Tafuta mwanasheria kisha hamisha mali zako zite kwenda kwa jina la mama yako mzazi aliyekubeba tumboni miezi 9, halafu kwenye tarehe za makabidhiano ya mali andika tarehe ya nyuma kabla ya kusaini cheti cha ndoa, tafuta wakili atakaekubali hili, halafu fanya transfer ya mali kisheria, ila utalipa faini kidogo kwa kuchelewesha transfer.

Halafu andika document za urithi ambapo mama yako anakuachia wewe mali hizo zote. Kwisha habari. Huyo mwamba hapo chini kafanya hivi, anakula bata tu

 
1. Kuna wasio na mama
2. Sio kila mama yupo close na mtoto wake
3. Watoto wengine wanaweza claim hizo mali kisheria mama akifariki
4. Ndoa haina formula, sio kila mke ni mke wa hakimi.
5. Kua makini katika kuchagua, yule mwanamke hata mavazi yake yanaonesha hafai
 
Inaleta sheria za kiarabu ambazo zipo kienyeji hapa? Nchi zinazofuata common law huwezi kufanya huo utopolo
 
Any way.., jamaa ndio kafanya hivyo
 
Bull crapola... Kiaje ufanye hivyo? Basi si usingemuoa tangiapo utafute au msubirie uliyempenda kwa dhati. Unataka kuoa msukule? Ukutumikie kuanzia A2Z ila akichoka vitimbwi yako eti aondoke mikono mitupu? Wanawake wa zamani hao au wavivu... Mwanamke haswa wa karne hii hakusubirii wewe au vijimali yako. Roho jiwe hiyo🤣
 
Naona wakristo mnavoteseka na hizi sheria zenu mlojitungia mkaacha sheria za Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…