Unacheka kwa sababu unajua unachomfanyia huyo ndugu yetu!
 
Aaaaahaaaa

Amecheza kama Pele
 
Sasa hivi ni hivo tu,hatutaki ujinga
 
Kumbe ndiyo maana,


Cr7 help kwake
 
Ahhaaahah
Sio anampa yaani Hakim anatafuta mali zote zinakua kwa jina la mama yake hadi magari, na tayari mama ambae ni mmiliki kaandika mrithi wa mali hizo atakua hakim na ndugu zake wa kuzaliwa mchezo umeishia hapo
 




Ni mchezaji wa Klabu maarufu nchini ufaransa anaelipwa bilioni 2 na nusu kila mwezi kaweza kutuduwaza kwa kanzu aliyompiga mke wake mwenye tamaa ya mali alieingia kichwa kichwa.

Mke wake ni dhahiri alikuwa ni kundi hili hili la matapeli, binti huyo aliweza kumtega kijana kufunga nae ndoa, akasubiri miaka miwili ipite kisha akatafuta kisingizio ndoa ivunjike akitegemea kwamba anaenda kupewa mali kirahisi, lakini alichookutana nacho sijui ni hali ipi anapitia.

Baada ya kwenda mahakamani kudai pasu kwa pasu, hakimu akaweka nyaraka zinazoonesha kwamba mali zote za mchezaji huyo anaemiliki ni mama yake kuanzia majumba, magari na vitu vingine,.. mchezaji huwa akipokea mshahara anaweka kaiasi karibia chote kwenye account ya mama yake, yeye anachukua hela kidogo tu za matumizi na vitu vidogo.

Magari yake na nyumba zake ananunuliwa na mama yake, hivyo mali ni za mama yake na kwa lugha nyepesi huyo mke anaetaka mali hana chake, aondoke aende kupambana na maisha, mpango wake umebuma bum shakalaka.....
 
Ukute hata huyo mbakwaji alitumwa na huyo mke wake
 
Jamaa sio bahili ila hiyo ni akili mingi
Sana Mkuu yani Hawa wanawake sjui wanatuchukuliaje hapo lingepata hizo mali linaanza harakat zao za feminism kua am strong single Lady na kuanz kuwadanganya na vimali vyake alivyopata kumbe ametapele hko fedha za mwanaume Yani Hawa basi
Huwa nawangalia najisemea moyon wanawake akili zao zote zipo kwenye K**** unakuta hata hivyo visalun wanavyo fungua ni Hela za wanaume kadanga Kahongwa anafungua kasalun Ananza am strong single Lady Yan Hawa,, it's better men going their own way
 
Ima saizi hata sabuni ya kuogea hana πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…