Odense
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 1,189
- 1,585
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuuUmeumia sana
Consent ipi wakati tarehe inaonyesha ni kabla hujamuoa?Huwezi hamisha bila consent ya mwenzako sababu umezipata ukiwa naye.
Waweza fanya hivyo kama tu haujamuoa.
Au waweza weka Prenuptial agreement
Tafuta mwanasheria kisha hamisha mali zako zite kwenda kwa jina la mama yako mzazi aliyekubeba tumboni miezi 9, halafu kwenye tarehe za makabidhiano ya mali andika tarehe ya nyuma kabla ya kusaini cheti cha ndoa, tafuta wakili atakaekubali hili, halafu fanya transfer ya mali kisheria, ila utalipa faini kidogo kwa kuchelewesha transfer.
Halafu andika document za urithi ambapo mama yako anakuachia wewe mali hizo zote. Kwisha habari. Huyo mwamba hapo chini kafanya hivi, anakula bata tu
Any way.., jamaa ndio kafanya hivyo1. Kuna wasio na mama
2. Sio kila mama yupo close na mtoto wake
3. Watoto wengine wanaweza claim hizo mali kisheria mama akifariki
4. Ndoa haina formula, sio kila mke ni mke wa hakimi.
5. Kua makini katika kuchagua, yule mwanamke hata mavazi yake yanaonesha hafai
Jamaa kamuweza sana, akina Jacquline Mengi wapo kila kona, tuwe makini 😂Inaleta sheria za kiarabu ambazo zipo kienyeji hapa? Nchi zinazofuata common law huwezi kufanya huo utopolo
Sema ahakikishe mama ameandika urithi, la sivyo ndugu wanaweza kumgeuka wakataka mgao wa mali za mama yao uwe sawa s
Tafuta mwanasheria kisha hamisha mali zako zite kwenda kwa jina la mama yako mzazi aliyekubeba tumboni miezi 9, halafu kwenye tarehe za makabidhiano ya mali andika tarehe ya nyuma kabla ya kusaini cheti cha ndoa, tafuta wakili atakaekubali hili, halafu fanya transfer ya mali kisheria, ila utalipa faini kidogo kwa kuchelewesha transfer.
Halafu andika document za urithi ambapo mama yako anakuachia wewe mali hizo zote. Kwisha habari. Huyo mwamba hapo chini kafanya hivi, anakula bata tu
Hahahha, akina Jacquline Mengi washakuwa wengi bhana 😁yote hayo ya nini jamani?? sio kila mwanamke tapeli au ana choyo.. wapo wanawake unamuacha na anashukuru tu Mungu. Kwanza mali zenyewe zipo [emoji1][emoji1] au nso kugawana upande wa sofa??
Naona wakristo mnavoteseka na hizi sheria zenu mlojitungia mkaacha sheria za MunguTafuta mwanasheria kisha hamisha mali zako zite kwenda kwa jina la mama yako mzazi aliyekubeba tumboni miezi 9, halafu kwenye tarehe za makabidhiano ya mali andika tarehe ya nyuma kabla ya kusaini cheti cha ndoa, tafuta wakili atakaekubali hili, halafu fanya transfer ya mali kisheria, ila utalipa faini kidogo kwa kuchelewesha transfer.
Halafu andika document za urithi ambapo mama yako anakuachia wewe mali hizo zote. Kwisha habari. Huyo mwamba hapo chini kafanya hivi, anakula bata tu