Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

2-1.jpg







according to its charter, the oic aims to preserve islamic social and economic values; promote solidarity amongst member states; increase cooperation in social, economic, cultural, scientific, and political areas; uphold international peace and security; and advance education, particularly in the fields of science and technology.[SUP][2][/SUP]
the flag of the oic (shown above) has an overall green background (symbolic of islam). In the centre, there is an upward-facing red crescent enveloped in a white disc. On the disc the words "allahu akbar" (arabic for "god is great") are written in arabic calligraphy.


Tofauti naona kwenye madhumuni: Muo inadhumuni la kusaidia watanzania("tanzania people") wakati oic inadhumuni la kudumisha uislamu



si kweli,yapo mengi sana umeyaacha kwenye mission & visions za oic,na zipo nchi nyingi za kiafrika kama tanzania ambazo sio islamic states au arabic states zilizojiunga na oic kwa manufaa ya kiuchumi pia,kama unaibana hoja hiyo,vip waislam wakija na hoja ya kuwepo kwa uwakilishi wa vatican hapa nchini??uwakilishi huo ni kwa manufaa ya upande upi baina ya pande hizi mbili??

oic ina takriban nchi wanachama 57 zinazoshirikiana kiuchumi na mambo mengine,nitakupa baadhi ya nchi za africa ambazo sio islamic states na zimejiunga na jumuiya hiyo kwa manufaa makubwa kabisa,
ZIPO NCHI KAMA UGANDA,NIGERIA,SUDAN,IVORY COAST,GABON,MSUMBIJI,TOGO N.K
HIZO NI NCHI WANACHAMA WANAONUFAIKA MOJA KWA NA JUMUIYA HIYO HALI YA KUWA KWENYE MATAIFA YAO KUNA MCHANGANYIKO WA DINI MBALI MBALI,VIP NYERERE ALIZUIA HOJA HIYO ILIPOTOKEZA HAPA NCHINI,VIP VATICAN IKAPATA URAHIS WAKATI HILI LINAPINGWA,NI WAZI YA KWAMBA ALISHAJENGA MATABAKA NA TENSION ZA KIIMANI,KAMA VATICAN IPO HAPA NA INASAIDIA NDUGU ZETU WA IMANI ZINGNE AMA IMANI ZOTE KWA UJUMLA ALIKUWA ANA SABABU ZIPI ZA KUTILIA SHAKA JUMUIYA HIYO YA MAENDELEO YA KIUCHUMI??NAOMBA UNIPE MAJIBU MKUU.
 
Mkuu kwani utaifishaji ulipita Bungeni? Then lasilimali nadhani msimamo wako ungeuelekeza kwenye gesi,dhahabu,pembe za ndovu zinazoibiwa kila kukicha kuliko kupingana na MoU ambayo inabaki kuwa na manufaa kwa Watanzania wote pasipo kubagua.

kwa vile umejitwisha jukumu la kumjibia basi jibu kwanza "Sasa mbona Dr amesahau kuelezea ilikuwaje mpaka serikali inakuwa inachota hazina fedha na kuyapatia makanisa peke yake?"
 
si kweli,yapo mengi sana umeyaacha kwenye mission & visions za oic,na zipo nchi nyingi za kiafrika kama tanzania ambazo sio islamic states au arabic states zilizojiunga na oic kwa manufaa ya kiuchumi pia,kama unaibana hoja hiyo,vip waislam wakija na hoja ya kuwepo kwa uwakilishi wa vatican hapa nchini??uwakilishi huo ni kwa manufaa ya upande upi baina ya pande hizi mbili??
Baby show nasikia ulikamatwa kwa uzururaji maeneo ya Manyanya ukitafuta chips yai ukienda kibaruani mtaa wa Ufipa milango ya saa 7 usiku.
 
pole sana kaka inaonekana historia yak ni ile ya sisi binadamu tumetokana na manyani. sikushangai sana kwa mawazo yako. Muulize mwna historia yeyote unayemuamini wewe kuwa je katika picha za watumwa kuna picha hata moja ambayo ni ya kupigwa?)I mean photog). ukimuuliza aliyebobea kusoma na kufuatilia isue ya watumwa kwenye vitabu vya historia atakuambia kuwa picha zote za waarabu ni za kuchorwa yaani ni taswira iliyotengenezwa na watu ili kuwapaka matope waarabu, ama picha za watumwa zinazoonesha wazungu utazikuta ni za kupigwa (photog). Ndugu yangu nakushauri fatilia juu ya hili ili uone mwenyewe.

