Mke wa Makonda ni Raia wa nchi gani?

Kwa kifupi San ,ba mkwe na mam mkwe ndio wamiliki halali was shule ya tusihime inayopatika mjini Arusha mm Kama mm Dr Nimewai kuwa mwalimu wa nidhamu pale, period

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nimekuta sehemu mjadala ukizungumzia Makonda kuhamia Kwa wakwe zake nchi jirani nikataka kujua mke wake ni Raia WA nchi gani? Mwenye taarifa atusaidie may be amekimbia kumkwepa Lisu
Unataka kuwa mke mwenza?
 
roho ya umbeya bongo imeharibu hadi wanaume,

Na ndiyo maana wanaume wa kweli bongo ni wakutafuta saana hasa jiji la hovyo kabisa la dar!

Wanaume wa dar mkoje? Na ndiyo maana mnajiuza kwa wanaume wenzenu! Mmekaa kiumbeya umbeya tu

Kuoa mke kutoka nchi zingine nayo ni jinai? Mbona wanamziki kibao wake zao ni nchi za nje?
 
Utakuwa chizi.
Mrundi ni RAIA wa Burundi kisheria.
Mtusi ni kabila linalopatikana Burundi,Rwanda na sehemu za Congo.
Chizi ni wewe na waliokuwa wanakataa wamasai kuwa Watanzania na wakamba na makabila mengi ya mipakani
 
Nimekuta sehemu mjadala ukizungumzia Makonda kuhamia Kwa wakwe zake nchi jirani nikataka kujua mke wake ni Raia WA nchi gani? Mwenye taarifa atusaidie may be amekimbia kumkwepa Lisu
Wampeleke immigration akajaze fomu za vizazi vyake na mababu zake kama mme wake alivyokuwa anfanyia watu anaotaka kuwadhulumu mali zao huo ushenzi ulifanyika sasa Kigamboni na wakuu wa wilaya wakitumiwa na Makonda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…