Mke hataki ndugu zako, utafanyaje?

Mke hataki ndugu zako, utafanyaje?

- Mke sio ndugu yako.

- Life partiner ni mtu mnaesaidiana katika maisha, yaani shida zako azione kama zake na zake uzione kama zako.

- Mke asiyeelewa shida zako tayari amesha jiondolea kigezo cha kua life partiner wako.

- Hakuna reward kwa mtu mbinafsi, na kama ukimruhusu mke apite iyo njia basi madhara yake yatakuathiri wewe mwenyewe au hata watoto wako pia.



Umenena vyema kabisa.

Tena points zako ni nyeti sana.
 
Aachie mbususu kirahisi hivyo? [emoji44]

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app



Mbususu zipo nyingi tu huko nje!

Wanawake ukiolewa usijione wewe hatima ya huyo Mwanaume iko mikononi mwako.!

K zipogo nje huko tena nzuri tu.

Mke unatakiwa kuwa na mambo ya ziada mbali na sex.

Unaona jambo mumeo linataka kumuelemea unatakiwa kumsikiliza tufanyeje?

Badala yake unamtishia kuondoka? [emoji15]

Je tukisema kuwa nia ya kuondoka alishakuwa nayo kabla ya hali hiyo isipokuwa anatafuta sababu ya mtoto aondoke! [emoji848]
 
asee,sema mambo ya mke na mme yana changamoto hasa ukute mtu kashikwa masikio mi naona ungempa haya majibu asome mwenyewe make usije ukaonekana kirusi ndani ya familia,wewe usiwe upande wowote pls
sema mpaka hapo ndoa ishaingia doa familia haimpendi tena mwanamke yaani vitu vidogo tena vya kupita vikufanye ukosane na watu?
nimependa ushauri wa jamaa hapo juu anasema unakubali aondoke ila unapiga pini kotekote hata ndugu yake akiomba kulala siku moja unafukuza,mbona atanyooka
Mkuu huwa ni kushikwa masikio au ni mazoea tuu?

Maana huwa mtu anafikiri mke akisepa ataanza mtihani wa kukimbizana na wanawake mabarabarani, dhiki ambayo humpata mfuga kuku kienyeji akitaka kuchinja, lazima akimbie riadha!

Lakini maisha ya mke kuchukia ndugu zako wakati uwezo wa kuwatunza upo, inabidi mwanaume ujitathimini.
 
So amfukuze mke wake nyie mtaenda kulea wanae? Mnajifanya wema amfukuze mke wake nyinyi mko na wake zenu mmewakumbatia yeye aanze kulala bar.

Usitowe hukumu bila kusikiliza upande wa pili.
Mimi sina roho mbaya sitoweza kuwa na shida na ndugu wa mme ila ndugu zangu hawawezi kuja kuishi kwangu, niko tiyari kumsaidua akiwa huko huko ila sio kuja kwangu kuishi spendi maneno ya ndugu.

Mwanaume akipenda alete ukoo mzima kwake waishi ila ndugu zangu nooooo waje watembee warudi nyumbani.
Nimeshauri wapi amfukuze mwanamke?
Nimemshauri asiruhusu wala kuintertain ubinafsi katika familia, kufanya hivyo ndio maana halisi ya kua kichwa cha familia.
 
Ukichangia mwanamke aondoke wewe ndo unaenda kuishi kwenye familia ya jamaa yako upike na utimize majukumu yote? Yaani mwanamke aondoke aache wanae kisa huyo mtoto?

Ndiyo kwa maelezo inaonekana mwanamke ana roho mbaya ila sisi hatujamskiliza upande wake! Usijifanye mwema mwambie rafiki yako arufishe mtoto kwao. Au mtoto aletwe kwako tuone kama mke wako hatokulaza kwenye banda la kuku.
Teh teh [emoji38][emoji38][emoji38]! Hili la jamaa kulazwa kwenye banda la kuku, waalah umebonyeza sana.
 
Nilihisi tu huyo mwanamke kama kwao suo mafukara basi ashawahi pitia sosono ya akili...

