Mkataba wa kuendesha Bandari za Tanzania wa DP WORLD ya Dubai hautazihusu Bandari za Zanzibar
Kabla hatujapiga kura wangapi wameuona mkataba? Ushusheni hapa na mtusaidie kuufafanua. Vinginevyo mwarabu apewe tu. Kura yangu ni ndio.
 
Wazenjibia wanaiuza Tanganyika kwa waarabu hivi hivi,nchi ngumu sana hii
Na waliotaka kujitenga na Tanganyika na waliokuwa na chuki dhidi ya Tanganyika yupo huyo huyo, kama alivyokuwa bosi wake na Mentor wake mkuu Amana Karume.
Yaani huyooooooo, ndio huyo uliemfikiri na wewe!. Sema hamumjui tu
Mmeingia cha kike Tanganyika
 
Mzanzibari anakuwa raisi wa Tanganyika, anawaongoza watanganyika kwenye mambo ambayo hata siyo ya Muungano!. Ila kule Zenji Mtanganyika hawezi kugusa mambo ya wazenji.

Huu muungano ni jinamizi kwa Watanganyika!
Yes, kwa mfano wa hili la Bandari
Mkataba unasema ni baina ya Dubai na The United Republic of Tanzania. Maana yake ni kwamba na Zanzibar ipo.
Kwa namna isioyoeleweka Zanzibar haipo katika mkataba na Rais SSH anajua haipo.
Hivyo iliyobaki na mkataba ni Tanganyika. Rais SSH anasaini kama Rais wa Tanganyika.

Rais SSH anatoa madaraka kwa Waziri Mbarawa ambaye ni Waziri wa Wizara iisiyo ya muungano yaani Wizara ya Tanganyika akiwa Mzanzibar. Pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara isiyo ya Muungano ambaye ni Mzanzibar.

Hivyo si kuwa Rais wa Tanganyika anakuwa Mzanzibar bali pia Wazanzibar wanasimamia rasilimali muhimu sana za Tanganyika na wanaingia mikataba. Hilo ndilo linawafanya Watanganyika wajiulize nani anasimamia masilahi yao?

Kuna msemo wa Waswahili kwamba usimfundishe panya kula sufi. Maana yake ni kuwa panya huyo akishazoea atakula sufi za godoro lako.

Rais SSH alipoingia alikuta kero za Wazanzibar takibani 20 zilizoachwa na Watangulizi wake. Kwa namna ya ajabu kero zimemalizwa lakini hatujui zimemalizwa kwa utaratibu gani na nani alisimamia masilahi ya Tanganyika.
Kwahiyo Rais SSH alikaa na Rais Mwinyi wakamaliza kero za Wazanzibar.

Hayo yakitokea VP na PM wapo kimya wakisubiri zamu yao, guess what! ipo siku wataulizwa tu na Watanganyika
 
Yes, kwa mfano wa hili la Bandari
Mkataba unasema ni baina ya Dubai na The United Republic of Tanzania. Maana yake ni kwamba na Zanzibar ipo.
Kwa namna isioyoeleweka Zanzibar haipo katika mkataba na Rais SSH anajua haipo.
Hivyo iliyobaki na mkataba ni Tanganyika. Rais SSH anasaini kama Rais wa Tanganyika.

Rais SSH anatoa madaraka kwa Waziri Mbarawa ambaye ni Waziri wa Wizara iisiyo ya muungano yaani Wizara ya Tanganyika akiwa Mzanzibar. Pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara isiyo ya Muungano ambaye ni Mzanzibar.

Hivyo si kuwa Rais wa Tanganyika anakuwa Mzanzibar bali pia Wazanzibar wanasimamia rasilimali muhimu sana za Tanganyika na wanaingia mikataba. Hilo ndilo linawafanya Watanganyika wajiulize nani anasimamia masilahi yao?

Kuna msemo wa Waswahili kwamba usimfundishe panya kula sufi. Maana yake ni kuwa panya huyo akishazoea atakula sufi za godoro lako.

Rais SSH alipoingia alikuta kero za Wazanzibar takibani 20 zilizoachwa na Watangulizi wake. Kwa namna ya ajabu kero zimemalizwa lakini hatujui zimemalizwa kwa utaratibu gani na nani alisimamia masilahi ya Tanganyika.
Kwahiyo Rais SSH alikaa na Rais Mwinyi wakamaliza kero za Wazanzibar.

