Mke hataki ndugu zako, utafanyaje?

Angekuwa mtoto wa nduguyake either dada au kakayake alafu mumewe angekataa angejisikiaje
Kila mtu huona upande wa mwenzie
Kwanin watu wakioana tu wapewe ndugu wa kuwalea??zamani waliishi wapi ,mtu akioa au kuolewa unashangaa wanapelekewa ndugu kukaa nae watu wajifunze kuwaacha watu walooana waishi kwa amani
 
😘😘posa lini sasa
 
Kila mtu huona upande wa mwenzie
Kwanin watu wakioana tu wapewe ndugu wa kuwalea??zamani waliishi wapi ,mtu akioa au kuolewa unashangaa wanapelekewa ndugu kukaa nae watu wajifunze kuwaacha watu walooana waishi kwa amani
Lakini ukiolewa mume kulea wazazi na ndugu mwanamke ni jukumu lake ila sio nduguzake?
Mwanamke Hana utu pia watu wachoyo ndo wanahizo,busara angemshauri mumewe waone namna ya kumsaidia uyo kakaake Ili aweze kulea familia yake kama ni mzigo angeuepuka na baraka zao zingeongezeka usikute kaka ndo kamsomesha mdogowake sio et kukataa direct ukiolewa Tanzania ukubali tu familia zetu ni extended ilo lazima litokee
 
Atoe chagua la kumwambia asepe mtoto abaki ,huo mda anaosepa atumie nguvu nyingi kufanya saving na kupambana na maisha hawa viumbe hawafai si ajabu anaesema hivo yeye analelewa watoto wa baba mwingine ila nigga hasemi
 
mi nilidhani ukipata manyanyaso ndo unakuwa na roho nzuri kumbe ni tofauti
Ukipata manyanyaso huwezi kuwa na roho nzuri, roho nzuri inatengenezwa ndani ya familia na wazazi jinsi wanavyoishi vizuri ndani na nje ya familia kwaiyo watoto wanaiga mfano Mama kwenye nyumba akiona wageni anaficha chakula au akiombwa vitu vidogo vidogo na jirani au rafiki anasema hana wakati vipo na wakati huo watoto wanaona, kwaiyo watoto wanakuwa na mazingira yale wanayo yaona ni hatari zaidi kwa watoto wakike bora watoto wakiume muda mwingi wanakuwa busy kucheza na watoto wenzao muda mwingi hawakai nyumbani na tabia za Mama wanakuwa hawazion sana.
 
Mkuu amua kama mwanaume kama kweli huyo mke yupo tayari kuachana na wewe sababu ya huyo mtoto mwambie mtoto lazima muishi naye kama anaondoka aondoke
Huu
Kaka usiseme hivo hawa watu ukiwagusa mamlaka yamewapa ulinzi mkubwa sana juzi nimefanya wazo unalolitaja ila mwisho mimi ndio naonekana mbaya
 
Walewale! Hoja za mabinti wa instagram ndio kama hizi. Mnadhani maisha ni kujipaka poda na make up kisha kujipiga selfie.
 
Hahaaas eti ata nyau ana mke jmn ww
 
Na ndoa ikichanika vipande ndo usalama wa muomba ushauri. Busara inayoonekana ni hii ya kutimua ndugu wa mume na karibisha ndugu wa mke. Hii ndo busara anayoitaka mke. Kwa harakaharaka bado mume yuko kisiwani tu
 
Na ndoa ikichanika vipande ndo usalama wa muomba ushauri. Busara inayoonekana ni hii ya kutimua ndugu wa mume na karibisha ndugu wa mke. Hii ndo busara anayoitaka mke. Kwa harakaharaka bado mume yuko kisiwani tu

Hoja nzito hii!

Kuna mengi ya ndani hayasemwi. Hasa tabia za huyo anayekataliwa.

Kama ni senema, basi mhusika anayekataliwa haiba na silika zake hazijazungumzwa. Ni ngumu kumjaza na kumtambua kama ndio chanzo cha yeye kukataliwa.

Acha tusubiri kama mtoa mada ataleta data zaidi.
 
Ni upumbavu mtoto ana mama yake afu alelewe na mama mwengne?

Mama yake akae na mwanae atasaidiwa pesa tu
 

Polee sana kwa jamaa!!! Ila hapo akaze sauti yeye ni baba wa familia sauti yake ndo ya mwisho na hakuna wakupinga!!!!! Swala la ndugu kuja om sio jambo baya ila mwanamke asiyetaka ndugu hafai na kama ningeishi nae mimi huyo mwanamke angepata tabu sanaa
 
Wangejua kuwapenda ndugu wa mume inaongeza penzi wasingeendekeza choyo na chuki zao kwa ndugu wa mume
 
Mosi
Mimi naona msimamo mwanamke unawez kuwa sawa kama na yeye ataweza kukubali kuw familia yake isisaidiwe kwa ndugu kuja pale

Pili
Nazan jamaa kama mambo mengine na mkewake yanaenda sawa ni muda wa kumsaidia ndugu huyo juu kwa juu (popote alipo amsidie kwa akili bila kuja kuish nyumbn)

Tatu
Mshikaj ajiandae kisaikolojia kama kwenye ndoa bado wana umri mdogo na apime vzr safar iliyobak na alipofika ili ammue kuanua mapema hii au aendelee kuanika labda kutakauka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…