Watu wenye tabia za chuki huwa na chanzo kutokea kwenye makuzi au maisha ya awali...
Sasa mtu aliepitia mazingira hayo anasaidikaje kuondokana na hiyo roho mbaya ya ubaguzi.
 
Huyo mtoto arudishwe kwa wazazi wake na huyo mwanamke siku ndugu zake wakikanyaga kwake awa timue mara moja bila kupepesa macho.
Loh! Ushauri wa hivi ukifuatwa waweza kuichana ndoa vipande viwili.

Ndoa inaunganisha ndugu wa pande mbili, sasa mkianza fukuza fukuza ya namna hiyo, mnakuwa mmejitengenezea kisiwa.

Ndugu hawatawasogelea kweli, lakini ndugu hao haao uelewe wana umuhimu wake katika maisha yetu, maana huwa hatuelewi kesho yetu itakuwaje.

Ninadhani busara tupu ni lazima ichukue mkondo kwa masuala kama haya.
 
Wewe nawe acha ufala, unaona raha kuvunja ndoa ya watu, huyo mtoto kaingilia utaratibu wa watu hapo, kosa la mwanamke labda ni ile kukubali mara ya kwanza then kugeuka, mtoto wa form 2 tayar kakua, atasaidia ila sio lazima aishi hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Akaishi wapi sasa? kama kila ndugu akidai mtoto anaingilia utaratibu katika familia atakayo kwenda , kwani hiyo ndoa itavunjika vipi kama huyo mtoto akiendelea kuishi hapo kama siyo roho mbaya ya mwanamke tu
 
kila siku huwa nasema usimpe mkeo status ya kufikia kutaka kubishana na wewe kwenye maamuzi ya kuume yani hicho ndicho kinachowapa kiburi .yani ukiwa na maduka kumi mpe moja tu .wanawake wote wanakasumba ya kutaka kushindana na wanaume walio katika status moja.
 
Wengi mnafurahisha sana! Hii kitu ni ngumu sana. Sijaona familia iliyosaidia ndugu akaondoka (baada ya mission completed) kwa kuishukuru. Mwisho wa yote huwa ni lawama tu.

Mtoto umejizalia mwenyewe akikua anakuita mchawi. Anakuua refer case za rombo, moshi mjini na hii ya kwimba ya juzi juzi.

Hivi humu ndani mnajua maana ya ndoa nyie? Unadhani ndoa ni mbususu? Ndoa unatafuta Rafiki wa ukweli, msaidizi wakati wa shida; mtu wa kukufichia madhaifu yako, mtu wa kukufariji etc,

Ndo maana Mie namchumbia To yeye ili Watoto awapeleke kwa Depal ili gharama ziwe kwa Demi na Antonnia awe Mchepuko
Gharama kwangu?🙄🙄
Hebu kwanza....nitarudi
 
Ni roho mbaya angekuwa mtoto wa dadayake angesema hamtaki na je yeye anajua keshoyake ataishije na nani atamsaidia
Wema ni akiba
 
Akaishi wapi sasa? kama kila ndugu akidai mtoto anaingilia utaratibu katika familia atakayo kwenda , kwani hiyo ndoa itavunjika vipi kama huyo mtoto akiendelea kuishi hapo kama siyo roho mbaya ya mwanamke tu
Wazazi wake si wapo? Au mimi sijasoma vizuri...yan kupoteza kaz tu ndo uanze kupeleka watoto wa ndugu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mke wa jamaa ana roho mbaya yeye akifariki watoto wake watalelewa na nani
 
Mkuu huwa ni kushikwa masikio au ni mazoea tuu?

Maana huwa mtu anafikiri mke akisepa ataanza mtihani wa kukimbizana na wanawake mabarabarani, dhiki ambayo humpata mfuga kuku kienyeji akitaka kuchinja, lazima akimbie riadha!

Lakini maisha ya mke kuchukia ndugu zako wakati uwezo wa kuwatunza upo, inabidi mwanaume ujitathimini.
ni sahihi kabisa,hapo anakula tu angekuwa anamlipia ada?
 
Back
Top Bottom