Hayo yakitokea VP na PM wapo kimya wakisubiri zamu yao, guess what! ipo siku wataulizwa tu na Watanganyika

Na kama kero zinahusiana na mambo ya kikatiba inawezekana vipi akazimaliza bila kubadili katiba ya sasa?
Kwa mfano utaondoaje jambo la mafuta kwenye mambo ya muungano bila utaratibu wa kufanya hivyo kwa kulipeleka suala hilo bungeni ambapo inabidi upate theluthi mbili ya wabunge kutoka pande zote!
 
Na kama kero zinahusiana na mambo ya kikatiba inawezekana vipi akazimaliza bila kubadili katiba ya sasa?
Kwa mfano utaondoaje jambo la mafuta kwenye mambo ya muungano bila utaratibu wa kufanya hivyo kwa kulipeleka suala hilo bungeni ambapo inabidi upate theluthi mbili ya wabunge kutoka pande zote!
Kwani hayo mafuta yalipoingizwa kwenye huo muungano yalipitia bungeni? Wacha yatole kwa njia njia hizo hizo yaliongizwa

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
 
Na kama kero zinahusiana na mambo ya kikatiba inawezekana vipi akazimaliza bila kubadili katiba ya sasa?
Kwa mfano utaondoaje jambo la mafuta kwenye mambo ya muungano bila utaratibu wa kufanya hivyo kwa kulipeleka suala hilo bungeni ambapo inabidi upate theluthi mbili ya wabunge kutoka pande zote!
Hili ni tatizo, Wazanzibar wameshindwa kulielewa. Wakati wa JK waliambiwa wanaweza kwenda kukopa nje ya nchi.
Kila wakienda wanaambiwa 'mdhamini' na wanajikuta wakirudi JMT.
Mabadiliko wanayofanya ni 'cosmetics' akija Rais mwingine akayaona hayana manufaa anayafutilia mbali.

Kuhusu kupeleka Bungeni, Wazanzibar wanajua kwamba wanachokitaka, Watanganyika hawatakubali na hivyo 2/3 haitapatikana.

Kero zao nyingi ni za 'namimi, nataka , nipewe, nigaiye n.k. Hawana kero ya kuwajibika katika muungano.

Moja ya kero ni ya bidhaa hafifu zinazookotwa nje ya nchi kupitia Zanzibar ziingizwe bara bila kodi na bila kukaguliwa na mamlaka za Tanganyika kama TBS, TMDA n.k kwasababu mamlaka zao zimefanya.

Hilo linaruhusu uchochoro wa kukwepa kodi kodi kwasababu Zanzibar kodi ni chini na hawakusanyi kwa kile wanachosema bandari huru. , lakini wanataka bidhaa za hovyo kuingia Tanganyika kwa kisingizio cha muungano.


Rais SSH anatumia sana mwanya wa madaraka kufanya mambo kwa siri, na hata kuvuja kwa mkataba ni matokeo ya Wazalendo kuona kwamba sasa imezidi.

Fikiria hivi, kwanini Watanganyika hawajui kero zimemalizwa vipi na vikao vya Wazanzibar?
 
Mapato yatakayotokana na bandari za Tanganyika ni ya muungano na Zanzibar inapata mgao wake achilia mbali mgao wa 4.5% BoT kwa pato linalotokana na rasilimali za Bara.

Sasa hivi Zanzibar wana mpango wa kulipa wajumbe wa nyumba kumi mishahara. Tayari wazee wanalipwa pensheni na waliobaki wanatumia umeme bure. Hapo hawajui gharama za ulinzi , mambo ya ndani na nje au taasisi zingine za muungano.

Huyu Mbarawa anakuwaje waziri wa jambo lisilo la muungano? Sasa Rais wa JMT ni Mzanzibar, Rais wa SMZ ni Mzanzibar na Waziri ni Mzanzibar. Nani anamtetea Mtanganyika kwa usawa huo.

Uuzwaji wa bandari hauna uchungu isipokuwa kwa Watanganyika.
Nyerere, Mkapa, Kikwete , JPM walijua hilo hawakuwahi kufikiria. Walijua ni rasilimali na hazina za Watanganyika
Mwinyi aliuza Loliondo ''ujombani'' akiwa na Waziri Diria. Historia bwana!



JokaKuu Pascal Mayalla
Sijawahi kushuhudia utawala wa kihuni kama huu. Mungu anawaona wapuuzi hawa wanaotapanya rasimali za taifa kila kukicha.
 
Back
Top Bottom