Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Naomba nijibu kipengele cha pili:


The government shall provide vacancies in its Teachers training colleges for training qualified persons as teachers earmarked for church owned schools. Article xi

Hapo nilipopigia mstari ni walimu makhsusi kwa ajili ya shule za kanisa.

Mkataba huo kwa sasa una miaka takriban 22, ni upi ukomo wake? Kama hivyo ndivyo kuna ajabu gani kwamba shule za serikali hazifanyi vizuri bali ni shule za kanisa? Huu ni ufisadi ambao hauwezi kumalizwa JF bali viongozi wa dini ya kiislamu, kanisa na serikali kukaa na kujadiliana. Kinyume chake ni maafa twendako.

You need to go back and re-read what I have written and then do think afresh before coming back.

Just to help you, that you may think properly; do consideration of what you have written and underlined against what I had elaborated.

Ukishindwa kunielewa basi.
 
Ungepiga hesabu tokea 1992 mpaka leo Serikali imetoa kiasi gani kwa Kanisa, pesa hizi zingesaidia kujenga Shule, vyuo na Hospitali ngapi?

Je, Serikali iendelee kutoa pesa hizi mpaka lini? na baada ya miaka 20 mingine ni kiasi gani cha pesa itafikia? ni bora kuukata huu mrija sasa hivi kuliko kuja kukaa chini baada ya miaka 20 ijayo na kujilaumu kuhusu kiasi cha fedha zilizoachiwa kutiririka na kulineemesha Kanisa huku serikali ikiendelea kulitegemea Kanisa (hata baada ya miaka 20 ijayo).

Ni lazima kuwe na mwisho wa upelekaji wa hizi pesa Kanisani na wakati bora ndio huu.

Sijui kama una uhakika na unalichokisema lakini kama kweli tunataka serikali iache kutoa subsidy kwa uendeshaji wa huduma za jamii zinazotolewa na kanisa, basi kwanza tuishauri serikali ijenge miundo mbinu yake itakayochukua nafasi ya hizo za kanisa halafu ndio iache kutoa hiyo subsidy. Lakini kuiambia serikali iache, ni sawa na kusema serikali iwaache watu wake waendelee kufa bila kupata huduma bora za matibabu na elimu!!!

Mchangiaji mmoja ameshauri kwamba ili kuwe una uwiano, basi na waislamu waorodheshe huduma za hosiptali na mashule ambazo wanataka serikali itoe subsidy ili kuzirun, do you have any? Tuache hii tabia ya kulishwa ujinga na watu wasioitakia mema nchi yetu.

Tiba
 
ccm na kanisa havijawahi kutengana/kutenganishwa msichanganye mambo,mmesahau kanisa ndio lilitamka kwamba kikwete huyu ni chaguo la mungu na waislam tukasema astaghafirullah,wakristo wakakenua sana leo mnajidai kujitenganisha nae??!!kikwete ni chaguo la kanisa na kawekwa pale na kanisa,mkapa hakua chaguo la mungu wa wakatoliki aliwekwa pale na nyerere ndio mana alikua halisikilizi kanisa na ndio mana hata siku anamnadi kikwete uchaguzi wa 2010 siku ile kikwete alipoanguka kabla mkapa aliwasemea ovyo kina pengo kwamba kama wanatamani siasa wavue majoho waje kwenye siasa tupambanie huku,tuongee tu mambo mengine haya mambo achaneni nayo


Mkuu weka kumbukumbu sawa sio kanisa lililotoa tamko kuwa Kikwete ni chaguo la MUngu ni Askofu Method Kilaeni halikuwa tamko la kanisa kwa mantiki kwamba alitoa kauli hiyo kwa maelekezo ya kanisa lakini pia kanisa katoliki haliwakilishi wakristo wote hata kama Kilaeni angekuwa ametoa kauli hiyo kwa niaba ya wakatoliki.

Watoto wetu na vizazi vijavyo visije kupokea kumbukumbu potofu.
 
Tupeni MoU kwa miaka 20 na nyie mchukue kile chuo basi.

