Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,933
- 988
Naomba nijibu kipengele cha pili:
The government shall provide vacancies in its Teachers training colleges for training qualified persons as teachers earmarked for church owned schools. Article xi
Hapo nilipopigia mstari ni walimu makhsusi kwa ajili ya shule za kanisa.
Mkataba huo kwa sasa una miaka takriban 22, ni upi ukomo wake? Kama hivyo ndivyo kuna ajabu gani kwamba shule za serikali hazifanyi vizuri bali ni shule za kanisa? Huu ni ufisadi ambao hauwezi kumalizwa JF bali viongozi wa dini ya kiislamu, kanisa na serikali kukaa na kujadiliana. Kinyume chake ni maafa twendako.
You need to go back and re-read what I have written and then do think afresh before coming back.
Just to help you, that you may think properly; do consideration of what you have written and underlined against what I had elaborated.
Ukishindwa kunielewa basi.