, hivyo labda haujui unachokihoji.

Shida kubwa ya Uislamu ni dini inayonyanyapaa na kukanyaga masikini na watu wa chini wasio na mtetezi, Waislamu maelite hawajali Waislamu wa chini ndiyo maana Uislamu hautoi huduma kwa jamii hata tu watoto yatima hakuna ndiyo maana wewe unahoji Kanisa kupata fedha ktk Serikalini kwa sababu kwako masikini na watu chini siyo kitu.

Viingozi wa Kiislamu wenye uwezo sijawahi kusikia hata siku moja wakianzisha foundation kama Mkapa foundation kusaidia watu, wao kazi yao starehe na kupiga picha social media tu …
Ndo kanisa lijitegemee na hizo pesa zikaimarishe hospital za serikali.
 
Back
Top Bottom