Inatia huruma kweli ukitazama mtanzania mwenzako alivyokua na uwezo wa kuelewa mambo kiasi hiki..sijui anafikiri MOU ni kama bidhaa au pesa mpaka anataka kupewa? Ningekua na uwezo ningezifanya madrasa zote kuwa shule za msingi na secondari ili wenzetu wafunguke macho
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo hadi unatia hasira
Hizo shule si zinahitaji walimu? hizo nafasi za ualimu zinazotolewa kwa hao watu sio Watanzania? Je ni nani ananufaika na huduma za hao walimu? Si ni watanzania wote bila kujali dini zetu?
Ujerumani kupitia makanisa yao yalikuwa tayari kutoa msaada wa kifedha kwa Makanisa kwa ajili ya hizo shule na hospitali Serikali kufacilitate hili kuna kosa gani? Ukizingatia kuwa ni Wanachi wake wote bila ubaguzi ndio wanao nufaika?

1) Kuhus uwezo wangu wa kufikiri kuwa mdogo, sishangai sana maana serikali iliamua kuwasomesheni nyie na ikatuacha sisi wapweke.

2) Nafasi za ualimu huwa zinatolewa kwa merit sio itikadi. Kwani wanaosoma kwenye vyuo vya ualimu si watanzania? Kwa nini kanisa litake upendeleo kwa wakristo pekee?

3) Serikali sio tu facilitator kwa Ujerumani bali na wafadhili wengine. Kwani kuna kosa gani serikali leo kujiunga na OIC, ikiwa watakaonufaika ni waislamu ambao nap ni raia wa Tanzania?
 
Kikwete kishawaambia pale Dodoma kuwa pelekeni maombi yenu. Changamkieni tenda!

Tupeleke marangapi? Wakati unaambiwa tulisha peleka, lakini serkali hiyihiyo ya mfumo kristo ikatupiga danadana mpaka leo!
 
You missed my point mkuu.

1.Naelewa kuwa haya ni maandishi ya Dr.Slaa akichangia mada nyingine,am i wrong?

2.Muanzisha uzi ametumia hii coment ya dr.(kutoka huko kwenye mada nyingine)kuanzisha uzi mpya hapa kwa kuweka title kama inavyoonekana,am i wrong?

Kama nipo sahihi in both 1&2 basi hoja yangu kuwa hili sio tamko ni ufafanuzi bado haijajibiwa.

Hakuna sehemu niliyosema "Jf inaendeshwa kienyejienyeji tu".Ungenielewa ungeelewa kuwa nilikuwa naelekea kusema "mleta mada ameweka title kienyejienyeji tu".

Well said mkuu. Nimekosa sehemu ya kugonga senks. n'way senk yuu
 
Unaumba wewe na kuleta wewe huku ukilisha maneno wewe?

Leo Yeriko sijakuelewa kama ndiyo yule ambaye hapa siku zote naona unaelewa haraka, sijajua. Kwa mtazamo wangu, "the good interpretation of any idea comes from the thinker himself". Dr. Slaa anapaswa awe ndio msemaji anayeelewa vizuri kuliko sisi tuliokuwa tunafikiri tu, ila yeye alishiriki mchakato. Naona amefanya vizuri kutufafanunulia. Kwa sasa hatutajadili kitu hiki kama siri, na mimi namshukuru aliyetuletea copy, tuweke copy hii siku ukija mjadala, tusianze kusema sijawahi kuona MoU ikoje.
 
