Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Ookay kwahiyo kumbe kwenye field yenu mtu anakazwa ndio analipa sio anaye kaza!??Kwamba nina uhaba wa watu wa kuwakamua?
Pesa Pesa Pesa, una date na mtu wa miaka 36 halafu awe hana pesa! Hapana bhana