Ni mawazo yako kaka,nawajibika kuyasikiliza hata kama tunatofautiana. Vipi swala la huduma za jamii walijenga?
 
pole sana kaka inaonekana historia yak ni ile ya sisi binadamu tumetokana na manyani. sikushangai sana kwa mawazo yako. Muulize mwna historia yeyote unayemuamini wewe kuwa je katika picha za watumwa kuna picha hata moja ambayo ni ya kupigwa?)I mean photog). ukimuuliza aliyebobea kusoma na kufuatilia isue ya watumwa kwenye vitabu vya historia atakuambia kuwa picha zote za waarabu ni za kuchorwa yaani ni taswira iliyotengenezwa na watu ili kuwapaka matope waarabu, ama picha za watumwa zinazoonesha wazungu utazikuta ni za kupigwa (photog). Ndugu yangu nakushauri fatilia juu ya hili ili uone mwenyewe.
Naona akina Mohamed Saidi wengine wameibuka na Historia yao ya ukweli..."Waarabu hawakufanya biashara ya Utumwa. Wanapakwa matope tu". Hivi wenzetu dini inawafanyaje vichwa vyenu?
 
Sina hakika kama unajua unachokisema katika hiyo financial assistance:

Nimepigia mstari hilo neno, financial assistance haiko kwenye misamaha ya kodi ila ni kwenye bilateral negotiations
2) ‘The government shall endeavour to include financial assistance for church run social services in its bilateral negotiations particularly with the Federal Government of Germany. Consideration shall be made during its bilateral negotiations with other donors’. Article xiii.

Serikali ifanye juhudi kuingiza kipengele cha msaada wa kifedha kwenye mapatano yake ya kimataifa, hususan kwa Ujerumani. Pia serikali itilie maanani swala hilo kwa waadhili wengine.

achana na makaratasi hayo mimi nakuambia practical thing kinachofanyika.
 
Labda kabla hamjamsifu Dr Slaa mie nianze kwa kumuulize haya yafuatayo:

Mosi ni shule ngapi zilitaifishwa za seminary (mission schools). Na shule ngapi za Islamic seminary zilitaifishwa ? Tukijua hayo then tuweze kukuelewa hoja yako ya kwanza ati Serikali ilikuwa ikitaifisha mashule ya dini.

Pili nakuuliza dr Slaa ni sahihi kudai eti Serikali ilishindwa kutoa huduma na taasisi za kidini zilikuwa na uwezo wa kusaidia. To me huo ndio ufisadi wenyewe kwasababu mie nalipa kodi ili Serikali itoe huduma na sie ikahudumie mtu mwengine halafu mie ndio nihudumiwe. Huo unaitwa white collar theft. Kwasababu kama serikali imeshindwa kuhudumia basi wameshindwa nini kuruhusu sekta binafsi ziwasaidie ????

Na mwisho kabisa ni kwanini hii MOU isiwe short term plan halafu long term plan iwe serikali ijenge hospitali zake na shule zake yenyewe?? Tunaibiana tu kwa kutengeneza mazingira ati kuna shida fulani basi ndio maana tunachota hizo kodi. Mwisho wa siku kanisa ndio linakinga ndoo yake.

Sasa hivi naona ati kanisa linaanza kuzalisha umeme ati mahitaji ya kusaidia wananchi wapate umeme. Swali nauliza hivi kanisa linafanya biashara? Kwani wanadai wanatengeneZa umeme halafu wawauzie wananchi halafu huo unaitwa msaada . Msaada unauzwa ?? Mwishoe tutasikia Serikali imeingia makubaliano na kanisa kupeleka umeme. In short hii nchi inapoelekea sio kuzuri tutagawana mbao maana haingilii mie kodi yangu kama muislamu iibwe huku tunaona huo ni wizi wa mchana . Serikali ijitenge na mambo haya yatapelekea kwenye machafuko nchini.

hebu tumia ubongo wako kidogo. Unatakiwa kuiuliza serikali yako siyo Dr Slaa, DK hana dola, hakusanyi kodi, labda nikusaidie njia mbili chagua moja, mapinduzi ya nguvu ya umma kwa shinikizo la maandamano na migomo, au demokrasia kupitia sanduku la kura, kuchagua Raisi,Wabunge,Madiwani na viongozi wa serikali za mitaa ambao wana uwezo wa kuihoji na kuibana serikari, vinginevyo utabaki kulalamika humu JF mpaka unaenda kaburini
 
kwa vile umejitwisha jukumu la kumjibia basi jibu kwanza "Sasa mbona Dr amesahau kuelezea ilikuwaje mpaka serikali inakuwa inachota hazina fedha na kuyapatia makanisa peke yake?"
Kaka soma bandiko vizur, Dr. mbona kafafanua vizur tu. Kwani jukumu la kutoa huduma kwa raia ni la nan?
 