baada ya mabadiliko makubwa ya huduma za jamii hapa nchini ikiwamo elimu mwishoni na mwanzoni mwa miaka ya 80 na 90 serikali haisomeshi tena watu bure, na ndio maana inatoa mikopo kwa baadhi ya watanzania wasiojiweza sasa ndugu yangu sikuelewi, nafasi za upendeleo kivipi? akisoma mfanyakazi wa hospitali ya kanisa udsm mwenye sifa na akapata mkopo loan board kama mtanzania mwingine ndio unaita nafasi za upendeleo?!!!. Kwa vyuo vya elimu ya kati na sekondari serikali inafadhili wanafunzi wa kitanzania kulingana na mahitaji na umuhimu wa fani zao kwa maendeleo ya nchi bila kujali huyu ataenda kufanya kazi serikalini au taasisi yoyote ya dini . Kuna baadhi ya hospitali za madhebu ya dini zinatumika kama hospitali za rufaa , mkoa na wilaya na zinawahudumia watanzania wote mkiwamo waislamu sawa na hospitali nyingine ya serikali je mtanzania mkristo anyekutibu pale bugando au kcmc akipelekwa fo further studies na kwa hela za walipa kodi anowahudumia ni vibaya? Au wakristo siyo sehemu ya wananchi wa Tanzania?. Swali lako la pili inaonyesha hata mchango wa slaa na kilichomo ndani ya MoU HUELEWI KITU! WAISLAMU NASHINDWA KUWAELEWA NYIE NI KIZAZI GANI!!!

1) DR Slaa anasema hata hiyo MoU alikuwa haijui mpaka ameiona JF! Hapa natumia akili ya kuzaliwa pia kwa vile hata yeye ni mwanadamu na ana utashi wake. Swali la kwanza ni kwa nini kanisa litake upendeleo kwenye vyuo vya ualimu ambavyo vinagharamiwa na kodi za watanzania wote wakristo na wasio wakristo? Kumbuka mwisho wa siku hizo taasisi zinabaki kuwa mali ya kanisa na kuendeshwa na kanisa kwa manufaa ya kanisa sio watanzania.

2) Waislamu huwezi kuwaelewa ni wa kizazi gani ikiwa DR Slaa ambaye naye anataka kuwa rais wa Tanzania ameshindwa kuona kosa la MoU liko wapi.

3) Kwanini muilazimishe serikali kwenye MoU ikawaombee misaada nje ya nchi kwa manufaa ya kanisa badala ya serikali kufanya kazi kwa manufaa ya raia wake wote?
 
Maswali ya kujiuliza sasa;-

1. kwanini MoU ilifanywa kwa siri kubwa na hakukuwa na transparency huku serikali ya watu wote ikihusishwa?
2. Kwanini waislam na wao wakitaka kujiunga na OIC ili waboreshe shule na vituo vyao vya afya huwa wanapingwa vikali?

NB: Kikubwa zaidi nilikuwa sijui kama Dr. slaa nae alishiriki kufanikisha MoU, safi sana katibu!
 
Ufisadi wa MoU uko hapa ambapo DR Slaa nasikitika hakuweza kutuelezea kwa undani:

‘The government shall provide vacancies in its Teachers training colleges for training qualified persons as teachers earmarked for church owned schools’. Article xi


‘The government shall endeavour to include financial assistance for church run social services in its bilateral negotiations particularly with the Federal Government of Germany. Consideration shall be made during its bilateral negotiations with other donors’. Article xiii.


Sasa wakristo tujadiliane kwa hoja:


1)
Hivi ni haki kwa serikali isiyokuwa na dini kutowa nafasi za upendeleo kwenye elimu kama artcle xi inavyosema, tena isitoshe kw manufaa ya kanisa?

2)
Ni haki kwa serikali isiyokuwa na dini kuombea kanisa misaada katika Nyanja za kimataifa.

Sasa hapa ni kipi mnahitaji kuoneshwa ili muamini kwamba serikali inawazunguka waislam?

Ndio maana natamani kuwepo na uwazi zaidi juu ya MOU.

Kusoma pekee hizi nyaraka bila ufafanuzi ni njia moja ya kujenga hoja na kupata ufafanuzi wa vyombo husika ni njia bora zaidi ili watanzania tuamue MOU iwepo au ifungwe rasmi kama ilivyoanzishwa rasmi.
 
