Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Talaka muhimu huko kujivua ni kutaka awatenge hadi wanae
Kwani mwanamke akijikuruhu (kujivua ndoa) Kuna shida gani?
Dini ya kiislam Ina utaratibu huo Kama mwanaume hataki kutoa talaka mwanamke anajivua.
Mke w mwaka atumie option hiyo vinginevyo Kuna Jambo amelilenga.