hebu tumia ubongo wako kidogo. Unatakiwa kuiuliza serikali yako siyo Dr Slaa, DK hana dola, hakusanyi kodi, labda nikusaidie njia mbili chagua moja, mapinduzi ya nguvu ya umma kwa shinikizo la maandamano na migomo, au demokrasia kupitia sanduku la kura, kuchagua Raisi,Wabunge,Madiwani na viongozi wa serikali za mitaa ambao wana uwezo wa kuihoji na kuibana serikari, vinginevyo utabaki kulalamika humu JF mpaka unaenda kaburini

uko sawa kabisa, huenda hajasoma bandiko vizur
 
mkuu KIM KARDASH umesema vema sana na kuhusu mahakama ya kadhi nalo liliwekwa wazi tu kuwa lisiwa husu wakristo kwa vyovyote vile na siyo serikali ianze kutumia kodi za watanzania kwa kitu ambacho ni cha dini fulani na kama serikali itafanya makosa hayo mjue waislmu iko siku tutadai mahakama zenu ni za watanzania na siyo za waislam hivyo tunaweza kubadilisha matumizi yake mfano kubadilisha kuwa machinjio ya nguruwe..
una hatari
 
Naona akina Mohamed Saidi wengine wameibuka na Historia yao ya ukweli..."Waarabu hawakufanya biashara ya Utumwa. Wanapakwa matope tu". Hivi wenzetu dini inawafanyaje vichwa vyenu?

Bora kaka unisaidie
 
Usitake kutupiga changa la macho kwa kizungu chako cha sheria! Kwani DR W. Slaa alisoma sheria wapi mbona ametoa ufafanuzi na ukampigia like? Kwanini usingeanza kumwambia yeye aache kutoa ufafanuzi wa jambo ambalo hana taaluma nalo? Hayo maneno kwenye hivyo vipengele viwili yako wazi hata mwanasheria atafafanua hivyo hivyo.

Dr. amekuwa mjanja kuliko wewe yeye kazungumzia historia wewe umeingia kwenye maudhui ya nyaraka ya kisheria
 
baby show nasikia ulikamatwa kwa uzururaji maeneo ya manyanya ukitafuta chips yai ukienda kibaruani mtaa wa ufipa milango ya saa 7 usiku.

kama milembe unasema mwenyewe wameshindwa kukupatia tiba,mimi nitakuwezea wapi mingoi??
 
Naona akina Mohamed Saidi wengine wameibuka na Historia yao ya ukweli..."Waarabu hawakufanya biashara ya Utumwa. Wanapakwa matope tu". Hivi wenzetu dini inawafanyaje vichwa vyenu?

Du! hivyo ndivyo ulivyoelewa? ama kweli kazi ipo. Hii siyo mada tunayojadiri ebu anzisha link upate fundishwa uelewe. warabu na wazungu wote walifanya hiyo biashara isipokuwa imekolezwa zaidi kwa waarabu as if wazungu hawakufanya na iyo ni propaganda iliyofanywa purposely wala siyo kw kukosea na ndio maana nikasema hutopata picha ya kupigwa ambayo inamuonesha mwarabu akimtesa mtumwa japo hiyo ni biashara haramu, ila utapata picha za wazungu. walichokifanya kwa kuwa walikusudia kuhakikisha mwarabu anaeleweka vibaya walimueleza tofauti na alivyokuwa na kwa kuwa hawakuwa na picha ambazo ni photo kwa waliyoyatengeneza ndio wakawa wanachora. sasa tulio wengi tumeimeza hiyo historia. najua wakati ukiwa shule ndio unasomeshwa historia ulifundishwa na kuaminishwa kuwa wewe umetokana na nyani laki i sidhani kama mpaka sasa eti imani hiyo kama bado unayo.
 
si kweli,yapo mengi sana umeyaacha kwenye mission & visions za oic,na zipo nchi nyingi za kiafrika kama tanzania ambazo sio islamic states au arabic states zilizojiunga na oic kwa manufaa ya kiuchumi pia,kama unaibana hoja hiyo,vip waislam wakija na hoja ya kuwepo kwa uwakilishi wa vatican hapa nchini??uwakilishi huo ni kwa manufaa ya upande upi baina ya pande hizi mbili??

oic ina takriban nchi wanachama 57 zinazoshirikiana kiuchumi na mambo mengine,nitakupa baadhi ya nchi za africa ambazo sio islamic states na zimejiunga na jumuiya hiyo kwa manufaa makubwa kabisa,
ZIPO NCHI KAMA UGANDA,NIGERIA,SUDAN,IVORY COAST,GABON,MSUMBIJI,TOGO N.K
HIZO NI NCHI WANACHAMA WANAONUFAIKA MOJA KWA NA JUMUIYA HIYO HALI YA KUWA KWENYE MATAIFA YAO KUNA MCHANGANYIKO WA DINI MBALI MBALI,VIP NYERERE ALIZUIA HOJA HIYO ILIPOTOKEZA HAPA NCHINI,VIP VATICAN IKAPATA URAHIS WAKATI HILI LINAPINGWA,NI WAZI YA KWAMBA ALISHAJENGA MATABAKA NA TENSION ZA KIIMANI,KAMA VATICAN IPO HAPA NA INASAIDIA NDUGU ZETU WA IMANI ZINGNE AMA IMANI ZOTE KWA UJUMLA ALIKUWA ANA SABABU ZIPI ZA KUTILIA SHAKA JUMUIYA HIYO YA MAENDELEO YA KIUCHUMI??NAOMBA UNIPE MAJIBU MKUU.