Mkuu Freshthinking, hebu soma kipande hiki cha hotuba ya Rais Kikwete kwenye baraza la Idd. Aliwaambia wazi waisilamu kuwa wakristu wana MOU na serikali kwa kuwa waliomba, sasa msiwazuie walioomba jambo zuri ila badala yake na ninyi ombeni, na kama mna sifa za kupewa, mtapewa. Soma hapa:

Hotuba yote imenukuliwa hapa: HOTUBA YA MH. JAKAYA MRISHO KIKWETE BARAZA LA EID-EL-FITR, DODOMA AGOSTI 2011 - Global Publishers


Dhulma haiondolewi kwa dhulma bali kwa haki.

Kimsingi serikali inaimba kila siku kuwa haina dini na ndio maana haitaki kujiunga na OIC. Sasa iweje ikubali masharti ya kuimbea kanisa misaada kwenye ziara zake za nje?
 
Sasa Bakwata wataweza vipi kuwa na MOU na Serikali wakati hata hicho chuo kikuu cha Morogoro wamepewa na Mkapa? au kuna MoU ya kuchoma makanisa?

Mimi nadhani Waislamu wa kujadili nao Maendeleo ni hawa Ismailia kina Agha Khan na sio hawa wafuga madevu na kuvaa vipedo na ndala, ambao wao wanaamini wana uwezo wa kumlinda Mungu wakati Mungu ndio kila kitu atakalo lolote lawa.

Halafu munasema waislamu na wakristo tukae pamoja kwa matusi kama haya haiwezekani never never never!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! labda mkae na sheikh wa mkoa wa Dar sisi tutakula sahani moja na nyinyi mpaka kieleweke MWENYEZI MUNGU ANASEMA HAWATAKUWA RADHI NA NYINYI MAYAHUDI WALA WAKRISTO MPAKA MFUATE MILA YAO
 
Tupeleke marangapi? Wakati unaambiwa tulisha peleka, lakini serkali hiyihiyo ya mfumo kristo ikatupiga danadana mpaka leo!

Unaweza kuweka copy (hata kama ni draft) ya hicho kilichopelekwa kwa serikali?
 
sio lazima kusoma kanisani kama hutaki unaweza kwenda ata shule ya kata bt kumbuka wazee wenu waliokua na mawazo kama yako ya kukataa kusoma shule za kanisa ndo yamewafanya muwe na kizazi dhaifu kielimu dhidi ya wakristo na wewe na wenzako wenye mawazo kama yako ndo mnazidi kukididimiza kizazi cha waislamu kielimu so msilalamike mtakapokuta nchi imeshikwa na wakristo wenye elimu ya uhakika kwa maana mnaikataa elimu wenyewe kisa inatolewa na kanisa...

You are missing the point. Huwezi kutuambia kwamba wakristo wana elimu sana kwa vile waliumbwa hivyo! Ni set up tu ambayo serikali kwa kushirikiana na makanisa waliamua kufanya makusudi kwa misingi ya kibaguzi. Hili lazima lijadiliwe katika national level kama ambavyo tuanjadili ufisadi mwingine.
 
Ungepiga hesabu tokea 1992 mpaka leo Serikali imetoa kiasi gani kwa Kanisa, pesa hizi zingesaidia kujenga Shule, vyuo na Hospitali ngapi?

Je, Serikali iendelee kutoa pesa hizi mpaka lini? na baada ya miaka 20 mingine ni kiasi gani cha pesa itafikia? ni bora kuukata huu mrija sasa hivi kuliko kuja kukaa chini baada ya miaka 20 ijayo na kujilaumu kuhusu kiasi cha fedha zilizoachiwa kutiririka na kulineemesha Kanisa huku serikali ikiendelea kulitegemea Kanisa (hata baada ya miaka 20 ijayo).

Ni lazima kuwe na mwisho wa upelekaji wa hizi pesa Kanisani na wakati bora ndio huu.

wewe huna akili kabisa MOU imeisoma vizuri? pesa inatoka serikali ya ujerumani unyonyesha ni wapi serikali yetu ya tanzania ilikubali kutoa pesa.
 
Back
Top Bottom