Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Alidai talaka kabla ya hiyo case. Na hata hilo la Hakimi likitokea walikuwa wameshatengana.Hakimi pia ana kesi ya kubaka hivyo baada ya kuona hivyo ndio huyo dada akadai talaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alidai talaka kabla ya hiyo case. Na hata hilo la Hakimi likitokea walikuwa wameshatengana.Hakimi pia ana kesi ya kubaka hivyo baada ya kuona hivyo ndio huyo dada akadai talaka
Au kama vipi watoto wakalelewe na bibi yaoHapo atakua anadai child support tu ya watoto wao wawili na hapo kwa kua Ashraf hana mali itabidi wagawane pasu kwa pasu kwenye matunzo
Eboue alifilisika vibaya kabisaHawa wadada wa kizungu hawanaga huruma kabisaa. Lol.
[emoji24][emoji24][emoji24]
🤣🤣🤣🤣🤣 hapo bi dada atajutia uamuzi wake wa kudai talaka.
Mke wa Ashraf Hakimi amempeleka mahakamani ili kupata talaka na alitaka Mahakama iwagawanyishe mali.
Baada ya Talaka kufanikiwa na kukubaliana kugawana mali, ikagundulika kuwa Ashraf Hakimi hakuwa na mali yoyote na hata akaunti zake benki hazikuwa na pesa yoyote.
Inaelezwa kuwa mahakama imebaini Ashraf Hakimi alishaweka mali zake zote kwa jina la mama yake muda mrefu uliopita.
==============
Aliyekuwa Mke wa Mchezaji wa Klabu ya PSG 🇨🇵, Achraf Hakimi 🇲🇦 aitwaye Hiba Abouk 🇪🇦 baada ya kuachana na Hakimi March 27,2023 alienda Mahakamani na kuwasilisha kesi ya kudai talaka huku akitaka agawiwe nusu ya mali ya Hakimi.
Baada ya Mahakama kufanya tathimini za mali za Achraf ilibaini kuwa aliyekuwa Mume wake hamiliki chochote kwani mali yake yote imesajiliwa kwa majina ya Mama yake
Hakimi anapokea Euro Milioni Moja (zaidi ya Shilingi Bilioni 2.56 kama Mshahara ndani ya PSG kila mwezi lakini 80% (zaidi ya Shilingi Bilioni 1.64) pesa hizo huwekwa kwenye akaunti ya mama yake Bi. Fatima.
"Hana mali, magari, nyumba, vito au hata nguo kwa jina lake.Wakati wowote na akitaka chochote huwa anaulizia kwa Mama yake ambaye huwa anamnunulia"
Mahakama ilitoa taarifa hiyo.
Inakadiriwa Kuwa Hakimi Achraf ana Utajiri wa Euro Milioni 17 ambazo ni zaidi ya Shilingi Bilioni 45 ila Mali zote zinamilikiwa na Mama yake, Bi Fatima.
😂😂😂😂😂😂Mahakama ingewagawanya hata madeni kama jamaa anayo.
Kweli kabisa ukijidanganya inakula kwako[emoji23][emoji23] Ila wamama wa kibongo sio wa kuwaamini ht kdg, anaweza ht kukopa kupitia mali zako mwisho wa siku ukabaki na madeni
Mbona Adele alitoa talaka akagawa mali kwa Bwana ake, akamtungia album mbili nzimaIf Achraf Hakimi’s wife has more assets than him now, does that mean Hakimi gets half of her money?
This is beautiful
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24]
Umeumia sanaLazima liwepo atake asitake ina maana anacheza mpira bure[emoji51][emoji16][emoji16][emoji16]
Bad investment, kaliwa afu lengo halijatimia.Mkeka umechanika vibaya sanaa
Aende wekeza Mr Kuku au Jatumwamba alijipanga. mama ndio anapanga sasa matumizi ya hela. hii nimeikubali. kuanzia kesho na mie naenda mwambia boss wangu badilisha hel zinatumwa kwenye akaunt ya bi mkubwa. yeye sasa ndio anipangie matumizi. naona itasaidia ata kutokuwa na micheps. mwamba katupa somo kubw asana
Inaitwa checkmateYaani Mwanamke kiazi mbatata kweli ilibidi ajue mkakati wa Mumewe kabla [emoji2372]
Hao wembamba watamu sana, unakapiga hadi mifupa inaumaashraf nae bwana! sasa hapa alikuwa anagegeda nini? mifupa? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]