Big Shaw huwa sipendi malumbano ya kidini, ila kwa uwelewa wangu nilijaribu kuangalia dhumuni ili kuona hoja yako kama inasimama. mimi ninashauri utengenezwe MUO ya Jumuiya za Kiislamu Tanzania kupata msaada OIC na serikali ya Tanzania ihusishwe na kwa manufaa ya watanzania wote.
 
Ahali yangu suala langu ni pana sana linahitaji ufikiri na sio kutoa majibu rahisi kama yako.

Jiulize sababu za MoU hiyo za miaka hiyo mpaka leo zipo valid?
Je kwanini Serikali isijenge zake?
Je unajua makanisa haya yanachukua Serikalini kiasi gani kama admin fee kwa kukodisha majengo?


Kumbuka kuwa wanasamehewa misamaha ya kodi mbalimbali na vile vile Serikali kuweka wataalamu na wafanyakazi wake kuendesha hizo facilities.

Think before answer

Kaka kwani leo hii watu hawatibiwi? hawasomi kwenye taasisi husika? uko dunia ipi mwenzetu? au ndio elemu ahela inavyosema upinge tu hata kama huna hoja?
 
Na Warabu je? wao shida yao ilikuwa ni watumwa tena kwa kuwafunga minyororo, tena wana roho mbaya hata shule na hospital mnazotolea povu hawakuwajengea.

You have said it all. Zaidi tena waarabu waliwahasi watumwa ili wasizae na wanawake wenye mimba kutumbuliwa. Ajabu kuna baadhi ya watu wanawaabudu. Wao walifika kabla ya wazungu tuambieni waliwapatia waafrika nini?
 
big shaw huwa sipendi malumbano ya kidini, ila kwa uwelewa wangu nilijaribu kuangalia dhumuni ili kuona hoja yako kama inasimama. Mimi ninashauri utengenezwe muo ya jumuiya za kiislamu tanzania kupata msaada oic na serikali ya tanzania ihusishwe na kwa manufaa ya watanzania wote.
nakushukuru sana,
na ubarikiwe sana.
 
Sasa mbona Dr amesahau kuelezea ilikuwaje mpaka serikali inakuwa inachota hazina fedha na kuyapatia makanisa peke yake? hiyo moja ama pili nasema ivi kwanini suala hilo halikupita bungeni? Mwisho ningepend kuchangia kuwa kama kweli Dr mlikuwa na nia safi isiyo ya kibaguzi kwa jamii nyingine na mkaona kwa kipindi kile kuwa yale yalikuwa mawazo mazuri je kwa sasa kutokana na hali ya jamii ilivyo na malalamiko yaliyopo ktk jamii mliojikita kuitenga mnaishauri vipi serikali juu ya kuuvunja huo mkataba? au ili kuweka usawa ktk lasilimali za nchi the same mkataba mnauotumia kuchotea pesa za watanzania wote utumike kwa jamii nyingine?

Hivi kwanini WAISLAMU mnapenda kujivika majoho ya UJINGA?

Umesoma tamko la maaskofu la juzi? Maaskofu wameitaka serikali iondoe UKIMYA, iulezee umma wa watanzania hasa walalamishi WAISLAMU juu ya MoU na kanisa. Na Kama serikali inaona hakuna sababu tena ya kuendelea kuwepo kwa MoU kati ya serikali na kanisa. Basi SERIKALI ivunje MoU na kanisa. Lakini hadi leo serikali ya Mh. Jakaya KHALFANI Kikwete iko kimya as hakuna kitu kichoendelea.

Lakini hii ni calculated move ya CCM ya kuendelea kuwatumia WAISLAMU kama toilet papers kwa kisingizio hicho hicho cha MoU. Khalfani Kikwete vunja MoU na kanisa uwasaidie Waislamu wenzake tuone kama wataweza kujenga hospitals, shule na hata kuendesha mahakama ya kadhi.

BTW, ni Serikali ALHAJI Alli Hassan Mwinyi ndiyo iliingia MoU kati ya kanisa na serikali. Sipati picha kama ingekuwa serikali ya Nyerere sijui akina Mohammed Said, Riz1, Sadeeq etc wangesemaje? Nafikiri wangekwishajilipua hawa watu!!!.
 
Back
Top Bottom