Ookay kwahiyo kumbe kwenye field yenu mtu anakazwa ndio analipa sio anaye kaza!??Kwamba nina uhaba wa watu wa kuwakamua?
Pesa Pesa Pesa, una date na mtu wa miaka 36 halafu awe hana pesa! Hapana bhana
Ha!ha!ha! Eti immaIma saizi hata sabuni ya kuogea hana [emoji3][emoji3]
Labda wewe uko na wasiwasi na mama yako mzazi, ila Achraf Hakimi alimuamini mama yake!Hapo mfano Mama akipata akifariki mgawanyo wa Mali unakuwa vipi hapo au akiolewa na Mume mwingine akamuandikisha Malio wake[emoji51]
Ni makubaliano na maamuzi ya watu husika,Ookay kwahiyo kumbe kwenye field yenu mtu anakazwa ndio analipa sio anaye kaza!??
Ukiona hivyo ujue yamemkuta ohooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] japo mi nimeolewa ila we jamaa kila nikiona hii comment yako nacheka hoi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii haimaanishi naunga mkono hoja yako sema tu unaniua mbavu na huu msimamo wako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
NaamTeh teh
Naunga mkono hoja
Ova
Mpira anajua na akili anazo za kutosha
Ashraf hakimi kaupiga mwingi[emoji38]
Kwa sisi wanaume inatakiwa uangalie sana sehemu unayooa na kama una mali ujipange mapema. Kuna dada mmoja alikuwa anaomba baba yake afe ili arithi kiwanja kilichoko Kariakoo. Na kweli shetani akasikia ombi lake akafariki. Siku alipofariki yule dada alikuwa na uchangumfu ambao uliwashangaza watu. Nikawa najiuliza huyu kama anaweza kufanya hivi kwa baba yake, je kwa mumewe!Sio yule Emmanuel Eboue aliekuwa akipata mshahara wote anatuma kwa mkewe ndo aweke uwekezaji.Mwisho wa siku Emmanuel akapigwa talaka na kuambulia zero.Ashraf kweli Mungu alimuongoza,hawa warembo wengi wanakimbilia wacheza mpira sababu ya pesa. Ndo maana C.Ronaldo hataki kufunga ndoa na Georgina.
Huyu Jamaa mahusiano yake yajayo yatakua na ugumu sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli Mkuu ila changamoto ya Utandawazi bado ni kikwazo kwenye Dunia ya kileo, Mungu atusaidieKama wazazi tuwakuze kwenye maadili mema ili wasifikie huko mkuu
Kama mtoto n akili mingi bc ht mama nae ni akili mingi, huyo mume hakuna hata mia ataiona.Hapo mfano Mama akipata akifariki mgawanyo wa Mali unakuwa vipi hapo au akiolewa na Mume mwingine akamuandikisha Malio wake😬
Nakazia.[emoji419][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375]Kataa Utumwa
Kataa Unyonyaji
Kataa Ujambazi
Tokomeza Ndoa
Pinga Ndoa
Kataa Ndoa